johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Akizungumzia namna yeye binafsi alivyohakikisha Dr Magufuli anakuwa Rais wa JMT mwaka 2015 JK anasema " unajua unapokuwa mwenyekiti wa CCM na Rais unakuwa na nguvu kubwa "
Maana yake alichanganya uenyekiti na urais wake kuhakikisha Magufuli anapeperusha bendera ya CCM.
Kikwete aliweka hili bayana ili kuwaumbua wanafiki waliodai hampendi Magufuli.
Ramadhan Kareem!
Maana yake alichanganya uenyekiti na urais wake kuhakikisha Magufuli anapeperusha bendera ya CCM.
Kikwete aliweka hili bayana ili kuwaumbua wanafiki waliodai hampendi Magufuli.
Ramadhan Kareem!