Mzee Kikwete, dunia ni ya utandawazi kila jambo litajieleza. Legacy yako ipo tu

Mzee Kikwete, dunia ni ya utandawazi kila jambo litajieleza. Legacy yako ipo tu

Mwamba ndo angekufa kuzembe namna ile. Kifo dhalili kabisa ht masikini alowaita wanyonge hawafi kilofa vile halafu ndo mnamuona eti mwamba
Wewe unajua kifo chako kitakuwaje? Unaongea utadhani wewe una mamlaka na pumzi uliyonayo,pengine wewe utakufa ovyo na utaishia kuwa mzoga wa kuliwa na fisi,nani ajuaye kesho yake?
 
Kikwete alikuwa anamuonea wivu Magufuli kwa mafanikio yake. Miaka kumi ya Kikwete ni mitano ya Magufuli
Kiukweli labda tuseme mitatu.. jambo ambalo lilitakiwa kumpa kiwete sifa ni mkongo wa mawasiliano.. lakini sahivi ndio umekuwa kama ulikiwa uwekezaji wakuja kufanya upigaji wa milele[emoji23]

Vifurushi vya Internet vipo juu mno wadau.. kitendo cha sisi kuwa na huu mkongo bei ilitakiwa iwe chini zaidi ya hapa wakuu
 
Kiukweli labda tuseme mitatu.. jambo ambalo lilitakiwa kumpa kiwete sifa ni mkongo wa mawasiliano.. lakini sahivi ndio umekuwa kama ulikiwa uwekezaji wakuja kufanya upigaji wa milele[emoji23]

Vifurushi vya Internet vipo juu mno wadau.. kitendo cha sisi kuwa na huu mkongo bei ilitakiwa iwe chini zaidi ya hapa wakuu
Tuendelee kuanika ukweli,maana hawa jamaa wamemkamia hayati Magufuli,na hawezi jitetea,ni jukumu letu kumtetea
 
Lakini na yeye Mpoto kaupata ujumbe sawia,watu wamemsuuza haswa kwenye page yake kule Instagram mpaka amelimit comment.
Hahahaaa... lazima wampopoe anavojifanyaga anachana haogopi imekuaje hahahaaa...
Mambo ya siasa🙌🙌🙌
 
Nilikuwa nafuatilia sherehe au hafla ya kuzinduliwa Ikulu, chamwino Dodoma.

Kwa jinsi ratiba ilivyopangwa Mzee Jakaya haukuwemo kwenye list ya wazungumzaji kabisa, nafsi yangu inaniambia hivyo.

Alianza Hussein Mwinyi, akafuata Dr Mpango, kisha rais Samia.

Cha kushangaza katikati rais Samia akiwa anaongea, aidha akakumbuka au akapewa kimemo cha wewe kutakiwa kutoa salamu nikaona kwenye uzinduzi wa hiyo Ikulu wewe unaweka mambo ya Kuala Lumpur na UDOM ,du!

Ukweli lazima usemwe, wazo lilikuwa awamu ya kwanza, awamu zilizofuta mliijikita kwenye priority's zingine za kulijenga taifa, na si vibaya hata kidogo.


Hili la kuhamia Dodoma kwa serikali, hakikuwa kipa umbele chenu.

Awamu ya tano ndio kazi hii illiifanya kwa nguvu zote, na Rais Samia aliachiwa kitonga na kumalizia, hivyo mtekelezaji wa wazo anabaki kuwa Magufuli pekee.na pengine bila nguvu yake tusingekuwa tnazungumzia uzinduzi leo hii, Magufuli alipingwa sana na wanasiasa na makundi mbalimbali,lakini hakujali


Kama kuna anaebisha, tuanzie kuzichambua juhudi za awamu ya pili, tatu,na nne nini zilichofanya kuhusu Ikulu ya Dodoma,. , kila kitu kipo rekodedi.

Nikuombe mzee wangu Jakaya, hebu jaribu kutulia, usilazimishe mambo, mema yako yapo wazi tu, Jaribu kuwa kama kina Dr sheiin, Mzee Mwinyi, ni watulivu sana, hili la ujenzi wa Ikulu ya Dodoma hauhusiki kabisa ulilipa kisogo.

