Mzee Kikwete: CCM ya sasa ukimtambulisha kiongozi wa Upinzani anaonekana Adui, nilimpigia kampeni Dr Ndugulile WHO, Ummy naye alifanya Kazi Kubwa!

Mzee Kikwete: CCM ya sasa ukimtambulisha kiongozi wa Upinzani anaonekana Adui, nilimpigia kampeni Dr Ndugulile WHO, Ummy naye alifanya Kazi Kubwa!

Wewe utakuwa shoga au fisadi.
Shoga baba yako falaa mmoja tu wewe kama wewe ulikua unamahaba nae uyo muuaji na muasisi wa mauaji ni wewe usitulazimishe tumpende haya yote yanayoendelea ni sababu yake huyo marehemu wenu wanaume machawa kama nyie kutwa kuchezewa mitaro na kupakatwa kusifia harakati na juhudi chanzo ni huyo marehemu wenu
 
Shoga baba yako falaa mmoja tu wewe kama wewe ulikua unamahaba nae uyo muuaji na muasisi wa mauaji ni wewe usitulazimishe tumpende haya yote yanayoendelea ni sababu yake huyo marehemu wenu wanaume machawa kama nyie kutwa kuchezewa mitaro na kupakatwa kusifia harakati na juhudi chanzo ni huyo marehemu wenu
Shithole mkubwa wewe! Utakuwa unapakatwa wewe shoga wa Moshi
 
Akiwa msibani kwa Faustine Ndugulile Rais mstaafu Dr Kikwete amesema kwa CCM ya sasa kumtambulisha kiongozi wa Upinzani hadharani unaonekana Adui yaani Kirusi.

Kikwete amesema hayo wakati akimtambulisha mbunge wa Viti Maalum Halima Mdee (Chadema)

Aidha Kikwete amesema baba yake Faustine yaani hayati Mzee Ndugulile alikuwa ni Rafiki yake na wamefanya Kazi pamoja Wizara ya Mambo ya nje.

Kikwete amesema alishiriki kumfanyia kampeni za WHO marehemu Faustine kwa kuongea na Viongozi mbalimbali wa Africa nao walikubali kutuunga mkono hata Senegal alipiga Simu kwa Waziri Mkuu naye akakubali Moja kwa Moja kuunga mkono Tanzania.

Pia Ummy Mwalimu alifanya Kazi Kubwa sana kuhakikisha Faustine anashinda.

Nawatakieni Dominica NJEMA 🌹
Naona Mzee Amesahau ile ccm ya kichaa magu imesharudi. Hawaoni akina Bashite ulingoni! Wale ni watekaji na wauaji.
 
Magufuli aliua nguvu ya wazee kwenye maamuzi ya chama. Nguvu ya wazee iliasisiwa na Nyerere. Kwankulitambua Hilo Magufuli akaamua kuwapunguza nguvu na kuwato katika sehemu ya maamuzi magumu ya chama. Akàanzisha kilichoitwa Baraza la ushauri ambalo halina meno. Kama mnavyojua ushauri ni ama ukubaliwe au ukataliwe. Baada ya kuwanyima nguvu akaanza kuwang'ong'a hadharani wazi wazi akijua hakuna WA kumfanya chilochote. Akaingiza kundi la wajinga na watumia nguvu kwenye chama kuliko hoja huku wakiimarisha ndoa Yao na vyombo vya Dola sambamba na mabadiliko lukuki ya Sheria za usalama na ulinzi!
Uadui miongoni mwa watanzania kwa misingi ya chama iliasisiwa na huyo na Wala hakiwezekani kupingwa. Kikwete alipeleka maendeleo kwa maeneo yalichagua upinzani kama njia ya wlkwashawishi wananchi wakuunge mkono na chama chake. Magufuli aliweka bayana kwamba hawezi na hatopeleka maendeleo Kwa watu wenye itikadi tofauti na chama chake. Alienda mbali kuwafananisha na magunzi na kutaka hadharani. Hii ilichochea na kurasimisha ukatili na uadui dhidi ya upinzani.
Umeongopa

Aliyewaondoa wazee ni JK huyo huyo, alibadili katiba ya ccm na kuwaondoa kwa kisingizio kuwa wapate muda mwingi wa kupumzika. Maamuzi yakabaki kwake na watu wake, Wala usimsingizie mtu mwingine.
 
Umeongopa

Aliyewaondoa wazee ni JK huyo huyo, alibadili katiba ya ccm na kuwaondoa kwa kisingizio kuwa wapate muda mwingi wa kupumzika. Maamuzi yakabaki kwake na watu wake, Wala usimsingizie mtu mwingine.
Justify!
Na unikumbushe vizuri pia ujasiri aliokua nao Ally Happy juu ya Hawa wazee kuwataka kunyamaza na zama zao zimeisha. Nisaidie mkuu kwa faida yangu na wengi
 
Umeongopa

Aliyewaondoa wazee ni JK huyo huyo, alibadili katiba ya ccm na kuwaondoa kwa kisingizio kuwa wapate muda mwingi wa kupumzika. Maamuzi yakabaki kwake na watu wake, Wala usimsingizie mtu mwingine.
Justify!
Na unikumbushe vizuri pia ujasiri aliokua nao Ally Happy juu ya Hawa wazee kuwataka kunyamaza na zama zao zimeisha. Nisaidie mkuu kwa faida yangu na wenhi
Chadema ndo waanzilishi wa chuki za kiitikadi sasahivi wanalipia gharama ya walichokianzisha.
Tusaidie na hili Kwa reference
 
Ni rahisi sana kusema wana ujinga wakati chama kikuu refa wao, taratibu wanatunga wao, wanateua wasimamiz wao? Wanashindwaje kutumia huo mwanya kujipatia ushindi?

Upinzan unapigana kwenye mazingira ambayo wamefungwa mikono nyuma
Na huu ndio ujinga wa WaTz wengi. Mtu anaona sawa CHaDeMa kudhulumiwa, lakini timu yake ya Yanga au Simba ikiumizwa na maamuzi ya makosa ya Refa, basi ni kelele kutwa nzima!
 
Justify!
Na unikumbushe vizuri pia ujasiri aliokua nao Ally Happy juu ya Hawa wazee kuwataka kunyamaza na zama zao zimeisha. Nisaidie mkuu kwa faida yangu na wengi
Wewe ni mgeni? Katiba ya ccm iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2012 iliondoa wazee, ilileta maneno sana wakati huo lakini jk alitoa sababu kuwa wazee wapate muda mwingi kupumzika

Huyo Ally happi yeye alizungumza kwenye context ya wazee kupiga majungu pembeni na kuandika ule waraka. Mfano leo jk, kinana waanze maneno pembeni na kuandaa waraka, lazima atatokea chawa mmoja kuja kuwabeza na kuwatukana. Hiko ndio kilitokea kwa Ally happi. Nadhani unakumbuka ule waraka wao ndio hao chawa kina Ally happi wakaujibu kwa shombo
 
Back
Top Bottom