4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Sasa mbona Jk hajanialika ili tupande wote ?Rais wa awamu ya 4 mzee Kikwete Leo amesafiri kwa TREN ya SGR kutoka Dar es salaam hadi Morogoro na kusema safari yao wametumia muda wa saa 1 na dakika 49 tu
Mzee Kikwete amesema mradi wa SGR iliasisiwa na hayati Mkapa na ilipofika awamu ya Shujaa Magufuli ndio alianza Kuutekeleza lakini kwa bahati mbaya hakushuhudia matunda ya Juhudi zake
Mzee Kikwete amemshukuru Sana Mpendwa Wetu Mh Rais Samia kwa kuendelea kuukamilisha mradi huu ambapo Kesho Treni ya SGR itatoka DAR ES SALAAM hadi Dodoma ambayo ni mafanikio ya kihistoria
Source: ITV Habari
Kwa iyo Mzee wa tabasam ameamua kwa makusudi kutupanga sio!TRA iliundwa na Mkapa ila mchakato wake ulianzia Serikali ya Mwinyi ๐
Kwa taarifa yako Wazuri hawafi mapemaToo bad utaanza kufa wewe kwanza,maisha ya kukesha bar huku UNAJIFUKIZA NA SHISHA NA POMBE KALI KWANINI USIAGE MASHINDANO MAPEMA??
Wazuri hawafi mapemaAngalia bana usije ukatangulia wewe ๐
Ova
Uncle TomThis happened to me when Jiwe died.
Sonoma ndo mdudu gani?Ndugu tibu Sonoma usije ukafa mapema!
Naomba dua huyu shetani mzee atangulie kuzimuTutegemee nini zaidi kutoka kwa shetani? Kuwa utakaa Msikitini usali na kuomba dua?
Mimi sipo kwenye mgao wa kutafuna nchi kama weweKama una chuki na JK basi wewe una roho ya Kichawi.
Amen...Uchawi huu
SSH kumaliza miradi nani anachukia na je pesa anatoa mfukoni mwake , sie kama watz ndo tumemaliza miradi kupitia kodi na tozo naomba kumbukumbu iwekwe sawaNakubali. Ni kweli.kabisa Kuna miradi mingi sana iliasisiwa na Mkapa, Kikwete pia. Tena hii miradi inayokwenda na wakati mingi ni ya Kikwete...framework ziliwekwa na hayati Ally Mwinyi...
Ni vile tu wakati huo haukuwa kama siku hizi, Rais alikuwa akifanya kitu hasemi sana .
Na pia Kuna watu inawauma sana Samia kufanikiwa kumaliza miradi. Walijua hataweza, Alhamdulilah ameweza
Kwa sababu kadema SGR iliasisiwa na Mkapa?Anapenda sana sifa
Kwa nini yeye ha kujengea mpaka Rwanda, Uganda na Kenya wakaanzisha โCoalition of the Willingโ na kuanza kujenga northern corridor kuitenga Tanzania ya Kikwete.Kwa sababu kadema SGR iliasisiwa na Mkapa?
Utakufa na umaskini wako huku roho ikikunjamana kama ya mchawi. ๐ ๐ ๐Mimi sipo kwenye mgao wa kutafuna nchi kama wewe
Kwa jpm hukukesha bar mkuu. Mbona sisi tulikesha bar.Uyu mzee akifa nitakesha bar nanunulia watu bia
Ajira kwa vijana zilimwagwa kama njugu enzi zakeAseme aliyofanikisha yeye, asitake ujiko.. atatambuliwa aliyethubutu na kufanya.. ye atakumbukwa kwa aliyoyafanya pia.
Nikikukuta mbinguni narudi๐๐Hakuna raisi bora kuwahi kutokea nchi hii kumzidi kikwete,kwasababu hata uhuru ni yeye ndie alifunga safari hapa mpaka uingereza kuomba uhuru ila ndio hivyo tu mzee ni mwanadiplomasia mno akaamua tu amchomekee nyerere
Vijana walikuwa na ajira nne nneAjira kwa vijana zilimwagwa kama njugu enzi zake
Ndiyo. Na hiyo ndo maama ya welfare maximization. Siyo jpm aliyeua ajira kila pahalaVijana walikuwa na ajira nne nne
Ukiona hivyo ujue jamaa ni team Sukunga gang. wavumilie dawa iwaingie kidogo kama ambavyo kipindi cha jiwe wengine tulionja joto la jiwe.Kwa jpm hukukesha bar mkuu. Mbona sisi tulikesha bar.