witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
So whatMkuu kwani hujui wabongo wengi ni akili fupi!?
Una mitusi....!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So whatMkuu kwani hujui wabongo wengi ni akili fupi!?
Una mitusi....!!
Sasa mbona mzee kakojolea pazuri na kaenda na majiSiri ya kuishi miaka mingi ni pamoja na kukojoa pazuri
Ndio muwage mnatufikiria pale tunapo omba papuchi ujue mwili unatakaWee masikini kumbe mnateseka hivo?
Are u sure we faraaa?Anajikuta anabana "ooh hakuna papuchi ya bure " kumbe nyuma ya pazia kuna muhuni hampii hata mia mbovu na anapanua miguu vizuri tu...
Naona una hamu na mimiWewe jamaa unanifurahisha sana hasa pale unapoanza kuponda wenye maduka ya simu hapa makumbusho [emoji23][emoji23][emoji23] halafu nimegundua kitu wale madada wanaoshinda mule ndani kuanzia asubuhi huwa wanatega mabwana ukute @witnesj ni moja ya wale mabinti [emoji23]
Sasa sii tayari kashaishi mpaka miaka 80 inatosha hiyo....pia bora kafia kwa pisi kali yaani wala hajakosea.sasa mbona mzee kakojolea pazuri na kaenda na maji
Anaedhani akishamlisha na kumnywesha mwanamke ana uwezo wa kumfanyia kitu chochote anajidanganya na matokeo yake atakuja kulia sana.Hehehe uwiiii[emoji16][emoji16][emoji28][emoji1787][emoji23]
Endeleeni kujidanganya
Hiyo sasa ni ndoa mkuu, nazungumzia kimjini mjiniLakini sii kweli kwani walioolewa sii ndio wanachofanyiwa na waume zao...kulishwa wakashiba baadae wanatoa tuu papuchi
Hapana mnamaliza nguvu, hii nilishawahi isikiaMie navyojua ukigegeda sana ndio unazidi kuwa hodari
Ha ha ha naona umeelea humohumo[emoji28][emoji28][emoji1787]Ndio muwage mnatufikiria pale tunapo omba papuchi ujue mwili unataka
@Extrovert huyo sijui huwa anawachukuliaje wadada?[emoji57][emoji57]Anaedhani akishamlisha na kumnywesha mwanamke ana uwezo wa kumfanyia kitu chochote anajidanganya na matokeo yake atakuja kulia sana.
Nguvu zinaisha kwa sababu ya uzee sio kwa sababu ya kugegeda sanaHapana mnamaliza nguvu, hii nilishawahi isikia
Ndio maana tunagegeda na kusepa maana ilishakuwa biasharaHiyo sasa ni ndoa mkuu, nazungumzia kimjini mjini
Mie niko mliko nyie hapa hapa Daslamu na hii huduma wanapewa wadada wazuri tu wa hapa hapa town. Ukilishia Marry brown na KFC trip mbili umemaliza.😂@Extrovert huyo sijui huwa anawachuliaje wadada?[emoji57][emoji57]
Anyway labda huko aliko u neva no[emoji1787]
Watakua wanakutumia sana Extrovert hawa wadada 😂😂😂😂Mie niko mliko nyie hapa hapa Daslamu na hii huduma wanapewa wadada wazuri tu wa hapa hapa town. Ukilishia Marry brown na KFC trip mbili umemaliza.😂