Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Mbona barua ni za mwaka 2017 wameshindwaje kumfix huko mahakamani. Ila Mzee huyu kwa argument namkubali!...watu wameshafanya yao. Mzee Kilomoni sio tu kuwa si mwenyekiti wa baraza la wadhamini wa Simba bali kisheria hayumo hata kwenye baraza lenyewe. Asipotoa hati ajiandae kwenda jela uzeeni. Bado yule mwenzie wa Yanga.
Soma viambatanisho
Mbona barua ni za mwaka 2017 wameshindwaje kumfix huko mahakamani. Ila Mzee huyu kwa argument namkubali!
Atapoteza pesa na mda wake; akacheze bao na wajukuu wakeHatimae mgogoro wa simba utahamia mahakamani
Shabiki wa gongowazi lazima umkubali yule mzee...argument zake zinaweza kuwapa chakula wale wachezaji wa gongowazi wakaacha kushindia matikiti kule morogoroMbona barua ni za mwaka 2017 wameshindwaje kumfix huko mahakamani. Ila Mzee huyu kwa argument namkubali!
Msijidanganye nyuma Mzee Kilomoni kuna watu heavyweight kibao kiasi kwamba yeye anatumwa tu. Kama isingekuwa hivyo Mzee angekuwa Segerea.Atapoteza pesa na mda wake; akacheze bao na wajukuu wake
Swala lake mzee limefungwa Leo; Hakuna kitu ambacho kinaweza kubadilika Mo ndiyo huyo tumeshamkabidhi timu. Kwaiyo mzee kama anataka aendelee zunguka aendelee lakini kitachobadilika hakuna 49% Mo. 51% wanachamaMsijidanganye nyuma Mzee Kilomoni kuna watu heavyweight kibao kiasi kwamba yeye anatumwa tu. Kama isingekuwa hivyo Mzee angekuwa Segerea.
Ni kweli uyasemayo but nataka nikufahamishe anayecheka mwisho ndiye mshindi. Kwa hili sioni jinsi Timu Mo inavyoweza kushinda mtihani huu. Endeleeni na kejeli zenu ila muamze kujiandaa kuwalipa mishahara wale wabrazil la sivyo ya gongowazi yatawahusu.Shabiki wa gongowazi lazima umkubali yule mzee...argument zake zinaweza kuwapa chakula wale wachezaji wa gongowazi wakaacha kushindia matikiti kule morogoro
Wanapoteza, mzee keshapoteza, na hata kuhusu hati, mahakama imesharuhu simba wa issue hati mpyaMsijidanganye nyuma Mzee Kilomoni kuna watu heavyweight kibao kiasi kwamba yeye anatumwa tu. Kama isingekuwa hivyo Mzee angekuwa Segerea.
Kilomon hajafukuzwa, ila mkataba wake uliisha since 2017...magori wala dewji hawana jeuri ya kumfukuza kilomoni... muda utaongea tu...
kilomoni, bi hindu na wengineo wana nguvu sana simba.. kuliko magori aliyekuja simba baada ya kufukuzwa nssf... kwa anaebisha asubiri.. muda utaongea tu..
simba na yanga ni timu za wananchi na serikali ipo nyuma yao wananchi wasiporwe timu zao...
sasa huyo magori na mo dewji utaona seke seke litakalowapata .. kwanza dewji na magori wanashtumiwa ufisadi na serikali..
kilomoni ni kivuli tu.. kuna watu kibao wana nguvu nchi hii wapo nyuma yake ..
huyo dewji seke seke atakalolipaya atajuta why amewekeza timu za wananchi....
maneno ya kikwete kwenye harambee ya yanga yana maana kubwa sana...
hizo timu ni zaidi ya timu za mpira za kawaida..
simba itaingia mgogoro mkubwa sana kutokana na seke seke la kilomoni..
maana mpaka leo hati anazo yeye.. sasa mtu unamfukuza na unashindwa kumpora hati umeona wapi
wakati sisi tunatafuta ubingwa wa Africa.. nyie mpeni nguvu Kilomon.. mkataba wake na simba umeisha since 2017... sasa sijui anaenda mahakaman kama nani? shabiki au?Ni kweli uyasemayo but nataka nikufahamishe anayecheka mwisho ndiye mshindi. Kwa hili sioni jinsi Timu Mo inavyoweza kushinda mtihani huu. Endeleeni na kejeli zenu ila muamze kujiandaa kuwalipa mishahara wale wabrazil la sivyo ya gongowazi yatawahusu.
