Mzee Kikwete, dunia ni ya utandawazi kila jambo litajieleza. Legacy yako ipo tu

Mzee Kikwete, dunia ni ya utandawazi kila jambo litajieleza. Legacy yako ipo tu

UDOM ulikuwa mradi wa upigaji wa fedha Za serikali.
Hakuna chuo kikuu duniani kisicho na mpangilio kama UDOM.
Ulikitaka kiweje ? Watu hawagraduate? Hakuna research pale? Au ulichosoma hakipo mzee baba. Mbona kuna tu vyuo hatulingan na udom. Shida ya udom nini hasa ?? Au kwa vile imejengwa na j.k
 
Ulikitaka kiweje ? Watu hawagraduate? Hakuna research pale? Au ulichosoma hakipo mzee baba. Mbona kuna tu vyuo hatulingan na udom. Shida ya udom nini hasa ?? Au kwa vile imejengwa na j.k
1. Ukimaliza Medicine UDOM huwezi kukutana au kumfahamu aliyemaliza UDOM HR,
2. Sketi pale Hawa disco
3. Walimu wa pale ni sawa na walimu wa sekondari tofauti ni GPA na hizo GPA kubwa zilivyopatika ni mungu anajua.
4. PhD Za UDOM zinatolewa kisiasa.
5. Kuna jinsia pale wanajiuza mjini.Kwa wanasiasa.
 
Ukisema hivi inaonekana eti wewe ni sukuma gang,acha na iwe hivyo,mwamba alikuwa kifaa haswa

Siku zote mi huwa najisemea kama Magufuli alizimishwa na Watu wa Intelligence wanalifahamu kwa kuleta Maendeleo lukuki namna hii, basi Inchi haiko salama.
 
Hiyo ikulu ni kupoteza hela tu.. mama Ni mtu wa pwani kila siku yupo Dar
 
Back
Top Bottom