Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwl Nyerere Joseph Butiku , leo amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika , bado haijawekwa wazi kikao hicho kililenga nini hasa.
Endelea kutufuatilia hapa hapa JF kwa Taarifa zaidi juu ya kikao hicho
Endelea kutufuatilia hapa hapa JF kwa Taarifa zaidi juu ya kikao hicho