Mzee Kikwete, dunia ni ya utandawazi kila jambo litajieleza. Legacy yako ipo tu

Mzee Kikwete, dunia ni ya utandawazi kila jambo litajieleza. Legacy yako ipo tu

Hata mzee wa rondo mlikuwa mnamsifia hivyo hivyo mara kachero mbobezi mara sijui nini kafa kaishia kuzikwa na watu wasiozidi 200 sasa mtu unajiuliza umaarufu wake ulikuwa wapi?
Kwenye magosi tu
 
Uzwaga huu. Kikwete katika maelezo yake kisa Cha kuitaja UDOM alikuwa ana link namna walivyojadili ikuluvikajengwe wapi. Acheni Siasa za Maji taka.

Tuwaache wazee wetu wastaafu wapumzike sio Kila siku kuwalinganisha Kwa mitazamo ya kuwagombanisha
Kwahiyo Kikwete bado anagombana na marehemu?
 
Thubutu labda useme miwili
Kajamaa huwa kanatamani miaka irudi nyuma ili aweze kusahihisha makosa yake

Ukweli Magufuli alimprovu wrong pakubwa mno Jakaya Kikwete, Kikwete hakuitumia dhamana ya urais kujenga nchi bali alikuwa anazurula hovyo akiacha uhalifu mkubwa ndani ya serikali ukiendelea,hili linamuumiza sana
 
Huu ubaguzi tunauendekeza humu JF sidhani kama miongoni mwa marais wanakuwa na akili hizi za kubaguana.

Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, JPM na Samia wote wanatekeleza ilani moja ya CCM, inakera kuona wafuasi wao tunatoana macho humu jukwaani kwa hoja za chuki na pengine wivu.
Yaani sijui watu wanashindania nini.....mbaya zaidi wanawasifu watu kaam vile walitoa pesa zao mfukoni wakatelezeza hiyo miradi na si Kodi zetu.
Najiuliza tu Kuna mbegu gani imepandwa ya kuharibu mema yote ya serikali zilizopita mpk hii moja ndio iwe imefanya kila kitu ndani ya miaka mitano
 
Kuna watu wana ideology za kipuuzi sana. Hawawezi kusifia kazi nzuri za JPM bila kushambulia wengine.

Kusema awamu zilizopita hazikufanya kitu na bila awamu ya 5 pasingekwa na kitu ni UPOTOSHAJI wa kijinga.

JPM ameingia ikulu baada ya kazi nzuri ya uwaziri chini ya maraisi watangulizi. Sasa kama hakuna kilichofanyika ni kazi zipi alikuwa anafanya akiwa waziri mpaka CV ikaonekana?

NYERERE ANA SEHEMU YAKE, MWINYI ANA SEHEMU YAKE, MKAPA ANA SEHEMU YAKE, KIKWETE ANA SEHEMU YAKE, MAGUFULI ANA SEHEMU YAKE NA SAMIA ATAKUWA NA SEHEMU YAKE.
Ila kuna kuzidiana mkuu hata darasni hamuwezi ote kuwa sawa means kuna wakwanza hadi wa mwisho
 
Kuna watu wana ideology za kipuuzi sana. Hawawezi kusifia kazi nzuri za JPM bila kushambulia wengine.

Kusema awamu zilizopita hazikufanya kitu na bila awamu ya 5 pasingekwa na kitu ni UPOTOSHAJI wa kijinga.

JPM ameingia ikulu baada ya kazi nzuri ya uwaziri chini ya maraisi watangulizi. Sasa kama hakuna kilichofanyika ni kazi zipi alikuwa anafanya akiwa waziri mpaka CV ikaonekana?

NYERERE ANA SEHEMU YAKE, MWINYI ANA SEHEMU YAKE, MKAPA ANA SEHEMU YAKE, KIKWETE ANA SEHEMU YAKE, MAGUFULI ANA SEHEMU YAKE NA SAMIA ATAKUWA NA SEHEMU YAKE.
Mkuu lakini hili tatizo kwa nini limeanza awamu ya tano? Kuna shida kwa wafuasi wa awamu ya tano najiuliza nini kilipangwa mpk hali iko hivi?
 
