Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Mzee atulie tu ale pension, haya mengine vijana watamkosea heshima.
JPM ndio alianzisha mtiti wa SGR ya umeme yeye aliacha mezani ya diesel power.
JPM alijitoa Mhanga akamalizana na issue ya stieggler ili amaliza hizi hadithi za umeme.
JPM alitoa amri moja pale busisi daraja linakwenda kukamilika.
JPM alijitoa mhanga akalifufua shirika la ndege lililokufa na kubaki na madeni kibao kwa kununua madege kibao.
Hizi nyingine porojo tu, tumpe heshima yake marehemu JPM.
JPM ndio alianzisha mtiti wa SGR ya umeme yeye aliacha mezani ya diesel power.
JPM alijitoa Mhanga akamalizana na issue ya stieggler ili amaliza hizi hadithi za umeme.
JPM alitoa amri moja pale busisi daraja linakwenda kukamilika.
JPM alijitoa mhanga akalifufua shirika la ndege lililokufa na kubaki na madeni kibao kwa kununua madege kibao.
Hizi nyingine porojo tu, tumpe heshima yake marehemu JPM.