Hata hao 5 ndiyo wale wakikaa kidogo wanaundiwa kashfa na kutupwa nje. Mfano:-Wewe unafikiri nafasi za juu bila conection ni wachache sana wamebahatika kwenye 100 utaambulia 5.
1. Dr. Nawanda.
2. Gekul.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hao 5 ndiyo wale wakikaa kidogo wanaundiwa kashfa na kutupwa nje. Mfano:-Wewe unafikiri nafasi za juu bila conection ni wachache sana wamebahatika kwenye 100 utaambulia 5.
Chama kimejifia long time tu..kwani amejua leoAkiwa msibani kwa Faustine Ndugulile Rais mstaafu Dr Kikwete amesema kwa CCM ya sasa kumtambulisha kiongozi wa Upinzani hadharani unaonekana Adui yaani Kirusi.
Kikwete amesema hayo wakati akimtambulisha mbunge wa Viti Maalum Halima Mdee (Chadema)
Aidha Kikwete amesema baba yake Faustine yaani hayati Mzee Ndugulile alikuwa ni Rafiki yake na wamefanya Kazi pamoja Wizara ya Mambo ya nje.
Kikwete amesema alishiriki kumfanyia kampeni za WHO marehemu Faustine kwa kuongea na Viongozi mbalimbali wa Africa nao walikubali kutuunga mkono hata Senegal alipiga Simu kwa Waziri Mkuu naye akakubali Moja kwa Moja kuunga mkono Tanzania.
Pia Ummy Mwalimu alifanya Kazi Kubwa sana kuhakikisha Faustine anashinda.
Nawatakieni Dominica NJEMA 🌹
Ndugai Spring Valley.Ni wa chama gani? 😂
Ethnic networks, ukiona kobe juu ya mti ujue kapandishwa. Watoto wa kapuku's watasota sana aisee! That's the factKumbe marehemu ni wa kishua long time
BIA 19?!! nimecheka japo sijajua maana yake😂Kule inatumika Diplomasia bobevu siyo BIA 19 za Sugu 🐼😂
NaamHalima Mdee sio mbunge wa Chadema
Afu mzee wawatu wala haringiAkiwa msibani kwa Faustine Ndugulile Rais mstaafu Dr Kikwete amesema kwa CCM ya sasa kumtambulisha kiongozi wa Upinzani hadharani unaonekana Adui yaani Kirusi.
Kikwete amesema hayo wakati akimtambulisha mbunge wa Viti Maalum Halima Mdee (Chadema)
Aidha Kikwete amesema baba yake Faustine yaani hayati Mzee Ndugulile alikuwa ni Rafiki yake na wamefanya Kazi pamoja Wizara ya Mambo ya nje.
Kikwete amesema alishiriki kumfanyia kampeni za WHO marehemu Faustine kwa kuongea na Viongozi mbalimbali wa Africa nao walikubali kutuunga mkono hata Senegal alipiga Simu kwa Waziri Mkuu naye akakubali Moja kwa Moja kuunga mkono Tanzania.
Pia Ummy Mwalimu alifanya Kazi Kubwa sana kuhakikisha Faustine anashinda.
Nawatakieni Dominica NJEMA 🌹
Mke wa John Pambalu ni mbunge wa chama gani?Halima Mdee sio mbunge wa Chadema
Meneja kampeni wa Sugu kule Nyasa Bilionea Mungai alimuhonga msimamizi wa Uchaguzi Mh Mrema BIA 19 Ili mchungaji Msigwa afanyiwe figisu na Sugu atangazwe Mshindi 😂😂BIA 19?!! nimecheka japo sijajua maana yake😂
Ok. Kumbe🤣Meneja kampeni wa Sugu kule Nyasa Bilionea Mungai alimuhonga msimamizi wa Uchaguzi Mh Mrema BIA 19 Ili mchungaji Msigwa afanyiwe figisu na Sugu atangazwe Mshindi 😂😂
Ummy anapigiwa chapuu arudi,na ogopa rafiki anayeonekana msibaniAkiwa msibani kwa Faustine Ndugulile Rais mstaafu Dr Kikwete amesema kwa CCM ya sasa kumtambulisha kiongozi wa Upinzani hadharani unaonekana Adui yaani Kirusi.
