Mzee Kilomoni nenda kacheze na vitukuu sasa...

Tatizo hati Zina jina la Sunderland
 
Tatizo hati Zina jina la Sunderland
Sio tatizo hilo, tatizo lingekuwa lile jengo lingekuwa mali ya mtu ila ni klabu!

Basi tumfufue mzee Issa ausi tumpatie hilo jengo
 
Nimekuelewa kwa iyo hapa Wananchi ni babu Kilomoni na bi Hindu
 
Wamehamia kwenye maboga ulinzi wa mashamba huko nasikia umeimarishwa
 
Mchukueni nyie Yanga awasaidie
 
Mzee mvurugaji

Baada ya Manji kuondoka Yanga hatumuoni Mzee Akilimali

Akiondoka MO na Kilomoni atakaa pembeni


Hawa Wazee wenzangu nuksi kweli
Hawa wazee wanatumiwa na maadui wa soka la Tz wasiotaka maendeleo ya mpira wa miguu hapa nchini kwa hofu ya kupoteza ulaji, maslahi au ushawishi wa kisiasa kupitia mchezo wa mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…