Mzee Dude wa FUTUHI afariki dunia

Mzee Dude wa FUTUHI afariki dunia

Mtamile

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
2,838
Reaction score
1,274
1010070_597372510332041_629699902_n.jpg

Msanii wa kundi la Futuhi Mzee Dude amefariki dunia Leo mida ya saa kumi na moja jion.


Habari zinasema kuwa alizidiwa jana Jumapili na kukimbizwa katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza Marehemu alikuwa akosumbuliww na ugonjwa wa figo kushindwa kufanya kazi

-----------------------------------------
PICHA ZA MAZISHI
------------------------------------------
1551646_702019953162137_1490953602_n.jpg

DUA YA KUMUOMBEA MAREHEMU IKIENDELEA

1620606_702022899828509_2016749655_n.jpg

KUELEKEA MALALONI

1511771_702024669828332_1519378393_n.jpg

MAZISHI YAKIENDELEA

1779899_702026566494809_272408684_n.jpg

MAZISHI YAKIENDELEA
1604667_702049389825860_608616696_n.jpg


1743579_702055933158539_259012573_n.jpg

WASANII WA KIKUNDI CHA FUTUHI WAKIWA MSIBANI
 
Gogle nadhani sitakuwa mbali sana, FUTUHI=COMEDY=VICHEKESHO.
 
Last edited by a moderator:
Niliwahi kusikia kuwa FUTUHI ni ile ngozi laini kwenye tundu ya kutolea haja kubwa, au nimekosea?
 
Muigizaji wa vichekesho wa futuhi mzee dude amefariki dunia katika hosptali ya bugando mwanza
 
Hahaaaa.... Rip.
Ila nilidhani ni yule dude wa bongo dalisalama.
 
Back
Top Bottom