Mzee Kikwete, dunia ni ya utandawazi kila jambo litajieleza. Legacy yako ipo tu

Mzee Kikwete, dunia ni ya utandawazi kila jambo litajieleza. Legacy yako ipo tu

thetallest

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2017
Posts
8,271
Reaction score
9,113
Nilikuwa nafuatilia sherehe au hafla ya kuzinduliwa Ikulu, chamwino Dodoma.

Kwa jinsi ratiba ilivyopangwa Mzee Jakaya haukuwemo kwenye list ya wazungumzaji kabisa, nafsi yangu inaniambia hivyo.

Alianza Hussein Mwinyi, akafuata Dr Mpango, kisha rais Samia.

Cha kushangaza katikati rais Samia akiwa anaongea, aidha akakumbuka au akapewa kimemo cha wewe kutakiwa kutoa salamu nikaona kwenye uzinduzi wa hiyo Ikulu wewe unaweka mambo ya Kuala Lumpur na UDOM ,du!

Ukweli lazima usemwe, wazo lilikuwa awamu ya kwanza, awamu zilizofuta mliijikita kwenye priority's zingine za kulijenga taifa, na si vibaya hata kidogo.


Hili la kuhamia Dodoma kwa serikali, hakikuwa kipa umbele chenu.

Awamu ya tano ndio kazi hii illiifanya kwa nguvu zote, na Rais Samia aliachiwa kitonga na kumalizia, hivyo mtekelezaji wa wazo anabaki kuwa Magufuli pekee.na pengine bila nguvu yake tusingekuwa tnazungumzia uzinduzi leo hii, Magufuli alipingwa sana na wanasiasa na makundi mbalimbali,lakini hakujali


Kama kuna anaebisha, tuanzie kuzichambua juhudi za awamu ya pili, tatu,na nne nini zilichofanya kuhusu Ikulu ya Dodoma,. , kila kitu kipo rekodedi.

Nikuombe mzee wangu Jakaya, hebu jaribu kutulia, usilazimishe mambo, mema yako yapo wazi tu, Jaribu kuwa kama kina Dr sheiin, Mzee Mwinyi, ni watulivu sana, hili la ujenzi wa Ikulu ya Dodoma hauhusiki kabisa ulilipa kisogo.

Air time aliyokupa Mama Samia, umeitumia kujipigia promo tu, kwenye hamna.
 
😀😀

Pale Kitonga Anderson Mwanyato alijenga Hotel kwa ajili ya Wasafiri Watige Comfort Hotel

Yaani Kabla ya kupanda Mlima mnakula kabisa

Na ukitoka bara ukishuka tu Mlima unakutana na Chakula kinakusubiri

Wahehe wamejaliwa akili na maarifa

Swela mwagito Chalamila
 
Nilikuwa nafuatilia sherehe au hafla ya kuzinduliwa Ikulu, chamwino Dodoma,

Kwa jinsi ratiba ilivyopangwa Mzee Jakaya haukuwemo kwenye list ya wazungumzaji kabisa,nafsi yangu inaniambia hivyo.

Alianza Hussein Mwinyi,akafuata Dr Mpango,kisha rais Samia.

Cha kushangaza katikati rais Samia akiwa anaongea,aidha akakumbuka au akapewa kimemo cha wewe kutakiwa kutoa salamu.nikaona uzinduzi wa Ikulu wewe unaweka mambo ya Kuala Lumpur na UDOM

Ukweli lazima usemwe,wazo lilikuwa awamu ya kwanza,awamu zilizofuta mliijikita kwenye priority's zingine za kulijenga taifa,hili la kuhamia Dodoma kwa serikali hakikuwa kipa umbele chenu

Awamu ya tano ndio kazi hii illiifanya kwa nguvu zote, na Rais Samia akakuta kitonga na kumalizia,hivyo mtekelezaji wa wazo anabaki kuwa Magufuli pekee.


