Mzee Kikwete: SGR iliasisiwa na Hayati Mkapa na Mimi wakati namkabidhi Madaraka hayati Magufuli nilimsihi aanze Utekelezaji wa mradi!

Sasa mbona Jk hajanialika ili tupande wote ?
 
SSH kumaliza miradi nani anachukia na je pesa anatoa mfukoni mwake , sie kama watz ndo tumemaliza miradi kupitia kodi na tozo naomba kumbukumbu iwekwe sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