Mzee Kikwete: CCM ya sasa ukimtambulisha kiongozi wa Upinzani anaonekana Adui, nilimpigia kampeni Dr Ndugulile WHO, Ummy naye alifanya Kazi Kubwa!

Hivyo siowote ni wabaya ila virusi vilivyo miongoni mwao?
 
Asante sana mzee Kikwete kwa kuliona hili. Bila shaka umejionea mwenyewe kuwa mambo yameharibika, yamekuwa mabaya sana. Sasa kama ulivyofanya Ndugulile akapata, fanya na huyu aondoke mwakani.
 
Chadema mmesahau mara hii mlivyokuwa mnatuzomea na kuturushia makopo tulivyokatiza mtaani na sare zetu za kijani? Ilifikia hatua tukashindwa kuvaa sare zetu, those days kwenu ilkuwa sherehe sasa ime-backfire mmeanza mayowe!!
Kama bwana mdogo unakumbuka vyema, CCM walikua hawawezi kuvaa sare za chama Chao sio kutokana na kuchukiwa na CHADEMA. Nasema hivi nikikumbusha kwamba Mimi sio mwanachama wa CHADEMA na sijawahi kuwa.
Sababu kubwa ilikua ni kushiriki, kulea na kuishi maisha ya kifisadi kama Ndio order of the day..
Transparency and good governance aliyoishamirisha JK iliweka bayana uzembe na uchafu wa uongozi wa CCM. Kulikua na mijdala huru kuanzia kwenye media, mtaani na kwenye majukwaa ya kisiasa ambayo iliwaweka uchi kiasi kwamba mliona aibu! Kilichokosekana kwa kiasi kikubwa ni accountability and rule of law Kwa kiwango kikubwa.
Watu wa CCM wamekuwa na ujasiri wa kuvaa sare hadharani bada ya Magufuli kuleta aina mpya ya utawala ambao ni undefined na akaamua kufanya "impunity". Kwamba yeyote anayekosoa Ccm alionekana ni adui wa taifa, hivyo mbeleko ya Dola ikiwemo kuwazuilia na kutishia maisha ya walosoaji ikatoa ujasiri huo. Ikiwa una ushahidi wankurushiwa makopo Kwa sababu tu ya kusimamia maslahi ya wananchi, utawala Bora, Haki, uwajibikaji na utawala wa Sheria basi uwasilishe hapa na nipo tayari kukosolewa.

Sasa kinachofanyika sasa hivi hata kama tutakubaliana na wewe kwamba hiyo Ndio sababu., hakuna ukweli wowote wa wanachama wa CDM kuunsa magenge ya askari wasiovalia sare na wasiofuata utaratibu kuwakamata wakosoaji wake. Na hivyo kuwapa Haki ya kufanya hivyo sasa hivyo.
Hakuna ushahidi wa CHADEMA kuandaa uchaguzi na kutumia Dola kupora na kuuwa wananchi hadharani mbele ya wake na watoto wao hivyo wanastahili hivyo hivi sasa.

Nawasilisha
 
Yuko sahihi,tumefikishwa hapa na awamu ya 5 na hali hii inaendelezwa na awamu ya 6.

Watawala wameonja Raha ya udikteta.
 
Wasiwasi upo kwa Team Msoga
 
Na huu ndio ukweli,unategemea nini mpaka hapo? Kwamba Samia hataki Madaraka?

JK ni sehemu ya hapa tulipo Kwa sababu alizotaka yeye so asilaumu watu.
 
Huu ujumbe upo coded sana.

Yajayo YANAFURAHISHA
Wapinzani hamuwezi kujikausha mkitegemea mbeleko ya JK.

Wanaonufaika na uwepo wa SSH unadhani ni wajinga tuu kwamba watakubali kirahisi? Jidanganye na ndio wameshika mpini.

Siku za karibuni JK anajilalamisha sana 😆😆
 
Kabisa, hivi Mbeya kwa Sugu Chadema hata mtaa mmoja hawajapata na Magufuli ni marehemu!
Chadomo ya mitandaoni ndio wapigakura wa Mbeya?

Kama wamedhulumiwa mbona hawalalamiki? Hujawona Chauma wakifurahia maisha?

Mwisho siasa za kijinga za zamani hazipo tena Mbeya watu wanaangalia siasa Zenye Tija.
 
Kikwete hakuwa makini kama mwenyekiti wa ccm, ndio akampa nafasi bwm akatuletea jiwe akaharibu demokrasia ya nchi hii na upuuzi wa jiwe ndio umekuwa kanuni kuharibu uchaguzi Kila mwaka! Jiwe alikuwa Mpuuzi sana!
Jaman mm jiwe sikumpenda kwa vijimambo vyake bt kwa sasa inatosha tumpumzishe kwa shutma za kweli na za kutunga
 
Imefikia muda hata bora tusingesoma bora tungekua waasi tu watu tunaumia hatutoboi hapo
 
Nami nilikuwa nashangaa sana.
CV ya Ndugulile ni ya kawaida sana, bila godfather asingeweza kufika hatua hiyo kamwe
Halafunsio Dr per say kuna waendesha boda hapa kibada wanamzidi ila ndo hvo mafuriko yalimpandisha kobe juu ya muembe
 
Kwanini uadui wa kisiasa uanaongezeka nchini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…