Mzee Kilomoni akamatwa na jeshi la Polisi

Mzee Kilomoni akamatwa na jeshi la Polisi

Kule African Lyon Mo alikuwepo peke yake kama mmiliki na Kilomoni hakukuwepo, mbona Mo alishindwa kuipeleka hata nafasi ya 3 kwenye ligi?
5imba koko ilikuwepo kabla ya Mo. Viva Kilomoni, watuachie 5imba yetu.
Hakuna mwanachama wala shabiki wa Simba anayeweza kuiita (5imba) wewe ni shabiki wa mbuteni kule mnakotembeza bakuli mnatutakia mabaya nasi.
.
Kwa mara ya kwanza toka dunia iumbwe Tanzania inapeleka timu nne kwenye mashindano ya kimataifa yani tumezibeba mgongoni timu (2) Mbute fc na KMC.
.
Mo wakati anaidhamini African Lyon hakuwahi kuweka hata million 500 unategemea ingefanya maajabu gani?
Acha chuki za kishamba Simba itabaki kuwa juu kileleni
 
Akaunti ya 5imba haina hata thumni, waulize wakubwa zako wakwambie, akaunti inayolipa mishahara na kusajili ni ya Mo.
Umbumbumbu wako unakufanya usielewe kuwa km Mo alinunua hisa basi alipaswa kuweka hela kwenye akaunti ya 5imba na sio kuweka mfukoni mwake.
Mshukuruni Kilomoni, inaondoka jumla hiyo
Eti niwaulize wakubwa zangu huna hata haya mtu mzima unakuwa mnafiki, Mo msimu huu kasajili wachezaji wasiopungua sita akiwemo Gerson Vieira, Gadiel Michael, Ajib, n.k na atawalipa mishahara yeye ikiwemo na M28 ya kocha Patrick.
.
Wachezaji waliosajiliwa na klabu ni Tshabalala ambaye imetolewa M80 cash akapatiwa nyinyi Tasaf fc AKA ombaomba na kufanya michango yenu yote mkamsajilk mchezaji wenu ghali Juma Balinya kwa M70 huku hamuwalipi kina Dante, Yondani, Abdul na Zahera.
.
Mtatuombea mabaya sana na Kilomoni tunamvua uanachama ubingwa wa Simba ni hadi 2026 ndipo tutapumzika
 
Kilomoni amekwishaichangia Simba vya kutosha kwa miguu na magoli yake. Kama ingeshuka Daraja chini ya uchezaji wake, Mo Dewji angeikuta mpaka akataka kuwekeza?
Kwani alikuwa anacheza peke yake na unajua alicheza misimu mingapi Sunderland?
.
Yeye alalamike Kaseja au King kibaden wafanyaje sasa
 
Akaunti ya 5imba haina hata thumni, waulize wakubwa zako wakwambie, akaunti inayolipa mishahara na kusajili ni ya Mo.

Umbumbumbu wako unakufanya usielewe kuwa km Mo alinunua hisa basi alipaswa kuweka hela kwenye akaunti ya 5imba na sio kuweka mfukoni mwake.

Mshukuruni Kilomoni, inaondoka jumla hiyo

Kwahiyo Mo akiondoka huyo Kilomoni ataijaza Mabilioni hiyo Akaunti ya Simba?
Pia Kilomoni ataingiza pesa za usajili na Mishahara kwa Wachezaji?

Nyie vyura [emoji196] [emoji196][emoji196][emoji196] bhana sijui akili zenu zipo Matakoni!!!
 
Kwani alikuwa anacheza peke yake na unajua alicheza misimu mingapi Sunderland?
.
Yeye alalamike Kaseja au King kibaden wafanyaje sasa
Tafsiri ya mchango ni kutimiza wajibu wake katika timu. Mchango huo aliutoa peke yake. Lakini ieleweke pia kwamba kuna wachezaji wenye kutoa ilhamu (inspirational players) kwa wengine. Kilomoni na hao uliowataja wewe wako kwenye kundi hilo. Matokeo ya uwanjani huwa yanategemea kuwepo kwao, hata kama hawachezi peke yao. CR7 hakuwa akicheza peke yake Real Madrid. Lakini matokeo ya kuondoka kwake si yanaonekana? Isisahaulike kuwa Kilomoni huyuhuyu akiwa kiongozi ndiye amechangia kudhibiti mali za klabu zisiporwe. Dewji na wenzake wangefanikiwa kutwaa mali hizo wakati huo, kungekuwa na haja tena ya yeye angalau kujitutumua kidogo kama anavyofanya sasa?
 
