TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Mzee wa miaka 80 alienda kupiga kazi ya miaka 33 huku akiwa na 37,000 mfukoni baada ya chipsi na mishkaki 3.

Inasemwa kwamba daktari ndiye anaweza declare mtu kufariki, hivyo huu uongozi wa gesti kudai uligundua mteja wao amefariki na kuamua kutaarifu polisi ni move sahihi kweli?

As walitumia kipimo gani? Achana na muvi ule mtindo wa kusikiliza kifua... Mimi naona na mtu aliyetoa taarifa ya kifo angehojiwa pia.
kwahiyo ulitaka atembee na maburungutu ya pesa 😀 labda anafanya malipo kupitia simu yake
 
Jamani mtu kukutwa na shiling 37000 haimaanishi kuwa Hana pesa nyingene,,wengine huifadhidhi pesa zao benk na wengine huweka kwenye simu
 
Ila na hawa mabinti wa siku hizi hawana adabu. Kweli Babu wa miaka 80 anavuliwa chupi na binti wa miaka 33? Tofauti ya miaka 47? Kweli kiama kije tu wajameni.
Miaka 15 iliyopita huyu binti aliingia utu uzima!..Au umesahau baolojia?Adabu ni mtizamo..R.I.P. Mzee wa Mbezi.
 
Wewe jamaa unanifurahisha sana hasa pale unapoanza kuponda wenye maduka ya simu hapa makumbusho [emoji23][emoji23][emoji23] halafu nimegundua kitu wale madada wanaoshinda mule ndani kuanzia asubuhi huwa wanatega mabwana ukute @witnesj ni moja ya wale mabinti [emoji23]
Hahahah wale wauza iphone chakavu 😂😂😂!!!
Kumbe wale ma sister du nao wapo kikazi aisee. Sikujua hilo chief.
 
Mzigo ni 370,000/- polisi kafuta sifuri moja, zikabaki 37,000/-
 
Hajui ni jinsi gani virungu/vichwa vidogo vinavyosumbua nyie!!??
muda wote vinatamani kukaa kwenye mashimo malini yenye joto......
tungesema siku moja tuwaazime haya magegedo mngechanganyikiwa nyie.....
mnaongea tu kwasababu hamjui hali halisi!

Umeumbwa kuyatawala mazingira (your sensory organs included) na sio mazingira yakutawale!
 
Back
Top Bottom