Kama kuna anaebisha,tuanzie kuzichambua juhudi za awamu za pili,tatu,na nne nini zilifanya,kila kitu kipo rekodedi,

Nikuombe mzee wangu Jakaya,hebu jaribu kutulia,usilazimishe mambo, mema yako yapo wazi,. jaribu kuwa kama kina Dr sheiin,Mzee Mwinyi,ni watulivu sana,hili la ujenzi wa Ikulu ya Dodoma huhusiki kabisa ulilipa kisogo,. Air time aliyokupa Mama Samia,umeitumia kujipigia promo tu,
Mzee ana wasiwasi,. Makamba sijamuona alikuwepo?
 
Nilikuwa nafuatilia sherehe au hafla ya kuzinduliwa Ikulu, chamwino Dodoma,

Kwa jinsi ratiba ilivyopangwa Mzee Jakaya haukuwemo kwenye list ya wazungumzaji kabisa,nafsi yangu inaniambia hivyo.

Alianza Hussein Mwinyi,akafuata Dr Mpango,kisha rais Samia.

Cha kushangaza katikati rais Samia akiwa anaongea,aidha akakumbuka au akapewa kimemo cha wewe kutakiwa kutoa salamu.nikaona uzinduzi wa Ikulu wewe unaweka mambo ya Kuala Lumpur na UDOM

Ukweli lazima usemwe,wazo lilikuwa awamu ya kwanza,awamu zilizofuta mliijikita kwenye priority's zingine za kulijenga taifa,hili la kuhamia Dodoma kwa serikali hakikuwa kipa umbele chenu

Awamu ya tano ndio kazi hii illiifanya kwa nguvu zote, na Rais Samia akakuta kitonga na kumalizia,hivyo mtekelezaji wa wazo anabaki kuwa Magufuli pekee.


Kama kuna anaebisha,tuanzie kuzichambua juhudi za awamu za pili,tatu,na nne nini zilifanya,kila kitu kipo rekodedi,

Nikuombe mzee wangu Jakaya,hebu jaribu kutulia,usilazimishe mambo, mema yako yapo wazi,. jaribu kuwa kama kina Dr sheiin,Mzee Mwinyi,ni watulivu sana,hili la ujenzi wa Ikulu ya Dodoma huhusiki kabisa ulilipa kisogo,. Air time aliyokupa Mama Samia,umeitumia kujipigia promo tu,
JF isingekuwa na privacy kubwa we jamaa ungetekwa afu ungepotezwa hapa duniani[emoji16]
 
Nilikuwa nafuatilia sherehe au hafla ya kuzinduliwa Ikulu, chamwino Dodoma,

Kwa jinsi ratiba ilivyopangwa Mzee Jakaya haukuwemo kwenye list ya wazungumzaji kabisa,nafsi yangu inaniambia hivyo.

Alianza Hussein Mwinyi,akafuata Dr Mpango,kisha rais Samia.

Cha kushangaza katikati rais Samia akiwa anaongea,aidha akakumbuka au akapewa kimemo cha wewe kutakiwa kutoa salamu.nikaona uzinduzi wa Ikulu wewe unaweka mambo ya Kuala Lumpur na UDOM

Ukweli lazima usemwe,wazo lilikuwa awamu ya kwanza,awamu zilizofuta mliijikita kwenye priority's zingine za kulijenga taifa,hili la kuhamia Dodoma kwa serikali hakikuwa kipa umbele chenu

Awamu ya tano ndio kazi hii illiifanya kwa nguvu zote, na Rais Samia akakuta kitonga na kumalizia,hivyo mtekelezaji wa wazo anabaki kuwa Magufuli pekee.


Kama kuna anaebisha,tuanzie kuzichambua juhudi za awamu za pili,tatu,na nne nini zilifanya,kila kitu kipo rekodedi,

Nikuombe mzee wangu Jakaya,hebu jaribu kutulia,usilazimishe mambo, mema yako yapo wazi,. jaribu kuwa kama kina Dr sheiin,Mzee Mwinyi,ni watulivu sana,hili la ujenzi wa Ikulu ya Dodoma huhusiki kabisa ulilipa kisogo,. Air time aliyokupa Mama Samia,umeitumia kujipigia promo tu,
Hata CDM walipinga mno magu kuhamishia ikulu dodoma na samia alipoapishwa watu wengi hasa mafisadi kama akina nape walipamba ili samia abatilishe huo mchakato
 
