Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Waziri mwakyembe PhD yake haimsaidii kabisa. Au ndiyo wale walioondoa ujinga bila kupata maarifa?Naona kuna mvutano wa chini chini kati ya TFF na Waziri,yetu macho na wanaoumia ni akina Kilomoni wanaotumika