Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukikua utaelewa ninachoongea, kwakuwa unakula na kulala kwa shemeji yako huwezi kuelewa Uchungu wanaopata Familia ya Marehemu. So bishana na watoto wenzio sio mie mzazi wako we bw mdogo.Alitumwq achukue dogodogo
Hapo kuna helaa zingine zimepigwaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mzee kumiliki pisi kali hiyo hawezi kuwa na 37K tu ni UONGOOOOO MKUBWA.37000 ilibaki baada ya kulipia hotel , chips , maji, juisi n.k.
Demu angempa 20000.
Angebaki na 17 mfukoni.
Tabia ya mtu iliyozoeleka ina m-define mtu wakati wote
Nimekupenda mno mno..the Best comment ingawa wengi hataelewa ulichosema..Kuna umuhimu wa kusali sana kuomba kifo chema
Lala salama David Makegere
Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba
Kabisa aisee poor woman mzee ametoka hai bukheri wa afya anarudi maiti doh... aibu juu ya msiba, na binti atajuta yaani huu msala sio wa kitoto hata kidogo tamaa zimemwingiza matatizoniApumzike kwa Amani!
Pole sana kwa mke wa marehemu na familia, Muumba awape uvumilivu mumsitiri mwendazake bila kinyongo maana amewavua nguo!
Sad!
Huyo binti kanisikitisha mno! Mno!
Mzee wa Kishua sana.Hapo kuna helaa zingine zimepigwaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mzee kumiliki pisi kali hiyo hawezi kuwa na 37K tu ni UONGOOOOO MKUBWA.
Yaani vibinti vimechunwa uso hakuna aibu hata maadili yameporomoka sana kweli binti ukaone nywele za sirini za mvi kweli? huo ujasiri unautoa wapi kama sio laana.Ila na hawa mabinti wa siku hizi hawana adabu. Kweli Babu wa miaka 80 anavuliwa chupi na binti wa miaka 33? Tofaut ya miaka 47? Kweli kiama kije tu wajameni.
Kibinadamu mtu aliyekufa anajulikana isipokuwa kisheria mwenye mamlaka ya kutangaza kifo cha mtu ni Daktari wa serikali.Mzee wa miaka 80 alienda kupiga kazi ya miaka 33 huku akiwa na 37,000 mfukoni baada ya chipsi na mishkaki 3.
Inasemwa kwamba daktari ndiye anaweza declare mtu kufariki, hivyo huu uongozi wa gesti kudai uligundua mteja wao amefariki na kuamua kutaarifu polisi ni move sahihi kweli?
As walitumia kipimo gani? Achana na muvi ule mtindo wa kusikiliza kifua... Mimi naona na mtu aliyetoa taarifa ya kifo angehojiwa pia.
Gest kuna mipepo ya kila aina
Nimekupenda mno mno..the Best comment ingawa wengi hataelewa ulichosema..
Hapana mkuu, wewe ndio una akili timamuUna akili timamu?
Umejuaje kama bado ana mke/mke wake yupo hai? Eti 'nikivaa viatu'
Utadhani unaijua familia yao nje ndani
🤣🤣🤣🤣🤣kweli binti ukaone nywele za sirini za mvi kweli? huo ujasiri unautoa wapi kama sio laana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Necha ya mwanaume ni kupiga mshipa kwenye vitobo, unakuta mke hana ladha kashafulia. Ila dam changa zinahamasisha[emoji16][emoji16][emoji16] ukienda kugusa unakuta network haisomi fresh...Una nyege ila dhakar haisimami unaamua kuipigia jeki kwa Viagra. Moyo unaanza kusukuma damu kwa kasi matokeo yake unabastisha mishipa.