Mzee Kilomoni akamatwa na jeshi la Polisi

Makonda kawatuma vijana wake,ila kama Simba wako smart kweli wangemwacha tu Mzee Kilomoni, mbona hawataki aseme?

Ukiona mtu anabana sana freedom of expression,jua kuna mengi yamejificha
 
Wamwache aongee tujue yaliyo nyuma ya pazia
 
Makonda kawatuma vijana wake,ila kama Simba wako smart kweli wangemwacha tu Mzee Kilomoni, mbona hawataki aseme?
Ukiona mtu anabana sana freedom of expression,jua kuna mengi yamejificha
Hivi Mo akijitoa unadhani itapenya hata round ya kwanza Champions league?
.
Huyu mzee anataka kurudisha maendeleo ya Michezo nyuma atimuliwe uanachama
 
Kwanini iwe makonda?jeshi la polisi wanatimiza wajibu wao
Makonda kawatuma vijana wake,ila kama Simba wako smart kweli wangemwacha tu Mzee Kilomoni, mbona hawataki aseme?

Ukiona mtu anabana sana freedom of expression,jua kuna mengi yamejificha
 
Natamani Mo ajitoe nione Simba itafika wapi kama hata dola elfu 10 za kumlipa Vieira watakuwa nazo natamani ishuke kuliko mbao
Utasubiri sana, gari limeshawaka hilo. Walipeni kwanza wachezaji wenu mishahara. Mnashabikia ujinga kama wa Akili Mali.
 
Hivi Mo akijitoa unadhani itapenya hata round ya kwanza Champions league?
.
Huyu mzee anataka kurudisha maendeleo ya Michezo nyuma atimuliwe uanachama
Huyu Mzee Kilomoni alichotaka kusema ni mwendelezo wa alichosema mwakyembe jana,inasemekana alionana naye kwanza waziri akampa ABC ndiyo maana jana kaja na hoja ya asilimia 49 iwe na angalau na watu watatu hadi saba,so bado issue itakwama tu
 
Ngoja wakamtatue marinda atie akili. Huyu na yule mwenzake Akilimali ni wa.kupigwa vita lolote.
 
Utasubiri sana, gari limeshawaka hilo. Walipeni kwanza wachezaji wenu mishahara. Mnashabikia ujinga kama wa Akili Mali.
Mzee mimi ni mwanachama wa Simba Sports, nimeandika hivyo kwa uchungu sana kwanini Kilomoni atuvuruge basi Mo ajitoe billion 5 zake ale hasara kisha tuone Simba itakuwa wapi kama hata itamtoa DE songo na hela za kuwalipa wachezaji wanaolipwa dola 7000&10,000 wazilipe
 
#HABARIZILIZOTUFIKIA:Aliyekuwa Mdhamini wa klabu ya Simba Hamisi Kilomoni anashikiliwa na polisi kwa kufanya mkutano na waandishi wa habari nyumbani kwake Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa kile kinachodaiwa kuwa hakuwa na kibali cha kufanya mkutano huo. https://t.co/0z86eKU4Mi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…