Mzee Joseph Butiku akutana na Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika

Mzee Joseph Butiku akutana na Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwl Nyerere Joseph Butiku , leo amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika , bado haijawekwa wazi kikao hicho kililenga nini hasa.

Endelea kutufuatilia hapa hapa JF kwa Taarifa zaidi juu ya kikao hicho

Leo_Septemba_11,_2021_Katibu_Mkuu_wa_@ChademaTz_Mhe._⁦@jjmnyika⁩_akiteta_jambo_na_Mkurugenzi_M...jpg
Leo_Septemba_11,_2021_Mkurugenzi_Mtendaji_wa_Taasisi_ya_Mwalimu_Nyerere_Joseph_Butiku_akiagana...jpg
Leo_sept._11,_2021_Katibu_Mkuu_Mhe._⁦@jjmnyika⁩_na_Mkurugenzi_Mtendaji_wa_Taasisi_ya_Mwalimu_N...jpg
 
Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwl Nyerere Joseph Butiku , leo amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika , bado haijawekwa wazi kikao hicho kililenga nini hasa.

Endelea kutufuatilia hapa hapa JF kwa Taarifa zaidi juu ya kikao hicho

View attachment 1933442View attachment 1933441View attachment 1933443
Kama Mama anaheshimu Mwl Nyerere Foundation na wazee washauri....basi wamuachie Mbowe ile kesi ni upuuzi mtupu mama afute kesi kupitia Dpp
 
Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwl Nyerere Joseph Butiku , leo amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika , bado haijawekwa wazi kikao hicho kililenga nini hasa.

Endelea kutufuatilia hapa hapa JF kwa Taarifa zaidi juu ya kikao hicho

View attachment 1933442View attachment 1933441View attachment 1933443

Uongozi sio madaraka ni vitendo angalieni heshma anayopewa huyu mzee ukilinganisha na yule judge aliyejifanya mlezi wa vyama. Heshma unaipata kwa vitendo sio kwa cheo pekee.
 
Mzee Butiku na Mzee Warioba, ndizo tunu pekee kutoka kundi la wazee, tulio nao sasa.

Hawa wazee, kuwepo kwao CCM hakujawaondole akili wala hekima kama kwa wanaCCM wengi vijana.

Chadema Mwezi wa tatu tuu mlikua mnaongea maneno kama haya kwa Rais Samia na leo mmeshamgeukia


Nyerere mwenyewe alisema CCM sio mama yake, na akaisifia chadema...wakamzima
Hata Lowasa alisemaga
 
Back
Top Bottom