Tafsiri ya mchango ni kutimiza wajibu wake katika timu. Mchango huo aliutoa peke yake. Lakini ieleweke pia kwamba kuna wachezaji wenye kutoa ilhamu (inspirational players) kwa wengine. Kilomoni na hao uliowataja wewe wako kwenye kundi hilo. Matokeo ya uwanjani huwa yanategemea kuwepo kwao, hata kama hawachezi peke yao. CR7 hakuwa akicheza peke yake Real Madrid. Lakini matokeo ya kuondoka kwake si yanaonekana? Isisahaulike kuwa Kilomoni huyuhuyu akiwa kiongozi ndiye amechangia kudhibiti mali za klabu zisiporwe. Dewji na wenzake wangefanikiwa kutwaa mali hizo wakati huo, kungekuwa na haja tena ya yeye angalau kujitutumua kidogo kama anavyofanya sasa?
Yani unafanya comparison za ajabu Hamis kilomoni anaitwa Mzee Hamis kilomoni, na Mohammed Dewji bado ni kijana yani anaweza kuwa mtoto wa tatu wa mzee Kilomoni fikiri kabla ya kutenda wahenga waliwahi kusema.
.
Mzee Issa ambaye ndiye mwanzilishi wa klabu ya Simba na Red star (Nyota nyekundu) unamfahamu?
Naomba nikueleweshe kitu, Simba sio jengo lile Simba ni taasisi kubwa na asset yake kubwa ni wanachama na mashabiki sio jengo.
.
Nikikuuliza swali sasa hivi Simba ina mali gani utanitajia nini kingine tofauti na Jengo na uwanja wa mabwepande?
.
Umetoa mfano wa CR7 hivi ukitaja wachezaji 100 walioacha legacy zao Simba utamtaja na Kilomoni?
.
Kilomoni hana mchango wowote Simba sports, watu ambao wana michango mikubwa Simba ni Aden Rage, Kassim Dewji, Mwina kaduguda, na wenzao kibao ila si Kilomoni masikini yule ambaye ana tamaa mzee atakufa kaachama yule
 
Tafsiri ya mchango ni kutimiza wajibu wake katika timu. Mchango huo aliutoa peke yake. Lakini ieleweke pia kwamba kuna wachezaji wenye kutoa ilhamu (inspirational players) kwa wengine. Kilomoni na hao uliowataja wewe wako kwenye kundi hilo. Matokeo ya uwanjani huwa yanategemea kuwepo kwao, hata kama hawachezi peke yao. CR7 hakuwa akicheza peke yake Real Madrid. Lakini matokeo ya kuondoka kwake si yanaonekana? Isisahaulike kuwa Kilomoni huyuhuyu akiwa kiongozi ndiye amechangia kudhibiti mali za klabu zisiporwe. Dewji na wenzake wangefanikiwa kutwaa mali hizo wakati huo, kungekuwa na haja tena ya yeye angalau kujitutumua kidogo kama anavyofanya sasa?

Kipindi Alipokuwa anazuia mali ya Simba kuporwa Simba ilipata mafanikio gani kimpira, na hizo mali alizokuwa anazuia zisiporwe ni mali zipi mimi sizioni !
 
Yani unafanya comparison za ajabu Hamis kilomoni anaitwa Mzee Hamis kilomoni, na Mohammed Dewji bado ni kijana yani anaweza kuwa mtoto wa tatu wa mzee Kilomoni fikiri kabla ya kutenda wahenga waliwahi kusema.
.
Mzee Issa ambaye ndiye mwanzilishi wa klabu ya Simba na Red star (Nyota nyekundu) unamfahamu?
Naomba nikueleweshe kitu, Simba sio jengo lile Simba ni taasisi kubwa na asset yake kubwa ni wanachama na mashabiki sio jengo.
.
Nikikuuliza swali sasa hivi Simba ina mali gani utanitajia nini kingine tofauti na Jengo na uwanja wa mabwepande?
.
Umetoa mfano wa CR7 hivi ukitaja wachezaji 100 walioacha legacy zao Simba utamtaja na Kilomoni?
.
Kilomoni hana mchango wowote Simba sports, watu ambao wana michango mikubwa Simba ni Aden Rage, Kassim Dewji, Mwina kaduguda, na wenzao kibao ila si Kilomoni masikini yule ambaye ana tamaa mzee atakufa kaachama yule
Siwezi tena kuendeleza mjadala na wewe kwa sababu ya mitizamo yetu ilivyo tofauti. Wewe na kama wewe mnaangalia material contribution, ambayo thamani yake inapimika. Mimi naangalia moral contribution ambayo thamani yake haikadiriki. Hao wote unaowataja wameikuta Simba iliyopitia miguuni, mikononi na moyoni mwa Mzee Kilomoni na wenzake. Kusema Mzee Kilomoni hana mchango wowote kwa Simba eti kwa sababu hana pesa kama za Dewji ni sawa na kuudharau Mto Ruvu kwa sababu tu una maji machache kuliko Bahari ya Hindi. Na huo ndio mwisho wa mjadala wangu nawe kuhusu swala hili.
 
