TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Kwahi
o kumbe mi natumika eeh, ila nawatumia pia bila extra cost zaidi ya kula tu 😂
Kwani unafikiri wao hawaenjoy!? Uzuri unawalisha vizuri na wewe unakula vizuri sana ili uweze kuwarudisha kwa performance ya kiwango cha juu

Yaani kwa kifupi unatumiwa na unatumikishwa na wanawake mbalimbali kukidhi haja zao nyingi..... wakati huo wewe unakidhi haja yako moja😂😂😂😂
 
Babu mwacheni raha ilipitiliza.. Mambo ya kawaida haya
 
Kwani unafikiri wao hawaenjoy!? Uzuri unawalisha vizuri na wewe unakula vizuri sana ili uweze kuwarudisha kwa performance ya kiwango cha juu

Yaani kwa kifupi unatumiwa na unatumikishwa na wanawake mbalimbali kukidhi haja zao nyingi..... wakati huo wewe unakidhi haja yako moja😂😂😂😂
Kula ni haja nyingi😂??? Mie natoa sadaka tu ya mlo kulinda brand ila papuchi kuchakata ni anytime.

Kwa level uliopo huwezi elewa kuwa njaa ni tatizo kubwa sana kwa chupi za mjini mjini.
 
Hahaha mzabzab kwani ni wewe kugegeda na kusepa au kugegedana halafu kila mmoja anasepa😂😂😂

Mimi najuaga hicho ni kitendo shirikishi ambapo watu wawili mwanamke na mwanaume wanatumiana miili yao

Kama nakosea witnessj uje unisomeshe
Sawa kitendo shirikishi ila la msingi ni kwamba tunatumiana kimwili.
 
kula ni haja nyingi😂??? Mie natoa sadaka tu ya mlo kulinda brand ila papuchi kuchakata ni anytime.

Kwa level uliopo huwezi elewa kuwa njaa ni tatizo kubwa sana kwa chupi za mjini mjini.

Sio sadaka buana, kwani kunakuaga na madhabahu huko
Wewe sema tuu unatumia na wewe unatumika.... manatumiana😅😅😅😅
 
Huwenda alikua ametumia dawa za kuongeza nguvu zikamzidi nguvu akapoteza uhai.

Siwezi kucheka huyo mzee kwa maana hata Mimi Sina nguvu za kustahimili matamanio ya ngono isipokuwa kwa uweza wa Mungu.

Lakini ni fedheha Sana mzee Kama huyo kumalizia maisha yake katika situation ya namna hio.

Lakini ninachojifunza katika tukio hili sitababaika tena na msichana mwenye uzuri wakati huu maana atakaezaliwa 2025 bado anaweza kuja kutumika na mtu Alie na umri Kama wangu kwa kipindi hicho.
Bravo!
 
Si mnataka kujua watu wamekufa na nini? Haya sasa mmepewa sababu na mchoro mzima ilivyokuwa. Muanze tena kutafuta visingizio vingine vya lawama. Maana msingechelewa kusema alikuwa na matatizo ya kupumua.
 
Hahaha mzabzab kwani ni wewe kugegeda na kusepa au kugegedana halafu kila mmoja anasepa[emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi najuaga hicho ni kitendo shirikishi ambapo watu wawili mwanamke na mwanaume wanatumiana miili yao

Kama nakosea witnessj uje unisomeshe
Yaan wao eti wanaonaga ni kumkomesha mwanamke nacheka ihihihiiiihiiihii
 
Yaan wao eti wanaonaga ni kumkomesha mwanamke nacheka ihihihiiiihiiihii
Wanaokoma ni wao, hujaona haya matangazo yalivyoshamiri witnessj?

images (12).jpeg


Sisi tukianza kutumia za kuongeza nguvu za wataikimbia dunia
 
Back
Top Bottom