Hahaaah simba kuna mtihani gani???...mkuu endeleeni kusubiri sana mkuu....simba mda si mrefu inaenda kudondoka...simba inakufa kabisa...shangilia mkuu....hahaaah wenye mitihani wapo bigwa morogoro wanashindia matikiti π π π πNi kweli uyasemayo but nataka nikufahamishe anayecheka mwisho ndiye mshindi. Kwa hili sioni jinsi Timu Mo inavyoweza kushinda mtihani huu. Endeleeni na kejeli zenu ila muamze kujiandaa kuwalipa mishahara wale wabrazil la sivyo ya gongowazi yatawahusu.
Maneno mengi kumbe ni shabiki la gongowazi likijaribu kujifarijiππππππ...mkuu umeongea blah blah nyingi....but hakuna lolote hapo....wewe ni shabiki wa gongowazi so unajaribu kuandika ambacho unatamani kitokee....mi nakushauri mkuu siku nyingine usijaribu kupoteza muda wako kuandika habari za simba huko sisi tulishatoka wanachama tulishaamua na tukapitisha mambo yetu kisheria...jaribu kutumia akili nyingi kuandika namna timu yako ya yanga inavyoweza kujikwamua na umasikini...wachezaji wapo kule morogoro wanashindia matikiti but hayo kwako hayana umuhimu unabakia kutuandikia hapa habari za vijiwe vya kahawamagori wala dewji hawana jeuri ya kumfukuza kilomoni... muda utaongea tu...
kilomoni, bi hindu na wengineo wana nguvu sana simba.. kuliko magori aliyekuja simba baada ya kufukuzwa nssf... kwa anaebisha asubiri.. muda utaongea tu..
simba na yanga ni timu za wananchi na serikali ipo nyuma yao wananchi wasiporwe timu zao...
sasa huyo magori na mo dewji utaona seke seke litakalowapata .. kwanza dewji na magori wanashtumiwa ufisadi na serikali..
kilomoni ni kivuli tu.. kuna watu kibao wana nguvu nchi hii wapo nyuma yake ..
huyo dewji seke seke atakalolipaya atajuta why amewekeza timu za wananchi....
maneno ya kikwete kwenye harambee ya yanga yana maana kubwa sana...
hizo timu ni zaidi ya timu za mpira za kawaida..
simba itaingia mgogoro mkubwa sana kutokana na seke seke la kilomoni..
maana mpaka leo hati anazo yeye.. sasa mtu unamfukuza na unashindwa kumpora hati umeona wapi
Sasa kama hujajua waukae bi hindu ni mnafiki tu yani anauma na kupuliza huku akiwa na uhakika wa ugali wake mzee kilomoni anajipotezea heshima yake!magori wala dewji hawana jeuri ya kumfukuza kilomoni... muda utaongea tu...
kilomoni, bi hindu na wengineo wana nguvu sana simba.. kuliko magori aliyekuja simba baada ya kufukuzwa nssf... kwa anaebisha asubiri.. muda utaongea tu..
simba na yanga ni timu za wananchi na serikali ipo nyuma yao wananchi wasiporwe timu zao...
sasa huyo magori na mo dewji utaona seke seke litakalowapata .. kwanza dewji na magori wanashtumiwa ufisadi na serikali..
kilomoni ni kivuli tu.. kuna watu kibao wana nguvu nchi hii wapo nyuma yake ..
huyo dewji seke seke atakalolipaya atajuta why amewekeza timu za wananchi....
maneno ya kikwete kwenye harambee ya yanga yana maana kubwa sana...
hizo timu ni zaidi ya timu za mpira za kawaida..
simba itaingia mgogoro mkubwa sana kutokana na seke seke la kilomoni..
maana mpaka leo hati anazo yeye.. sasa mtu unamfukuza na unashindwa kumpora hati umeona wapi
Kama muda wa Mzee Kilomoni kuwa Mdhamini uliisha 2017, jiulize kwanini miaka 2 baadae bado mnazisotea hati kwake. Iambieni Mahakama imfunge basi kwa vile umegomea kumpa hati MO. Mnasuasua nini sasa.wakati sisi tunatafuta ubingwa wa Africa.. nyie mpeni nguvu Kilomon.. mkataba wake na simba umeisha since 2017... sasa sijui anaenda mahakaman kama nani? shabiki au?