Kipindi Alipokuwa anazuia mali ya Simba kuporwa Simba ilipata mafanikio gani kimpira, na hizo mali alizokuwa anazuia zisiporwe ni mali zipi mimi sizioni !
Yai ndio huwa kifaranga na hatimaye kikawa kuku. Mzee Kilomoni alichohifadhi ni yai ambalo sasa ni kifaranga tayari. Anachotaka ni kukinusuru kifaranga kisianze kuliwa hadi kiwe kuku kamili. Mshangao wako ni sawa na wa anayehoji yai lilipata mafanikio gani lilipokuwa kwa mfugaji likilinganishwa na kifaranga kilicho mbele ya muulizaji!
 
Siwezi tena kuendeleza mjadala na wewe kwa sababu ya mitizamo yetu ilivyo tofauti. Wewe na kama wewe mnaangalia material contribution, ambayo thamani yake inapimika. Mimi naangalia moral contribution ambayo thamani yake haikadiriki. Hao wote unaowataja wameikuta Simba iliyopitia miguuni, mikononi na moyoni mwa Mzee Kilomoni na wenzake. Kusema Mzee Kilomoni hana mchango wowote kwa Simba eti kwa sababu hana pesa kama za Dewji ni sawa na kuudharau Mto Ruvu kwa sababu tu una maji machache kuliko Bahari ya Hindi. Na huo ndio mwisho wa mjadala wangu nawe kuhusu swala hili.
Ngoja nikupe mifano hai, kuna watu wamenunua eneo kariakoo wakatafuta watu wakusaidia ujenzi kwa kujitoa kubeba tofali n.k wao ndio watoa fedha za ujenzi hadi utakapokamilika baada ya kukamilika wakakabidhi hati ya hiyo nyumba kwa familia ambayo walikuwa wakiijengea.
.
Miaka ikaenda na kwenda baadhi ya walioshiriki kwenye ujenzi wakaanza kufariki kwa sababu za kiumri na hata maradhi ghafla migogoro ikaanza kujitokeza kwenye familia iliyojengewa nyumba kwa maslahi ya watu binafsi ikabidi hati yenye jina la familia (Simba) akabidhiwe mtu mmoja kwa kuwa alikuwa na madaraka maisha yakaendelea, aliyekabidhiwa hati ushawishi wake ukapungua na watu wengine wa familia kushika hatamu miongo mingi ikapita hatimae akarejea na kuwepo kwenye bodi ya familia kama sehemu ya wafadhili kumbuka wakati huohuo nae umri umeshamtupa mkono haesabiki kama kijana aliyeshiriki kujenga nyumba bali kama baba.
.
Ghafla kibao kinageuka familia inadhidi kuwa kubwa na vijana wanashika madaraka kwa fujo kutokana na elimu zao, uzoefu n.k wazee wa familia hawajakaa sawa vijana wa familia ambao hawakuwepo wakati wa ujenzi wa nyumba wanaanzisha vuguvugu la kutaka nyumba iwe na mabadiriko iendeshwe kisasa na mambo yanapita.
.
Huku na huku kuna wazee wa familia ambao walishiriki kwenye ujenzi wa nyumba waliokuwa na akili na waliosoma alama za nyakati wao hawana shida tena kwani tayari walishachuma mafao yao anabaki mmoja ambaye alikwisha zoea upigaji wa fedha za wapangaji wa nyumba na fedha kuzinywea pombe anashtuka hana kitu na haitajiki tena yani system haimataki inamuweka kando ila atabaki kama sehemu ya familia unadhani atakubali?
.
Think twice, "when the man of god speak forth the wise listen"
Deuteronomy
 
