Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Mwingine ni Mshamba fulani hivi magumashiKikwete bonge la kiongozi
Sio ramli chonganishi,Acha ramli chonganishi rais Magufuli alielezea vizuri tangu siku anarudisha form ya urais kuwa kazi ya kuipeleka nchi uchumi wa kati ilianzishwa na wa tangulizi wake. Kwenye timu ya mpira sifa anapewa mfungaji bora anayepokea pasi ya mwisho.
Hawezi! Hata kufanikisha ifike USD 1200 hatoweza kutokana na kukuru kakara zake!MATAGA watamuona JK ni bonge la Snitch.
Amesema kazi ya Magu sasa ni kututoa hapa kwny kipato cha $1,080 na kufikia $3,000 by 2025 ili kufikia uchumi wa Kati.
Yaani kama tangu 2005 mpk 2020 wamepambana marais hatari ndio tumefikia $1080 sijui miujiza ya aina gani itafanyika ndani ya miaka 5 kufikisha $1,920 zingine.
Yani Mpango na Magufuli tena wakahutubia taifa kabisa. Ukiwa muongo kwa vitu vinavyoonekana kuaminika kwa visivyoonekana ni ndoto ya mchana!Sio ramli chonganishi,
Zimekuwepo propaganda kuwa tumefikia Uchumi wa Kati kabla ya Muda Tena muda mwingine Kutoka kwa Magufuli mwenyewe, nikipata video nitakuwekea hapa
Kikwete ninampenda bure. Maana watanzania walijua kuwa wamefika pato la 3000 kabla ya 2025.