TANZIA Mzee Isaac Mowo afariki Dunia

TANZIA Mzee Isaac Mowo afariki Dunia

Hahaha!! Bilionea asie julikana!!! Rest in peace.



KAZI ni kipimo cha UTU
 
Ana pick up double cabin,guest tatu zenye rooms 12 kila moja.Anamiliki shamba la kiti moto Kibaha na duka kubwa la majeneza maeneo ya Ilala Hospital.

Ni muuza soda na maji ya jumla.

Rip Billioner Mowo.
Billionaire gani wa kumiliki pick up na lojingi? Labda ungesema millionaire! Tena anauza Mayi?
 
Marehemu kaumaliza mwendo, na mali zake zitagombaniwa tu na mwisho wa siku mali zote zitakwisha na hakuna hata mmoja ataendeleza legacy ya marehemu, poor Africans
 
Ana pick up double cabin,guest tatu zenye rooms 12 kila moja.Anamiliki shamba la kiti moto Kibaha na duka kubwa la majeneza maeneo ya Ilala Hospital.

Ni muuza soda na maji ya jumla.

Rip Billioner Mowo.
Kwahiyo kwa Tafsiri yenu ni kwamba Mtanzania ukiwa na Vitu hivi tajwa hapa basi ndiyo unaonekana Bilionea? Kazi tunayo.
 
Ana pick up double cabin,guest tatu zenye rooms 12 kila moja.Anamiliki shamba la kiti moto Kibaha na duka kubwa la majeneza maeneo ya Ilala Hospital.

Ni muuza soda na maji ya jumla.

Rip Billioner Mowo.
Hahahahahah, aiseee?! Wewe ni kifaru. Kwamba?! Alikuwa anauza majeneza in wholesale basis au rejareja?
 
Ana pick up double cabin,guest tatu zenye rooms 12 kila moja.Anamiliki shamba la kiti moto Kibaha na duka kubwa la majeneza maeneo ya Ilala Hospital.

Ni muuza soda na maji ya jumla.

Rip Billioner Mowo.
Kwa hizo Mali ugomvi wa mirathi utakuwa ushaanza huko kwake mda huu! RIP Bilionea.
 
Hahaha!! Bilionea asie julikana!!! Rest in peace.



KAZI ni kipimo cha UTU
Ma Bilioner wa sirini wapo, na huwa wanajulikana baada ya wao kufariki, kama wale Makachero wa KGB,baada ya kifo chake ndiyo unajua kazi yake halisi!!
 
Back
Top Bottom