Mzee Kikwete leo Mbagala umenena vyema kuwa miradi mingi ya awamu hii uliiasisi wewe japo wa gesi ya Mtwara hujauongelea

Tuondokane na dikteta mwaka huu.
 
Mkuu humtendei haki JPM amekuwa Mtwara mwaka huu mara ngapi? Hata kabla ya kampeni alikuwa kule kama sikosei alilaumiwa kuhongwa jogoo akitokea ntwara.
Unaongelea Lupaso
Msiba huko jombaa
 
Sijui kwanini huyu jamaa watu bado wanamkumbuka na kumsifia. Wamesahau kaingizia nchi yetu hasara ya Matrillion kwa kuuza gesi yetu. Na Wamesahau pia anapata mgao wake wa IPTL wa shilingi million mia nne na ushehe KWA SIKU.

A smiling devil

chochote kizuri hakikosi kasoro,hata saddam hussein licha ya kwamba alikuwa dictator lakini aliwajengea nyumba wananchi wake na alitoa machozi aliposikia wanapata tabu
 
Sijui kwanini huyu jamaa watu bado wanamkumbuka na kumsifia. Wamesahau kaingizia nchi yetu hasara ya Matrillion kwa kuuza gesi yetu. Na Wamesahau pia anapata mgao wake wa IPTL wa shilingi million mia nne na ushehe KWA SIKU.

A smiling devil
Fanya ufanyavyo Jakaya ataendelea kuwa raisi bora kabisa zaidi ya huyu mpenda sifa ambae anawaona waliomtangulia hawajafanya lolote,
Alifanya mengi hasa ukilinganisha na deni la taifa lililoongezeka kwenye utawala wake,nakuhakikishia kama Jakaya angekopakopa hovyo kama jiwe angefanya makubwa zaidi ya jiwe huku wananchi tusingeishi maisha ya hovyo kama sasa.
Mpaka sasa hakuna utawala umekopa nje kama wa awamu ya tano huku ukituaminisha kwamba unawachukia sana mabeberu.
Nakukumbusha wakati unachekelea hizo ndege,ufanye na tathmini ya deni la taifa limekuwa kwa kiasi gani kwenye utawala huu ukilinganisha na watangulizi wake.
 
Sijui kwanini huyu jamaa watu bado wanamkumbuka na kumsifia. Wamesahau kaingizia nchi yetu hasara ya Matrillion kwa kuuza gesi yetu. Na Wamesahau pia anapata mgao wake wa IPTL wa shilingi million mia nne na ushehe KWA SIKU.

A smiling devil
1.5tr
 
Sijui kwanini huyu jamaa watu bado wanamkumbuka na kumsifia. Wamesahau kaingizia nchi yetu hasara ya Matrillion kwa kuuza gesi yetu. Na Wamesahau pia anapata mgao wake wa IPTL wa shilingi million mia nne na ushehe KWA SIKU.

A smiling devil
Tutamkumbuka Kikwete kwasababu tumegundua UTU ni Bora kuliko MALI.

Ni Bora uwe na Rais Fisadi ila mwenye UTU.

Sasa hivi watu wanapigania tena UHURU, HAKI, Furaha na UHAI.

Mali zitakuja baadaye.
 
Mnashindwa kuelewa hii ni serikari ya ccm! Tunajenga na bwawa lililoasisiwa 1975. Hakuna jipya ndugu, swala ni kazi tu
 
Tutamkumbuka Kikwete kwasababu tumegundua UTU ni Bora kulikoMALI.

Ni Bora uwe na Rias Fisadi ila mwenye UTU.

Sasa hivi watu wanapigania tena UHURU wao, HAKI, Furaha na UHAI.

Mali zitakuja baadaye.
Wapinzani hamuelewekagi siku zote, ndo maana ikulu mtaisikia tu!
 
CCM haijawahi kuleta mtu kwa nafasi ya Urais ambaye ni wa mashaka mashaka.

Wote ni vyuma haswa.
 
Sijui kwanini huyu jamaa watu bado wanamkumbuka na kumsifia. Wamesahau kaingizia nchi yetu hasara ya Matrillion kwa kuuza gesi yetu. Na Wamesahau pia anapata mgao wake wa IPTL wa shilingi million mia nne na ushehe KWA SIKU.

A smiling devil
Sijaelewa ile trn 1.5 alipoteza yeye k aliosema asad?
 
Kikwete ni Mwanasiasa hata ukisikiliza hotuba tu kuna tofauti kubwa sana na huyu mswaga Ng'ombe
Your browser is not able to display this video.
 
Dah, kwa nondo hizi, gari la mkaa halitatoka garage.
 
Mawazo MGANDO HAYO.
 
Sijui kwanini huyu jamaa watu bado wanamkumbuka na kumsifia. Wamesahau kaingizia nchi yetu hasara ya Matrillion kwa kuuza gesi yetu. Na Wamesahau pia anapata mgao wake wa IPTL wa shilingi million mia nne na ushehe KWA SIKU.

A smiling devil
Wangemkamata Sasa, au wabadili katiba ili rais mstafu aruhusiwe kushitakiwa , zaidi ya hapo ni porojo na kuchafuana kisiasa,.
 
Teh... jiwe anaogopa kukanyaga Mtwara naona na JK naye anaogopa hata kupataja🙌🙌

Sijui nini kinaendelea
au yule bibi wa gesi ameshawatumia ujumbe😀😀
Mkuu mtwara usalama sio mzuri kule si unajua Kuna kikundi Cha kigaidi kinatishia! Unataka rais aende huko ili Nini?
 
Mnashindwa kuelewa hii ni serikari ya ccm! Tunajenga na bwawa lililoasisiwa 1975. Hakuna jipya ndugu, swala ni kazi tu
Hawa ukichunguza utagundua wengi wao ni wale waliokuwa wakienda mjini wanafanya ujanja ujanja ikifika jioni mifukoni imejaa pesa,kwahiyo awamu hii kwao ni mwiba...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…