Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wetu, Bilionea Isaac Mowo, ametotoka.
Kila aliyeguswa na kifo chake, ninampa pole.
R.I.P Mzee wetu Mowo
View attachment 2980640
R.I.P wowo 🥲Mzee wetu, Bilionea Isaac Mowo, ametotoka.
Kila aliyeguswa na kifo chake, ninampa pole.
R.I.P Mzee wetu Mowo
View attachment 2980640
Billionaire gani wa kumiliki pick up na lojingi? Labda ungesema millionaire! Tena anauza Mayi?Ana pick up double cabin,guest tatu zenye rooms 12 kila moja.Anamiliki shamba la kiti moto Kibaha na duka kubwa la majeneza maeneo ya Ilala Hospital.
Ni muuza soda na maji ya jumla.
Rip Billioner Mowo.
Unawahi wapi???Mzee wetu, Bilionea Isaac Mowo, ametotoka.
Kila aliyeguswa na kifo chake, ninampa pole.
R.I.P Mzee wetu Mowo
View attachment 2980640
I love My Africa 🥰Inalilah wainailah rajiun
Mkuu hili ni jukwaa la siasa sio la kutangazia vifo. Au ndio hiyo kuweka siasa Kila mahali?Mzee wetu, Bilionea Isaac Mowo, ametotoka.
Kila aliyeguswa na kifo chake, ninampa pole.
R.I.P Mzee wetu Mowo
View attachment 2980640
NsharaWa wapi?,,RIP
Kwahiyo kwa Tafsiri yenu ni kwamba Mtanzania ukiwa na Vitu hivi tajwa hapa basi ndiyo unaonekana Bilionea? Kazi tunayo.Ana pick up double cabin,guest tatu zenye rooms 12 kila moja.Anamiliki shamba la kiti moto Kibaha na duka kubwa la majeneza maeneo ya Ilala Hospital.
Ni muuza soda na maji ya jumla.
Rip Billioner Mowo.
Hahahahahah, aiseee?! Wewe ni kifaru. Kwamba?! Alikuwa anauza majeneza in wholesale basis au rejareja?Ana pick up double cabin,guest tatu zenye rooms 12 kila moja.Anamiliki shamba la kiti moto Kibaha na duka kubwa la majeneza maeneo ya Ilala Hospital.
Ni muuza soda na maji ya jumla.
Rip Billioner Mowo.
Ukishaona hivyo Ujue ni Mchaga.Mzee wetu, Bilionea Isaac Mowo, ametotoka.
Kila aliyeguswa na kifo chake, ninampa pole.
R.I.P Mzee wetu Mowo
View attachment 2980640
Kwa hizo Mali ugomvi wa mirathi utakuwa ushaanza huko kwake mda huu! RIP Bilionea.Ana pick up double cabin,guest tatu zenye rooms 12 kila moja.Anamiliki shamba la kiti moto Kibaha na duka kubwa la majeneza maeneo ya Ilala Hospital.
Ni muuza soda na maji ya jumla.
Rip Billioner Mowo.
No, ana usiano na Dangote!!Ana uhusiano wowote Dr.Ringo?
Ma Bilioner wa sirini wapo, na huwa wanajulikana baada ya wao kufariki, kama wale Makachero wa KGB,baada ya kifo chake ndiyo unajua kazi yake halisi!!Hahaha!! Bilionea asie julikana!!! Rest in peace.
KAZI ni kipimo cha UTU
Unamjua?Rip Billionaire Mowo. [emoji24][emoji24][emoji24]