Eti niwaulize wakubwa zangu huna hata haya mtu mzima unakuwa mnafiki, Mo msimu huu kasajili wachezaji wasiopungua sita akiwemo Gerson Vieira, Gadiel Michael, Ajib, n.k na atawalipa mishahara yeye ikiwemo na M28 ya kocha Patrick.
.
Wachezaji waliosajiliwa na klabu ni Tshabalala ambaye imetolewa M80 cash akapatiwa nyinyi Tasaf fc AKA ombaomba na kufanya michango yenu yote mkamsajilk mchezaji wenu ghali Juma Balinya kwa M70 huku hamuwalipi kina Dante, Yondani, Abdul na Zahera.
.
Mtatuombea mabaya sana na Kilomoni tunamvua uanachama ubingwa wa Simba ni hadi 2026 ndipo tutapumzika
Mbumbumbu ni mbumbumbu tu, hata umtwange kwenye kinu pamoja na mawe habadiliki.

Mwenyewe unakiri kuwa Mo ndio kanunua wachezaji kwa hiyo sio kwamba 5imba Koko ndio imenunua wachezaji.

Kwa hiyo Mzee Kilomoni yupo sahihi, mmeshikiwa akili na mtu mmoja, je ni mwekezaji au mmiliki?
 
Ngoja nikupe mifano hai, kuna watu wamenunua eneo kariakoo wakatafuta watu wakusaidia ujenzi kwa kujitoa kubeba tofali n.k wao ndio watoa fedha za ujenzi hadi utakapokamilika baada ya kukamilika wakakabidhi hati ya hiyo nyumba kwa familia ambayo walikuwa wakiijengea.
.
Miaka ikaenda na kwenda baadhi ya walioshiriki kwenye ujenzi wakaanza kufariki kwa sababu za kiumri na hata maradhi ghafla migogoro ikaanza kujitokeza kwenye familia iliyojengewa nyumba kwa maslahi ya watu binafsi ikabidi hati yenye jina la familia (Simba) akabidhiwe mtu mmoja kwa kuwa alikuwa na madaraka maisha yakaendelea, aliyekabidhiwa hati ushawishi wake ukapungua na watu wengine wa familia kushika hatamu miongo mingi ikapita hatimae akarejea na kuwepo kwenye bodi ya familia kama sehemu ya wafadhili kumbuka wakati huohuo nae umri umeshamtupa mkono haesabiki kama kijana aliyeshiriki kujenga nyumba bali kama baba.
.
Ghafla kibao kinageuka familia inadhidi kuwa kubwa na vijana wanashika madaraka kwa fujo kutokana na elimu zao, uzoefu n.k wazee wa familia hawajakaa sawa vijana wa familia ambao hawakuwepo wakati wa ujenzi wa nyumba wanaanzisha vuguvugu la kutaka nyumba iwe na mabadiriko iendeshwe kisasa na mambo yanapita.
.
Huku na huku kuna wazee wa familia ambao walishiriki kwenye ujenzi wa nyumba waliokuwa na akili na waliosoma alama za nyakati wao hawana shida tena kwani tayari walishachuma mafao yao anabaki mmoja ambaye alikwisha zoea upigaji wa fedha za wapangaji wa nyumba na fedha kuzinywea pombe anashtuka hana kitu na haitajiki tena yani system haimataki inamuweka kando ila atabaki kama sehemu ya familia unadhani atakubali?
.
Think twice, "when the man of god speak forth the wise listen"
Deuteronomy
Kwa sababu ni mwafrica hawezi kukubali, angekua mzungu angekubali.
Wenzetu wanachoangalia ni je hicho kinazidi kuendelea au ndo kinadumaa kabsa.
Sasa umeanzisha kitu unataka ufe nacho ndo mawazo ya kiafrika.
Kampuni ya MO inawezekana isingefika hapa ilipo ka Baba yake angekua na mawazo ka ya Kilomoni.
Kwa sababu aliruhusu mawazo mapya yafanye kazi ndo mana Kampuni ya MO saizi imekua ni big company east and central Africa.
 
Hili ndio jambo la msingi, mambo ya Mzee Akilimali aliyokuwa akiyafanya enzi za Manji alivyoondoka klabu ikadorora hailipi wachezaji fedha hakujitokeza hata mara moja kusaidia klabu.
.
Sasa hivi kina Dante, Juma abdul na Kelvin Yondani wanadai hata hasikiki kuwa kawalipa, hawa wazee ni wasaka tonge sio wakuachwa na bahati nzuri Simba hivi sasa haiongozwi na wazee
Mbona uko kwenu mikia juuko anadai na humtaji!?
 
Back
Top Bottom