TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Naona una hamu na mimi

Kujifanya unanijua sana, ngoja tutemeane shombo sasa mxiuuuu[emoji57][emoji57][emoji21][emoji21]
 
Hehehe uwiiii[emoji16][emoji16][emoji28][emoji1787][emoji23]

Endeleeni kujidanganya
Anaedhani akishamlisha na kumnywesha mwanamke ana uwezo wa kumfanyia kitu chochote anajidanganya na matokeo yake atakuja kulia sana.
 
Lakini sii kweli kwani walioolewa sii ndio wanachofanyiwa na waume zao...kulishwa wakashiba baadae wanatoa tuu papuchi
Hiyo sasa ni ndoa mkuu, nazungumzia kimjini mjini
 
Anaedhani akishamlisha na kumnywesha mwanamke ana uwezo wa kumfanyia kitu chochote anajidanganya na matokeo yake atakuja kulia sana.
@Extrovert huyo sijui huwa anawachukuliaje wadada?[emoji57][emoji57]

Anyway labda huko aliko u neva no[emoji1787]
 
Dah huyo demu kuolewa labda yeye ndo atoe mahari πŸ˜€πŸ˜€
 
@Extrovert huyo sijui huwa anawachuliaje wadada?[emoji57][emoji57]

Anyway labda huko aliko u neva no[emoji1787]
Mie niko mliko nyie hapa hapa Daslamu na hii huduma wanapewa wadada wazuri tu wa hapa hapa town. Ukilishia Marry brown na KFC trip mbili umemaliza.πŸ˜‚
 
Ndio maana tunagegeda na kusepa maana ilishakuwa biashara
Hahaha mzabzab kwani ni wewe kugegeda na kusepa au kugegedana halafu kila mmoja anasepaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mimi najuaga hicho ni kitendo shirikishi ambapo watu wawili mwanamke na mwanaume wanatumiana miili yao

Kama nakosea witnessj uje unisomeshe
 
Mie niko mliko nyie hapa hapa Daslamu na hii huduma wanapewa wadada wazuri tu wa hapa hapa town. Ukilishia Marry brown na KFC trip mbili umemaliza.πŸ˜‚
Watakua wanakutumia sana Extrovert hawa wadada πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unajua kutumika kumejaa toka kwa wanawake imehamia kwa wanaume haha
 
Watakua wanakutumia sana Extrovert hawa wadada πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unajua kutumika kumejaa toka kwa wanawake imehamia kwa wanaume haha
Kwahiyo kumbe mi natumika eeh, ila nawatumia pia bila extra cost zaidi ya kula tu πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…