TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Siku ya kuaga ndio kutakua na shughuli. Pale pakusema umauti ulimkuta desh desh akiwa amebugia vidonge vya desh desh
Akisubiri amninihii nanii aliyekua anakula chips
Kifo chake sababu ni ajali!
 
Being honest unadhani huyo Marehemu angeweza afford iPhone 12 kweli??

Mambo mengine mabinti wanajidhalilisha mno! How do you even begin to open your legs for such an old man?? Kweli taswira ya mzazi wako, uncle wako or even babu yako haikupati as he climbs you!?!

Mabinti wajitathmini, pesa sio kila kitu in Life!!!
Ata nyumba angeweza mjengea mzee sio choka mbaya!
We unafikiri dem alifuata mkongojo apo huwa miezi kama hii hawa wazee wanakuwaga na pesa za kodi maana wengi humiliki majengo apa town huyu akiwa mmoja wapo!

Mapenzi ya sura na sera yalisha kwisha sasa hivi mnaangalia pesa tu!
Au nina sema uwongo wazee wenzangu!!
 
Miaka 80 vs Miaka 33[emoji23]

Ukisikia kifo cha kujitakia ndio kama hiki sasa.
Unforgetable
Kama picha ya huyo msichana ndie muhusika, hebu mchunguze vizuri! Hivi anawezekana akawa amefikisha miaka 33 kweli huyo?! Au kwa kuona aibu kuwa na mzee wa miaka 80 ndo akajifanya ana miaka 33 ili angalau iendane endane kidogo!

Ila sijui mawazo yangu tu manake nahisi huyo babu anaonekana ni kijana kuliko Comrade Humphrey Polepole aliye 30's!
 
Kuna siku ilitaka kunikuta hyo Hali.
Nipo Gest na mwanamke wangu.
Usiku mida ya saa 8 namuamsha mtu haamki viungo vimekaza kweli,amsha amsha na wewe nikasema Sasa hili balaa gani tena.kama dakika 5 namuamsha mtu haamki.jasho likaanza kunitoka nikasema huyu kafa nini.
Yaani mpaka nilipoenda kuwasha taa ili nimuangalie vizuri.ndo namuona anajinyoosha [emoji16][emoji16].nilichokaaa na hamu zote ziliniisha.nikamuuliza wewe unalalaje hivyo nakuamsha dakika 5 haumki akasema alipitiwa na usingizi mzito.
Gest kuna mipepo ya kila aina
 
utakuwa unawagonga akina Ebitoke ww. Fata kitu msumari kama Uwoya, Shidua, Tessy chocolate uone kama hujapigwa K.O.
Nakula wa level yangu asee.. na ni wa kali kuliko hizo taka taka tajwaaa.. hao media tu ndio zina wananyua ila wa kawaida sanaaa 😃😃
 
Hahahah ni ngumu sana kumshawishi nyani kuwa asali ni tamu kuliko ndizi😁!!!
Washakuwa sikio la kufa hawa ndugu zetu
Tu Sake pesa ndugu hawa viumbe wanaangalia pesa tu hakuna la zaidi! Wata kudanganya tu wee mcheshi hakuna lolote apo kauka cash uwone!
 
Hili ni fundisho kwa dada zetu wakome kutembea na wazee a.k.a shikamoo jazi kwa mwendo huu watapewa sana kesi za mauaji ni bora wakomae na vijana tu wazee wa kusimamia ukucha malipo buku tano na mishikaki 2 na chipsi za buku jero
 
Hahahahaaaa, nimecheka nusu ya kufa. Khaa we jamaa umeniacha hoi
Ningekuwa mm ndio huyo dingi .....
ningepambana nirudi nipige hata goli moja ndio nsepe mazima.....
mtoto mzuri kweli walah bilah!
 
Back
Top Bottom