Kikwete amesema hayo wakati akimtambulisha mbunge wa Viti Maalum Halima Mdee (Chadema)
Aidha Kikwete amesema baba yake Faustine yaani hayati Mzee Ndugulile alikuwa ni Rafiki yake na wamefanya Kazi pamoja Wizara ya Mambo ya nje.
Kikwete amesema alishiriki kumfanyia kampeni za WHO marehemu Faustine kwa kuongea na Viongozi mbalimbali wa Africa nao walikubali kutuunga mkono hata Senegal alipiga Simu kwa Waziri Mkuu naye akakubali Moja kwa Moja kuunga mkono Tanzania.
Pia Ummy Mwalimu alifanya Kazi Kubwa sana kuhakikisha Faustine anashinda.
Nawatakieni Dominica NJEMA 🌹
Kifo ni kifo tuKwa hiyo nafasi hiyo, aliipata kwa uwezo wake au ni mambo ya kisiasa Tena!
Any way,tuambieni yaliyo msibu hadi akafa
Hawana Nguvu ya Maamuzi, sababu kwenye chama wameingia wajinga na wapumbavu wengi ambao hawaamini katika utanzania isipokua uchama na ubinafsi!JK unataka kutuambia nini? Mwenyekiti wa Chama amebariki kuwagawa wa Tanzania na wazee wetu mpo kimya??
Kikwete hakuwa makini kama mwenyekiti wa ccm, ndio akampa nafasi bwm akatuletea jiwe akaharibu demokrasia ya nchi hii na upuuzi wa jiwe ndio umekuwa kanuni kuharibu uchaguzi Kila mwaka! Jiwe alikuwa Mpuuzi sana!Akiwa msibani kwa Faustine Ndugulile Rais mstaafu Dr Kikwete amesema kwa CCM ya sasa kumtambulisha kiongozi wa Upinzani hadharani unaonekana Adui yaani Kirusi.
Kikwete amesema hayo wakati akimtambulisha mbunge wa Viti Maalum Halima Mdee (Chadema)
Aidha Kikwete amesema baba yake Faustine yaani hayati Mzee Ndugulile alikuwa ni Rafiki yake na wamefanya Kazi pamoja Wizara ya Mambo ya nje.
Kikwete amesema alishiriki kumfanyia kampeni za WHO marehemu Faustine kwa kuongea na Viongozi mbalimbali wa Africa nao walikubali kutuunga mkono hata Senegal alipiga Simu kwa Waziri Mkuu naye akakubali Moja kwa Moja kuunga mkono Tanzania.
Pia Ummy Mwalimu alifanya Kazi Kubwa sana kuhakikisha Faustine anashinda.
Nawatakieni Dominica NJEMA 🌹
Magufuli aliua nguvu ya wazee kwenye maamuzi ya chama. Nguvu ya wazee iliasisiwa na Nyerere. Kwankulitambua Hilo Magufuli akaamua kuwapunguza nguvu na kuwato katika sehemu ya maamuzi magumu ya chama. Akàanzisha kilichoitwa Baraza la ushauri ambalo halina meno. Kama mnavyojua ushauri ni ama ukubaliwe au ukataliwe. Baada ya kuwanyima nguvu akaanza kuwang'ong'a hadharani wazi wazi akijua hakuna WA kumfanya chilochote. Akaingiza kundi la wajinga na watumia nguvu kwenye chama kuliko hoja huku wakiimarisha ndoa Yao na vyombo vya Dola sambamba na mabadiliko lukuki ya Sheria za usalama na ulinzi!Wao kama wazee wa chama waingilie kati, else hali ni mbaya na itazalisha kundi ambalo litataka linavenge, revenge
And that how vurugu zitakuwa kubwa
Jiwekeeni Hazina mbinguniNdugulile anatoka familia bora Sana the same kikwete these guys hawajui shida Ila sijui kwanini pale kigamboni kateka maeneo yote potential na kuweka miradi yake badala ya miradi ya kusaidia wananchi.
Hilo baraza la wazee liliasisiwa na mzee Rais mstaafu J. M. Kikwete.Magufuli alikua nguvu ya wazee kwenye maamuzi ya chama. Nguvu ya wazee iliasisiwa na Nyerere. Kwankulitambua Hilo Magufuli akaamua kuwapunguza nguvu na kuwato katika sehemu ya maamuzi magumu ya chama. Akàanzisha kilichoitwa Baraza la ushauri la wazee.