Mzee Kikwete: CCM ya sasa ukimtambulisha kiongozi wa Upinzani anaonekana Adui, nilimpigia kampeni Dr Ndugulile WHO, Ummy naye alifanya Kazi Kubwa!

Wewe utakuwa shoga au fisadi.
Shoga baba yako falaa mmoja tu wewe kama wewe ulikua unamahaba nae uyo muuaji na muasisi wa mauaji ni wewe usitulazimishe tumpende haya yote yanayoendelea ni sababu yake huyo marehemu wenu wanaume machawa kama nyie kutwa kuchezewa mitaro na kupakatwa kusifia harakati na juhudi chanzo ni huyo marehemu wenu
 
Shithole mkubwa wewe! Utakuwa unapakatwa wewe shoga wa Moshi
 
Naona Mzee Amesahau ile ccm ya kichaa magu imesharudi. Hawaoni akina Bashite ulingoni! Wale ni watekaji na wauaji.
 
Umeongopa

Aliyewaondoa wazee ni JK huyo huyo, alibadili katiba ya ccm na kuwaondoa kwa kisingizio kuwa wapate muda mwingi wa kupumzika. Maamuzi yakabaki kwake na watu wake, Wala usimsingizie mtu mwingine.
 
Umeongopa

Aliyewaondoa wazee ni JK huyo huyo, alibadili katiba ya ccm na kuwaondoa kwa kisingizio kuwa wapate muda mwingi wa kupumzika. Maamuzi yakabaki kwake na watu wake, Wala usimsingizie mtu mwingine.
Justify!
Na unikumbushe vizuri pia ujasiri aliokua nao Ally Happy juu ya Hawa wazee kuwataka kunyamaza na zama zao zimeisha. Nisaidie mkuu kwa faida yangu na wengi
 
Umeongopa

Aliyewaondoa wazee ni JK huyo huyo, alibadili katiba ya ccm na kuwaondoa kwa kisingizio kuwa wapate muda mwingi wa kupumzika. Maamuzi yakabaki kwake na watu wake, Wala usimsingizie mtu mwingine.
Justify!
Na unikumbushe vizuri pia ujasiri aliokua nao Ally Happy juu ya Hawa wazee kuwataka kunyamaza na zama zao zimeisha. Nisaidie mkuu kwa faida yangu na wenhi
Chadema ndo waanzilishi wa chuki za kiitikadi sasahivi wanalipia gharama ya walichokianzisha.
Tusaidie na hili Kwa reference
 
Ni rahisi sana kusema wana ujinga wakati chama kikuu refa wao, taratibu wanatunga wao, wanateua wasimamiz wao? Wanashindwaje kutumia huo mwanya kujipatia ushindi?

Upinzan unapigana kwenye mazingira ambayo wamefungwa mikono nyuma
Na huu ndio ujinga wa WaTz wengi. Mtu anaona sawa CHaDeMa kudhulumiwa, lakini timu yake ya Yanga au Simba ikiumizwa na maamuzi ya makosa ya Refa, basi ni kelele kutwa nzima!
 
Justify!
Na unikumbushe vizuri pia ujasiri aliokua nao Ally Happy juu ya Hawa wazee kuwataka kunyamaza na zama zao zimeisha. Nisaidie mkuu kwa faida yangu na wengi
Wewe ni mgeni? Katiba ya ccm iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2012 iliondoa wazee, ilileta maneno sana wakati huo lakini jk alitoa sababu kuwa wazee wapate muda mwingi kupumzika

Huyo Ally happi yeye alizungumza kwenye context ya wazee kupiga majungu pembeni na kuandika ule waraka. Mfano leo jk, kinana waanze maneno pembeni na kuandaa waraka, lazima atatokea chawa mmoja kuja kuwabeza na kuwatukana. Hiko ndio kilitokea kwa Ally happi. Nadhani unakumbuka ule waraka wao ndio hao chawa kina Ally happi wakaujibu kwa shombo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…