Mzee Kikwete: CCM ya sasa ukimtambulisha kiongozi wa Upinzani anaonekana Adui, nilimpigia kampeni Dr Ndugulile WHO, Ummy naye alifanya Kazi Kubwa!

Huyu mzee janja2 sana.
 
Huu ujumbe upo coded sana.

Yajayo YANAFURAHISHA
 
CCM ya sasa ni kama kina Lucas Mwashambwa, @johnthebapist, Mwijaku na wasanii wenzie. CCM ya zamani Makamba, Kikwete na wale wachache waliojificha!!

Mwagito umenielewa nahisi......
Mimi na Freeman tumeanzia TANU πŸ˜„

CCM roho mbaya ni akina Lucas Mwashambwa na Mwijaku yaani Wana Ushamba mwingi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kikwete hakuwa makini kama mwenyekiti wa ccm, ndio akampa nafasi bwm akatuletea jiwe akaharibu demokrasia ya nchi hii na upuuzi wa jiwe ndio umekuwa kanuni kuharibu uchaguzi Kila mwaka! Jiwe alikuwa Mpuuzi sana!
Kabisa, hivi Mbeya kwa Sugu Chadema hata mtaa mmoja hawajapata na Magufuli ni marehemu!
 
Mzee yupo sahihi.
Nowadays upinzani ni kama watu haramu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…