Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
1. Ni Meja Jenerali wa JWTZ.
2. Wakati Rais Magufuli anaapishwa mwaka jana alikuwa pembeni na full gear ya military uniform. (Je pale alikuwa Kama Nani?)
3.Ni Katibu Mkuu Wizara Ya Mambo Ya Nje.
4.Aliwahi kuwa mwenyekiti kikao cha SADC katika capacity kubwa tu via zoom
5.Jana msibani alikuwa ni Kati ya wale most close na family ya mh Rais Magufuli.
Je, huyu Ibughe ni nani?
2. Wakati Rais Magufuli anaapishwa mwaka jana alikuwa pembeni na full gear ya military uniform. (Je pale alikuwa Kama Nani?)
3.Ni Katibu Mkuu Wizara Ya Mambo Ya Nje.
4.Aliwahi kuwa mwenyekiti kikao cha SADC katika capacity kubwa tu via zoom
5.Jana msibani alikuwa ni Kati ya wale most close na family ya mh Rais Magufuli.
Je, huyu Ibughe ni nani?