HAKUNA awamu ya kipumbavu kama ya Kikwete, kwanza nchi ilimshinda kuongoza na watu wengi sana walitekwa na kutupwa Mabwepande wakiwa wameng'olewa kucha na pliers ama kuminywa pumbu mpaka zinabondeka kama chapati kisa tu umemkosoa. Wafanyakazi serikalini walikuwa hawafanyi kazi, ujambazi na wizi ulizidi mijini, uuzwaji madawa ya kulevya ulishamiri huku mwanaye (Ridhiwani) akiwa kinara wa hiyo biashara mpaka akalitia taifa hasara kwenda kumtoa gerezani China alipokamatwa na makontena ya madawa. Leo hii nchi imefirisiwa na Wachina kwa ajili ya uzembe wa Kikwete kusaini mikataba ya kijinga kukubaliana na conditions alizopewa na Wachina ili kumuokoa mwanaye. Kikwete si mtu ambaye anatakiwa kuonekana hadharani, hafai kwa chochote. Kwa kweli tunahitaji katiba mpya ili tuwakamate na kuwanyonga viongozi wapuuzi na wezi wa mali ya umma.