TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Wewe jamaa unanifurahisha sana hasa pale unapoanza kuponda wenye maduka ya simu hapa makumbusho [emoji23][emoji23][emoji23] halafu nimegundua kitu wale madada wanaoshinda mule ndani kuanzia asubuhi huwa wanatega mabwana ukute @witnesj ni moja ya wale mabinti [emoji23]
Naona una hamu na mimi

Kujifanya unanijua sana, ngoja tutemeane shombo sasa mxiuuuu[emoji57][emoji57][emoji21][emoji21]
 
Hehehe uwiiii[emoji16][emoji16][emoji28][emoji1787][emoji23]

Endeleeni kujidanganya
Anaedhani akishamlisha na kumnywesha mwanamke ana uwezo wa kumfanyia kitu chochote anajidanganya na matokeo yake atakuja kulia sana.
 
Anaedhani akishamlisha na kumnywesha mwanamke ana uwezo wa kumfanyia kitu chochote anajidanganya na matokeo yake atakuja kulia sana.
@Extrovert huyo sijui huwa anawachukuliaje wadada?[emoji57][emoji57]

Anyway labda huko aliko u neva no[emoji1787]
 
@Extrovert huyo sijui huwa anawachuliaje wadada?[emoji57][emoji57]

Anyway labda huko aliko u neva no[emoji1787]
Mie niko mliko nyie hapa hapa Daslamu na hii huduma wanapewa wadada wazuri tu wa hapa hapa town. Ukilishia Marry brown na KFC trip mbili umemaliza.😂
 
Back
Top Bottom