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957] mkwere kaingiza mambo ya UDOM utafikri na yenyewe ni ikulu
Unachokataa kitu gan? Si imesemwa pale wazo la kuhamia lipo toka 1971.na ilikua iwe chimwaga.lakin jk akasema aliamua chimwag iwe chuo .badala yake mipango sasa iwe chamwimo.of which wala sio ajabu.aliyefata kakuta kiwanja kipo chamwino kwaa maaana anaona kwenye faili folio ngap ilikua chimwaga ila utekelezaji sasa utakua chamwino. Haya kama hakufanya kitu unakataa pia kwamba hakuweka preliminaries za ujenzi.heka 60 za mwanzo alileta nani? Em acha ucdm
 
Nilikuwa nafuatilia sherehe au hafla ya kuzinduliwa Ikulu, chamwino Dodoma,

Kwa jinsi ratiba ilivyopangwa Mzee Jakaya haukuwemo kwenye list ya wazungumzaji kabisa,nafsi yangu inaniambia hivyo.

Alianza Hussein Mwinyi,akafuata Dr Mpango,kisha rais Samia.

Cha kushangaza katikati rais Samia akiwa anaongea,aidha akakumbuka au akapewa kimemo cha wewe kutakiwa kutoa salamu.nikaona uzinduzi wa Ikulu wewe unaweka mambo ya Kuala Lumpur na UDOM

Ukweli lazima usemwe,wazo lilikuwa awamu ya kwanza,awamu zilizofuta mliijikita kwenye priority's zingine za kulijenga taifa,hili la kuhamia Dodoma kwa serikali hakikuwa kipa umbele chenu

Awamu ya tano ndio kazi hii illiifanya kwa nguvu zote, na Rais Samia akakuta kitonga na kumalizia,hivyo mtekelezaji wa wazo anabaki kuwa Magufuli pekee.


Kama kuna anaebisha,tuanzie kuzichambua juhudi za awamu za pili,tatu,na nne nini zilifanya,kila kitu kipo rekodedi,

Nikuombe mzee wangu Jakaya,hebu jaribu kutulia,usilazimishe mambo, mema yako yapo wazi,. jaribu kuwa kama kina Dr sheiin,Mzee Mwinyi,ni watulivu sana,hili la ujenzi wa Ikulu ya Dodoma huhusiki kabisa ulilipa kisogo,. Air time aliyokupa Mama Samia,umeitumia kujipigia promo tu,
Huu ubaguzi tunauendekeza humu JF sidhani kama miongoni mwa marais wanakuwa na akili hizi za kubaguana.

Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, JPM na Samia wote wanatekeleza ilani moja ya CCM, inakera kuona wafuasi wao tunatoana macho humu jukwaani kwa hoja za chuki na pengine wivu.
 
Nilikuwa nafuatilia sherehe au hafla ya kuzinduliwa Ikulu, chamwino Dodoma,

Kwa jinsi ratiba ilivyopangwa Mzee Jakaya haukuwemo kwenye list ya wazungumzaji kabisa,nafsi yangu inaniambia hivyo.

Alianza Hussein Mwinyi,akafuata Dr Mpango,kisha rais Samia.

Cha kushangaza katikati rais Samia akiwa anaongea,aidha akakumbuka au akapewa kimemo cha wewe kutakiwa kutoa salamu.nikaona uzinduzi wa Ikulu wewe unaweka mambo ya Kuala Lumpur na UDOM

Ukweli lazima usemwe,wazo lilikuwa awamu ya kwanza,awamu zilizofuta mliijikita kwenye priority's zingine za kulijenga taifa,hili la kuhamia Dodoma kwa serikali hakikuwa kipa umbele chenu

Awamu ya tano ndio kazi hii illiifanya kwa nguvu zote, na Rais Samia akakuta kitonga na kumalizia,hivyo mtekelezaji wa wazo anabaki kuwa Magufuli pekee.


