TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

wana jf

watu wengi kwenye mtandao wapo bize nakuhukumu huyu mdada na mzee wa miaka 80 wakielekeza kwenye tendo la ngono kwa kuwa huyu jamaa kafia kwenye Hotel,

Kila mtu huwa anahitaji afaragha kumsiliza mtu, huyu mzee uenda alimwita kusikiliza shida zake aweze kumsaidia, katika mazungumzo kati yake na yule mdada uenda kamsimulia mateso anayopata humu mjini mpaka yakampa shock kubwa iliyopelekea kifo chake, mdada anadai ni mara ya kwanza kuonana naye pia anadai alipofika alijisikia njaa kali ilyompelekea aombe chakula na akaagiziwa chips mishikaki, hivyo huyu mzee ni mwenye kusikiliza shda za vijana sio kumkimbizia shutuma za hapa na pale kuwa alikuwa kwenye maandalizi ya tendo la ngono.

tusihukumu jamani kwa kuwa wenye siri ni hawa wawili tu
LAKINI NEEMA ALIKIRI KUA HUYO MZEE ALIKUA NI MPENZI WAKE,
KWAHIYO UNATAKA KUTUAMBIA KUA SIKU HIZI WATU WANASIKILIZIA SHIDA ZA WATU GUEST HOUSE?
 
Walikuwa faragha. Aidha walikuwa wanapenzika au lah, ila inaonyesha walikuwa wawili sirini huko.
 
wana jf

watu wengi kwenye mtandao wapo bize nakuhukumu huyu mdada na mzee wa miaka 80 wakielekeza kwenye tendo la ngono kwa kuwa huyu jamaa kafia kwenye Hotel,

Kila mtu huwa anahitaji afaragha kumsiliza mtu, huyu mzee uenda alimwita kusikiliza shida zake aweze kumsaidia, katika mazungumzo kati yake na yule mdada uenda kamsimulia mateso anayopata humu mjini mpaka yakampa shock kubwa iliyopelekea kifo chake, mdada anadai ni mara ya kwanza kuonana naye pia anadai alipofika alijisikia njaa kali ilyompelekea aombe chakula na akaagiziwa chips mishikaki, hivyo huyu mzee ni mwenye kusikiliza shda za vijana sio kumkimbizia shutuma za hapa na pale kuwa alikuwa kwenye maandalizi ya tendo la ngono.

tusihukumu jamani kwa kuwa wenye siri ni hawa wawili tu
Swali jepesi kabisa why guest house na si mahala pengine popote ambapo wangeweza fanya maongezi poa kabisaa....Neema jifunze kutofautisha mazingira guest house ni kwa mapumziko na bedball ligi ya wawili.Samahani lkn.
 
Watu tulishaanza kusahau Ila wewe unawa mind hadi umewaanzishia Uzi.

Senior Baharia died in active service.
 
We nyau kweli[emoji76][emoji76][emoji76]

Mi nimehongwa zaidi ya hizo takataka sijui 2M na uchi sijatoa

Kutoa uchi ni maamuzi sio pesa! Hii nazungumzia upande wangu!

Narudia K naitoa kwa maamuzi yangu sio eti unibabaishe na hela, kama ni hela na mimi ninazo mfyuuuu
Hahaha K ni yako mama kwanini wakupangie matumizi??[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Yaani unaona kabisa umri umeenda unaenda kuchukua toto kama hiyo wakati una presha una kisukari unashushia na viagra unataka nini wewe kama sio kufia gesti.

Tumuombe Mungu atupe mwisho mwema wa maisha yetu.
Anataka nini? Anataka kuwahi jehanamu.
 
Huyu analika asijifiche kwenye kichaka cha maandishi kupinga tena hawa wanaojikuta wagumu ndio huliwa na watu wa ajabu hadi unashangaa inakuaje kuaje anavuliwa chupi...
[emoji817][emoji109]
 
Lipo la kujifunza kwa vijana haiwezekani mdada mzuri namna hiyo kimuonekano kuwa na mahusiano na mzee wa miaka 80 huku vijana mumejaa tele. Teh.
Huenda alikuwa kahaba huyo demu
 
Ww utakuwa mme wake na binti sasa unamtetea mkeo ili asionekane kakukosea[emoji1787] Dah! Limbwata c mchezo aiseee yaan licha ya maeleoz yote toka kwa binti kuwa walikuwa katika kuandaana waanze kufanya ngono, hayo yote ww umefunika [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom