Mzee Kilomoni akamatwa na jeshi la Polisi

Mzee Kilomoni akamatwa na jeshi la Polisi

Mbumbumbu fc buana
Timu yenye fedha kuliko zote Afrika mashariki, timu yenye kiwango bora kuliko zote afrika mashariki, timu yenye mashabiki wengi kuliko zote afrika mashariki, timu yenye ushawishi mkubwa afrika mashariki na kati unaiita mbumbumbu kweli?
.
Huna shukrani tumekubeba uende champions league alafu unafanya maandalizi Morogoro na kuwalisha wachezaji matikiti ukipigwa mechi za awali utalalamika?
 
Naam, unaweza kupanda kokote utakapo ni haki yako mzee kilomoni aindeleze Simba kwa fedha gani alizonazo kwa akili gani alizonazo?
.
Anacholilia yeye ni kuenguliwa kwenye bodi ya wadhamini
Umeona sasa akili zenu MBUMBUMBU?!! Eti Kilomoni aiendeleze 5imba kwa fedha gani, kwani fedha ndio zinaendeleza mpira? Mlio wa Ng'ombe si anapesa na ndio mnamuabudu,. sasa mlishajiuliza alishindwa nini kuiendeleza African Lyon iwe kama TP Mazembe na fedha zake?

Mungu ampe maisha marefu Mzalendo Mzee Kilomoni. Wenye mapenzi mema na 5imba tuitikie AMEN!
 
Timu yenye fedha kuliko zote Afrika mashariki, timu yenye kiwango bora kuliko zote afrika mashariki, timu yenye mashabiki wengi kuliko zote afrika mashariki, timu yenye ushawishi mkubwa afrika mashariki na kati unaiita mbumbumbu kweli?
.
Huna shukrani tumekubeba uende champions league alafu unafanya maandalizi Morogoro na kuwalisha wachezaji matikiti ukipigwa mechi za awali utalalamika?
5imba haina hela we mbumbumbu vipi? Hela ni za Mo. 5imba account yake inasoma 0 na hiyo 0 ni vile Bibi Maimuna wa Zanzibar hajafungua kesi mahakamani kudai fedha zake za vitumbua na maharage mnazodaiwa bili ya wachezaji mwaka 2010 mlipoenda kwenye kombe lenu la Maulid...ah sorry I mean Muungano.

Kuhusu nyinyi kuwa mbumbumbu wala usilaumu watu hapa jukwaani, aliyekuwa mwenyekiti wenu Alhaji Ismail Aden Rage hanywi pombe yule
 
Umeona sasa akili zenu MBUMBUMBU?!! Eti Kilomoni aiendeleze 5imba kwa fedha gani, kwani fedha ndio zinaendeleza mpira? Mlio wa Ng'ombe si anapesa na ndio mnamuabudu,. sasa mlishajiuliza alishindwa nini kuiendeleza African Lyon iwe kama TP Mazembe na fedha zake?
Mungu ampe maisha marefu Mzalendo Mzee Kilomoni. Wenye mapenzi mema na 5imba tuitikie AMEN!
Uwekezaji uliofanyika African Lyon usiulinganishe na uwekezaji unaotaka kufanyika Simba sports mpaka sasa Mo katoa billion 5 na bado hajawa muwekezaji rasmi Simba ni moja ya Klabu bora (20) Afrika.
.
Wachezaji wa Simba wanalipwa mishahara mikubwa sana, Tshabalala juzi tu hapa kapewa milion 80 kwa ajili ya mkataba mpya, nyinyi mmemsajili Juma Balinya kwa Milion 70 na ndio tegemezi lenu sisi Tshabalala tumempa 80 na benchi anakaa.
.
Kiwango cha chini cha mshahara wa mchezaji wa Simba ni dollar 5000 kocha patrick analipwa milion 28 kwa mwezi.
.
Haya Mo akisusa leo hii Kilomoni anaweza kumlipa Vieira dollar 10,000 kwa mwezi? Anaweza kumlipa Gadiel milion 5 kwa mwezi?
.
Anaweza kuifanya timu ichukuwe TPL au ndio tutakaa nje ya mchezo kwa muongo mzima? Anaweza kutufanya tupenye hata round ya kwanza kwenye mashindano ya CAF?
.
Anaweza kuifanya Simba ikawaza kuwa machampion wa Afrika na tukaziona dalili?
Anaweza kuifanya Simba isajili wachezaji wakubwa ili anagalau ishindane na Mamelodi Sundowns?
.
Acha utani, Kilomoni lazima tumvue uanachama akafie mbele ikitokea vinginevyo basi Mo akae pembeni timu ivurugike tutembeze beseni maana haitakuwa bakuli kisha Mwakyembe afukuzwe na Kilomoni utakuwa mwisho wa uhai wake!
 
5imba haina hela we mbumbumbu vipi? Hela ni za Mo. 5imba account yake inasoma 0 na hiyo 0 ni vile Bibi Maimuna wa Zanzibar hajafungua kesi mahakamani kudai fedha zake za vitumbua na maharage mnazodaiwa bili ya wachezaji mwaka 2010 mlipoenda kwenye kombe lenu la Maulid...ah sorry I mean Muungano.
Kuhusu nyinyi kuwa mbumbumbu wala usilaumu watu hapa jukwaani, aliyekuwa mwenyekiti wenu Alhaji Ismail Aden Rage hanywi pombe yule
Yanga nyie ni ndala fc, vyura fc, gongo wazi, Tasaf fc, watermelon fc aka matikiti n.k
.
Simba account yake ina fedha nyingi (Siwezi kutaja idadi yake kwa sababu sio wajibu wangu) fedha za mapato ya milangoni zote zinaingia kwenye mfuko wa klabu, fedha za mapato ya jengo la Simba zote zinaingia kwenye akaunti ya klabu hiyo account uliiona wewe ina zero?
.
Au unadhani huku ni Vyurani fc ambako mnaongozwa na wazee kina Mshindo?
 
Timu yenye fedha kuliko zote Afrika mashariki, timu yenye kiwango bora kuliko zote afrika mashariki, timu yenye mashabiki wengi kuliko zote afrika mashariki, timu yenye ushawishi mkubwa afrika mashariki na kati unaiita mbumbumbu kweli?
.
Huna shukrani tumekubeba uende champions league alafu unafanya maandalizi Morogoro na kuwalisha wachezaji matikiti ukipigwa mechi za awali utalalamika?
Ugoro umeacha lini kuvuta?
 
kwel kabisa mkuu!
hata mimi simpendi sana huyu kilomon yan ananikera sana.
Sasa mi namshaur MO kama haka kazew kataendelea, bas Mo aachane tu na simba mana tutakuwa tunamuumiza tu kijana wa watu.
Huyu mzee kilomon wanasimba tukiamua tunaweza kumdhibiti, ila tukishindwa atakuwa anamsumbua Mo.
Najikuta namuonea sana huruma Mo kuliko hata simba!
Yan wazee kama akina kilomon hata wakiitwa wachawi mi sishangai.
Yan ananikera kwel kwel mkuu!
Mzee mimi ni mwanachama wa Simba Sports, nimeandika hivyo kwa uchungu sana kwanini Kilomoni atuvuruge basi Mo ajitoe billion 5 zake ale hasara kisha tuone Simba itakuwa wapi kama hata itamtoa DE songo na hela za kuwalipa wachezaji wanaolipwa dola 7000&10,000 wazilipe
 
Umeandika nini hiki [emoji115]
Ujui ulichoandika? Au ndio watoto mliofunga shule? Wewe umesema kima cha chini simba ni dollar 5000 ndio nakushangaa wakati huyo Kagere inasemekana analipwa 14mTzs, ambae ndie analipwa zaidi simba.
 
Ujui ulichoandika? Au ndio watoto mliofunga shule? Wewe umesema kima cha chini simba ni dollar 5000 ndio nakushangaa wakati huyo Kagere inasemekana analipwa 14mTzs, ambae ndie analipwa zaidi simba.
"Inasemekana" basi tafuta ukweli ukishaujua njoo tena hapa ubwate, yani nyie mchezaji wenu ghali Juma Balinya alipwe dollar 7000 uje umfananishe na kagere like seriously?
 
Yanga nyie ni ndala fc, vyura fc, gongo wazi, Tasaf fc, watermelon fc aka matikiti n.k
.
Simba account yake ina fedha nyingi (Siwezi kutaja idadi yake kwa sababu sio wajibu wangu) fedha za mapato ya milangoni zote zinaingia kwenye mfuko wa klabu, fedha za mapato ya jengo la Simba zote zinaingia kwenye akaunti ya klabu hiyo account uliiona wewe ina zero?
.
Au unadhani huku ni Vyurani fc ambako mnaongozwa na wazee kina Mshindo?
Akaunti ya 5imba haina hata thumni, waulize wakubwa zako wakwambie, akaunti inayolipa mishahara na kusajili ni ya Mo.

Umbumbumbu wako unakufanya usielewe kuwa km Mo alinunua hisa basi alipaswa kuweka hela kwenye akaunti ya 5imba na sio kuweka mfukoni mwake.

Mshukuruni Kilomoni, inaondoka jumla hiyo
 
Unashauri Mo ajitoe tumpe timu tuone ataifanyia nini?
Kule African Lyon Mo alikuwepo peke yake kama mmiliki na Kilomoni hakukuwepo, mbona Mo alishindwa kuipeleka hata nafasi ya 3 kwenye ligi?

5imba koko ilikuwepo kabla ya Mo. Viva Kilomoni, watuachie 5imba yetu.
 
Back
Top Bottom