Air time aliyokupa Mama Samia, umeitumia kujipigia promo tu, kwenye hamna.
Mkuu nahisi una wivu
 
Nilikuwa nafuatilia sherehe au hafla ya kuzinduliwa Ikulu, chamwino Dodoma.

Kwa jinsi ratiba ilivyopangwa Mzee Jakaya haukuwemo kwenye list ya wazungumzaji kabisa, nafsi yangu inaniambia hivyo.

Alianza Hussein Mwinyi, akafuata Dr Mpango, kisha rais Samia.

Cha kushangaza katikati rais Samia akiwa anaongea, aidha akakumbuka au akapewa kimemo cha wewe kutakiwa kutoa salamu nikaona kwenye uzinduzi wa hiyo Ikulu wewe unaweka mambo ya Kuala Lumpur na UDOM ,du!

Ukweli lazima usemwe, wazo lilikuwa awamu ya kwanza, awamu zilizofuta mliijikita kwenye priority's zingine za kulijenga taifa, na si vibaya hata kidogo.


Hili la kuhamia Dodoma kwa serikali, hakikuwa kipa umbele chenu.

Awamu ya tano ndio kazi hii illiifanya kwa nguvu zote, na Rais Samia aliachiwa kitonga na kumalizia, hivyo mtekelezaji wa wazo anabaki kuwa Magufuli pekee.na pengine bila nguvu yake tusingekuwa tnazungumzia uzinduzi leo hii, Magufuli alipingwa sana na wanasiasa na makundi mbalimbali,lakini hakujali


Kama kuna anaebisha, tuanzie kuzichambua juhudi za awamu ya pili, tatu,na nne nini zilichofanya kuhusu Ikulu ya Dodoma,. , kila kitu kipo rekodedi.

Nikuombe mzee wangu Jakaya, hebu jaribu kutulia, usilazimishe mambo, mema yako yapo wazi tu, Jaribu kuwa kama kina Dr sheiin, Mzee Mwinyi, ni watulivu sana, hili la ujenzi wa Ikulu ya Dodoma hauhusiki kabisa ulilipa kisogo.

Air time aliyokupa Mama Samia, umeitumia kujipigia promo tu, kwenye hamna.
Shida hamfuatilii tu mambo, siku ya kuweka jiwe la Msingi..Mh. Kikwete aluongea historia ya ujenzi wa Ikulu Dodoma mbele ya mh. Magufuli, na yote yalikuwa sahihi kama alivyoongea Jana.

Shida mnapenda kusikia kinachowafurahisha tu.
 
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957] mkwere kaingiza mambo ya UDOM utafikri na yenyewe ni ikulu
Mkwere anajisifia mwenyewe; UDOM alipiga hela za NSSF wakishirikiana na Ramadhan Dau, mpaka leo wafanyakazi wamasota hawapewi hela zao wakistaafu!! Mkwere hana soni!!
 
Kazi kwelikweli,mmoja yeye alikuwa bingwa wa trip, mwingine alijikita kuijenga nchi yake kwa mapato ya ndani
Kusema kuwa mmoja alibakia nchini akijikiitila kujenga nchi kwa mapato ya ndani ni uwongo mkubwa. Afadhali ungesema kuwa mmoja aliamua kutosafiri, akianzisha miradi mbalimbali iliyokuwa ikijengwa kwa pesa za mikopo, kuwapora matajiri, na kodi halali kutoka kwa wannachi, lakini wananchi wakidanganywa kuwa miradi yote inajengwa kwa pesa za ndani.
 
Kusema kuwa mmoja alibakia nchini akijikiitila kujenga nchi kwa mapato ya ndani ni uwongo mkubwa. Afadhali ungesema kuwa mmoja aliamua kutosafiri, akianzisha miradi mbalimbali iliyokuwa ikijengwa kwa pesa za mikopo, kuwapora matajiri, na kodi halali kutoka kwa wannachi, lakini wananchi wakidanganywa kuwa miradi yote inajengwa kwa pesa za ndani.

Sawa yupi bora
 
Back
Top Bottom