Kama kuna anaebisha,tuanzie kuzichambua juhudi za awamu za pili,tatu,na nne nini zilifanya,kila kitu kipo rekodedi,

Nikuombe mzee wangu Jakaya,hebu jaribu kutulia,usilazimishe mambo, mema yako yapo wazi,. jaribu kuwa kama kina Dr sheiin,Mzee Mwinyi,ni watulivu sana,hili la ujenzi wa Ikulu ya Dodoma huhusiki kabisa ulilipa kisogo,. Air time aliyokupa Mama Samia,umeitumia kujipigia promo tu,
Kajamaa kalizingua kweli na habari zake za kuala Lumpur.. basi bwana huyu Jamaa kwa kujipenyeza hata shughuli isiyoyake hatari, hata wazee wasela wapo kumbe
 
Nilikuwa nafuatilia sherehe au hafla ya kuzinduliwa Ikulu, chamwino Dodoma.

Kwa jinsi ratiba ilivyopangwa Mzee Jakaya haukuwemo kwenye list ya wazungumzaji kabisa, nafsi yangu inaniambia hivyo.

Alianza Hussein Mwinyi, akafuata Dr Mpango, kisha rais Samia.

Cha kushangaza katikati rais Samia akiwa anaongea, aidha akakumbuka au akapewa kimemo cha wewe kutakiwa kutoa salamu nikaona uzinduzi wa Ikulu wewe unaweka mambo ya Kuala Lumpur na UDOM

Ukweli lazima usemwe,wazo lilikuwa awamu ya kwanza,awamu zilizofuta mliijikita kwenye priority's zingine za kulijenga taifa,hili la kuhamia Dodoma kwa serikali hakikuwa kipa umbele chenu

Awamu ya tano ndio kazi hii illiifanya kwa nguvu zote, na Rais Samia akakuta kitonga na kumalizia,hivyo mtekelezaji wa wazo anabaki kuwa Magufuli pekee.

Kama kuna anaebisha, tuanzie kuzichambua juhudi za awamu za pili, tatu,na nne nini zilifanya, kila kitu kipo rekodedi.

Nikuombe mzee wangu Jakaya, hebu jaribu kutulia, usilazimishe mambo, mema yako yapo wazi. Jaribu kuwa kama kina Dr sheiin, Mzee Mwinyi, ni watulivu sana, hili la ujenzi wa Ikulu ya Dodoma huhusiki kabisa ulilipa kisogo. Air time aliyokupa Mama Samia, umeitumia kujipigia promo tu.
Sukumagang liking'ang'anizia legacy ya Mwendazake! Kwahiyo UDOM na Kikwete Hall ni kazi ya JPM?
 
Huu ubaguzi tunauendekeza humu JF sidhani kama miongoni mwa marais wanakuwa na akili hizi za kubaguana.

Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, JPM na Samia wote wanatekeleza ilani moja ya CCM, inakera kuona wafuasi wao tunatoana macho humu jukwaani kwa hoja za chuki na pengine wivu.
Wenye akili fupi hawatakuelewa
 
Huu ubaguzi tunauendekeza humu JF sidhani kama miongoni mwa marais wanakuwa na akili hizi za kubaguana.

Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, JPM na Samia wote wanatekeleza ilani moja ya CCM, inakera kuona wafuasi wao tunatoana macho humu jukwaani kwa hoja za chuki na pengine wivu.
Ndo walivyo watu wa kule! Pata picha mjane husingiziwa mchawi na kucharangwa mapanga ili kumdhulumu ardhi!
 
Jakaya alikuwa anajitahidi kweli kukolezea dhima yao kwamba awamu zote zimehusika kama simulizi ya kulazimisha ya zuhura ilivyoeleza naona makubaliano yalikuwa sio kuitukuza zaidi awamu ya tano badala ya kuzungumza ukweli kwamba awamu ya Kwanza ilianzisha awamu ya tano ikatekeleza Kwa vitendo sasa mambo ya kusema sijui walienda kuangalia mfano Kuala Lumpa sijui kujenga chuo kikuu huko ni kutaka kulazimisha kufuta legacy ya mwenzie.

Mnyonge mnyonge ila haki yake mpeni.

Kwanza awamu ya nne haijawahi kuwaza hata kuhamishia serikali Dodoma huo ndio ukweli.

Na kama ingetokea Membe au Lowassa wangeshinda 2015 nakuhakakikishia serikali ingekuwa Dar bado.
 
Back
Top Bottom