HAKUNA awamu ya kipumbavu kama ya Kikwete, kwanza nchi ilimshinda kuongoza na watu wengi sana walitekwa na kutupwa Mabwepande wakiwa wameng'olewa kucha na pliers ama kuminywa pumbu mpaka zinabondeka kama chapati kisa tu umemkosoa. Wafanyakazi serikalini walikuwa hawafanyi kazi, ujambazi na wizi ulizidi mijini, uuzwaji madawa ya kulevya ulishamiri huku mwanaye (Ridhiwani) akiwa kinara wa hiyo biashara mpaka akalitia taifa hasara kwenda kumtoa gerezani China alipokamatwa na makontena ya madawa. Leo hii nchi imefirisiwa na Wachina kwa ajili ya uzembe wa Kikwete kusaini mikataba ya kijinga kukubaliana na conditions alizopewa na Wachina ili kumuokoa mwanaye. Kikwete si mtu ambaye anatakiwa kuonekana hadharani, hafai kwa chochote. Kwa kweli tunahitaji katiba mpya ili tuwakamate na kuwanyonga viongozi wapuuzi na wezi wa mali ya umma.
Weka ushahidi mkuu maneno tu tunaamini vipi?
 
Ila kuna kuzidiana mkuu hata darasni hamuwezi ote kuwa sawa means kuna wakwanza hadi wa mwisho
Hapana boss, hatuna kipimo cha kuwashindanisha mafundi wanaojenga nyumba moja.

Kwamba fundi anayepaua useme anapaua vizuri kuliko fundi aliyeweka pipe za umeme? Au fundi aliyechimba msingi umshindanishe na fundi aliyekuvutia maji?

Ukitaka kumsifia JPM, zile sifa zimeshikamana na wastaafu. Unapoanza kuwatoa wastaafu tatizo linazaliwa.

Nitakupa Mfano:

JPM alisimamia miundombinu vizuri sana, akafanya mambo makubwa kwenye ujenzi kupitia makusanyo ya kodi na mikopo ambayo tunailipa wenyewe, Je hayo makusanyo ya kodi historia ya biashara nchini zinazoleta hiyo kodi unaweza zipuuza?

Utamlinganisha Mwinyi na JPM na kusema Mwinyi kashindwa na JPM ilihali yeye ndo alifungua milango ya biashara nchini ambazo ndo zimekuwa na kufikia kiwango ambacho JPM aliweza kuzikomalia zilipe kodi? JPM angerithi nchi ya kijamaa aliyoiacha nyerere angetumia miaka 10 kukuza biashara au angeendeleza ya nyerere?

Au utasema Mkapa hajafanya vizuri kuliko JPM ilihali chombo na mifumo aliyotumia JPM kukusanya kodi kiliasisiwa na kusukwa na Mkapa?

JPM hakuingia madarakani akaanzisha biashara akazilea zikakua zikakomaa akaanzisha chombo cha kukusanya kodi na mifumo yake kisha akaanza kukusanya kodi, amekuta biashara zipo, mifumo ipo kisha akaitumia kufanya sehemu yake.

Kama ambavyo tunaona si sawa Samia kuchukua credit ya ujenzi bwawa la nyerere bila kumuhusisha JPM, hivyo hivyo si sawa kumpa credit JPM bila kuwahusisha walezi wake waliomtangulia.
 
Kajamaa huwa kanatamani miaka irudi nyuma ili aweze kusahihisha makosa yake

Ukweli Magufuli alimprovu wrong pakubwa mno Jakaya Kikwete, Kikwete hakuitumia dhamana ya urais kujenga nchi bali alikuwa anazurula hovyo akiacha uhalifu mkubwa ndani ya serikali ukiendelea,hili linamuumiza sana
Lile shetani lenu la Chato ndo linatamani kama lirudi kuja kutumaliza kabisa
 
Kumbe nawewe umeona eeehhh hahaa! Mi mwenyewe alipoanza kuflow sifa za wa awali nikasubiria sifa kemkem za jiwe yani kwa nature ya mjomba nilijua kwa Mwamba angeuaaaaaaa haaaa dakika Mbili nyingi ni shwaaaa kahamia kwa mama [emoji23][emoji23]!
Lakini na yeye Mpoto kaupata ujumbe sawia,watu wamemsuuza haswa kwenye page yake kule Instagram mpaka amelimit comment.
 
Yaani sijui watu wanashindania nini.....mbaya zaidi wanawasifu watu kaam vile walitoa pesa zao mfukoni wakatelezeza hiyo miradi na si Kodi zetu.
Najiuliza tu Kuna mbegu gani imepandwa ya kuharibu mema yote ya serikali zilizopita mpk hii moja ndio iwe imefanya kila kitu ndani ya miaka mitano
Maelezo yako yameonyesha upande wako kwenye huu mtifuano
 
Back
Top Bottom