Mzee Kikwete: SGR iliasisiwa na Hayati Mkapa na Mimi wakati namkabidhi Madaraka hayati Magufuli nilimsihi aanze Utekelezaji wa mradi!

Nilimsikia kadogosa juzi kalizungumzia hilo kwa msisiyizo mkubwa sana,kwamba malengo na faida ya SGR ni mizigo sasa sijui alikuwa anawapa ujumbe mamlaka na sijui kama watanzania walimuelewa pale msukuma wa watu.
Na ndio maana ukute wanatumia nguvu kubwa sana kuzuia mizigo mule ili mamlaka ichangamkie huo upande wa mizigo lakini ndio kama ilivyo kawaida ya viongozi wetu wanaenda na upepo.

Pengine tumsaidie kadogosa humu kupiga kelele kwa kuanza huduma za kusafirisha mizigo.
 
Sio kwa ubaya ila huyu mzee anazeeka vibaya asee! Nadhani anaanza poteza kumbukumbu. Ajue tu huku ni anajiaibisha
 
Na bwana la Nyerere alitenga yeye fedha, kuhamia Dodoma yeye alilipia ramani, na daraja la Tanzanite aliacha mchoro, na lile la Busisi alimwambia JPM aanze ujenzi mara moja...
 


Ni kweli kwa JK alishaingia kwenye makubaloano ya awali na Wachina wajenge yeye Magufuli akafuta. Kwa hili amesema kweli Bw. Jk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…