Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo itawezekana vipi kibibi wa 80 afie lodge na kijana wa 35 wakati nature simply doesnt permit it.Nionyeshe Habari ya mwanamke wa umri wa miaka 80 aliefia lodge kwenye kifua cha kijana wa miaka 35?! Almost impossible right?
Sometimes we refuse to see how bad something is until it completely destroys us! You could never play a root and a branch at the same time!
Hayo mengine wanamzushia,hapo mzee Alikuwa anachukua kodi tu.Ajali kazini hii, ila fedheha mno kwa familia yake. Huyu msichana wa kipare alikuwa akifanya kazi ktk frem pale Goba ambazo ni mali ya huyu mzee baba kamanda.
Hiyo hainaga kutambulishanaMimi kwa kweli yya kubabu ilipogusa yangu haigusi.
Huyo girlfriend wa huyo mzee anamtambulishaje huyo kibabu kwa mabest na mashoga?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23] eti kimoja chapuApo alishapiga hesabu kuwa mzee atapiga kimoja tu, afu atamwachia eif 30 ya chapu. Ila mambo yamabadilika
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] muone[emoji23][emoji23][emoji23] Nilikuwa nakutania tu mama usijali!
Sasa hapo itawezekana vipi kibibi wa 80 afie lodge na kijana wa 35 wakati nature simply doesnt permit it.
Ahaaahaaaa[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji1787]Na kusoma kote IFM ulikwepa mishale kwa kula zaidi ya milioni mbili za Mrume Ndago acha kusema uongo mrembo [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo namtania nilitaka awake[emoji23][emoji23][emoji16][emoji1787]Sasa mbona unajipinga mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23] kumbe unajua kabisa lazma tuwanunue ndio mtoe papuchi eeh....
Ahaaahaaaa [emoji28][emoji28][emoji28] ngoja nikuacheHakuna mkate mgumu mbele ya panya huyu witness anaejibu humu hivi ukute anainamishwa na pesa ya kodi tu [emoji23]
Huyo mdada alikunjua roho, sio kukunja"Kuna lizee limoja la kimaasai tupo nae kitaa juzi kati alimwinamisha mdada wa umri huou tupo nae kitaa kimoja pia, mdada akapata 60 yake a kaweka mfokoni, yule dada alikunja roho ili apatemo kodi ya nyumba . maana sio kwa lizee lile jamani [emoji22][emoji22]
. Hawa wazee wa siku hizi hawana dogo
Hawa viumbe sio wa kuamini na akili zao ni km za kuku sometime, Yan hoja zake zinaji contradict zenyewe
Ahaaahaaaa[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji1787]
Ahaaahaaaa [emoji28][emoji28][emoji28] ngoja nikuache
Mxiuuuu