Mzee Kilomoni Tupo nyuma yako usiyumbishwe

Mzee Kilomoni Tupo nyuma yako usiyumbishwe

Nilisema huyo Mo miaka yake ni miwili tu. Akifurukuta Sana ni mitatu.
Arudi Singida United au akainunue upya African Lyon.

Binafsi huwa nashangaa mno pale baadhi ya wanasimba wanaposema Simba ni matajiri...Ukiwauliza utajiri wenu uko wapi? Wao wanatambia utajiri wa Mo sawa na Yanga walipokuwa wanatambia utajiri wa Manji...ukiwauliza wanasimba hao kama ninyi ni matajiri akaunti ya klabu ina kiasi gani wanabaki wanazungusha macho...Kama MO ni mwekezaji ina maana anafanya biashara, hayuko tayari kupata hasara kwa hiyo akitoa fedha za usajili na uendeshaji wa timu/klabu ina maana anatarajia atanufaika kibiashara
 
Mzee mwenzangu hakuna asiyependa maendeleo ilab ukiona wazee wanalalamika fahamu kuna jambo halipo sawa
Mzee mwenzangu mbona kama povu povu flan
Mianya imeshikwa nini? Natania tu mkuu.

Embu toa faida na hasara za uwepo wa Mo Simba?
Hao waliomwaga mipesa kuliko Mo. Simba ilifika wapi? Na baada ya hapo imefika wapi?
Sheria za mikataba zipo nyingi. Anaweza kukabidhiwa mali ila kisheria ambayo itambana utumiaji wa mali kibinafsi.

Sijaona ubaya ya uwekezaji wa aina hii ya Mo.
Labda Mo anaogopa akiwekeza anaweza kutokunufaika na upande wa pili wa hao wapingao wana wasi wasi labda akikabidhiwa ndio basi watageukwa na Mo.

Timu ya mf. Ni TP Mazembe Supersport zilikua na wanachama hivi hivi hazikua zikipiga hatua ila baada ya kuamua kuibgia kwenye mfumo wa kiuwekezaji tunayaona mafanikio.

Kusema haiwezekani ni rahisi ila kwa nini haiwezekani ugumu huanzia hapo. Mkuu labda jaribu kupinga kwa hoja Kwa nini Mo asipewe timu.?

Binafsi naunga mkono uwekezaji huu labda pande mbili zikae zione kila mmoja ananufaikaje. Sababu kuendesha taasisi kubwa kama simba ni inahitaji weledi na taaluma yenye kusadifu mahitaji ya timu.
 
Bora umeongea mzee mwenzangu anachokosea huyu anawaza faida zake bnafs kabla ya timu

Afahamu tu simba ni kubwa kuliko anavyoichukilia
MO ataondoka kwa Aibu sana kwenye Club yetu ya Simba !

Naunga mkono sana tu kuifanya Club yetu kuendeshwa kibiashara lakin hawezi kufanikiwa kwa kuwa Serikal haipo tayari kukabidhi timu za Simba na Yanga kwa Wafanyabiashara

Simba na Yanga ni zaid ya Club za Mpira

Mzee Kilomoni ana watu wazito sana Nyuma yake

Kwa kuwa 2020 imekaribia na kwa kuwa Serikal iliamua kumvuruga Manji basi this time imeamua yenyewe kusaidia Timu ndio sababu kaibuka Mh.Mavunde from no where na kuanzia aliloanzisha ili timu Irish kwny Chart

MO angerudi kwny AFRICA Lyon na kufanya uwekezaji au angeanzisha ‘Azam’ yake

Mwigulu alianza Heka heka na Singida United uwaziri ukamtokea Puani!
 
Inamaana huoni mafanikio ya simba? Au umeifahamu simba mwaka jana
Nyie watu hivi ni mashetani? huu uswahili wenu ni mpaka lini?
Tangu mwaka 1935. Simba imepiga hatua gani kubwa na muhimu chini ya uongozi wenu?
 
Kilomoni wako huyo akiachiwa aendeshe timu ataweza japo hata kwa masaa48? Usikute hata wewe ni mshabiki tu hujawahi kulipa hata ada.
Huwa nikipita mitandaoni nasikitika sana kwa mashabiki wa Simba kumbull mlezi mkuu wa simba, kumtukana matusi ya kila aina eti kisa wanamuwekezaji Mo

Sisi tulioapa kuwa simba haiwezi kubadilishwa kuwa timu ya mtu tutasimama na mzee wetu hata wale wapiga kelele wanaotumwa na mo kumtukana mzee wetu wataparaganyika na kutuachia timu yetu

Vijana oya oya wa simba ambao wao huwaza mambo ya Leo tu kamwe hawatatushinda.
Yes we are conservative we will not change

Sisi tunajua mo nimfanyabiashara hatadumu pale milele kwanini anataka akabidhiwe hati ya Mali za simba?
Kwa lipi alilolifanya? Asidhani yeye ndio ametoa pesa nyingi kuliko waliomtangulia kuna matajiri walimwaga pesa simba na hawakuweka mashariti magumu Kama anayodai huyu mo

Mo sisi wazee tunakuambia ijawezekana kwenye mkutano wa simba tukawa tunakupigia makofi ili kukufurahisha ila tambua simba haiwezi kumilikiwa na mtu
Simba ni timu ya wanachama Hilo halitabadilika mpaka mwisho wa dunia

Kama pesa zako ni chungu kuzitoa rudi ukawekeze African lyion uliyoikimbia

Ila simba huku hautapaweza huku hakuna ngombe aliyekatwa mkia huku wote ni makambale, utatamba miaka mitatu mingapi mwisho tutakukata kichwa jifunze kwa manji sio kwamba haipendi Yanga ila alitaka kuichikua yanga iwe ya kwake ila watu wasioonekana walimshinda

Hata Hapo simba inawezekana wanaoonekana kina kingwangwala and kina makonda unawamudu ila nikutoe shaka Hao hawana nguvu yeyote ndani ya simba ni Kama waburudishaji tu

Wenye nguvu ni Hawa aina ya kina kilomoni wapo wengi hawapo mitandaoni utakwama tu

Mzee kilomoni sisi wanasimba Tupo pamoja na wewe acha mashabiki wapige kelele mitandaoni
Simba haitabadilika kwa tamaa ya fedha ya mlo mmoja
Kila kijiji hakikosi wazee
 
Nyie ndio vijana oya oya fuata upepo tutawanyoosha tu jipeni muda
Sema wewe , usiwaingize wanasimba wengne, !! Tunatofautiana akili, mawazo, perception na kila kitu , so usiwaingize watu wengne tukaonekana wote tupo ku support vitu vya ajabu
 
Ukiulizwa mafanikio ya simba nje ya uwanja inanini utajibu?
Au mo anataka atumie ujanja wa kujilimbikizia Mali kipitia jina lake siku akiondoka abebe ns utajiri wa simba tuanze moja tena
Upuuzi kumpinga uwekezaji wa MO bila ya sababu ya msingi maana ukiangalia hadi MO kafeli wapi au tu balance faida na hasara za MO zipi kubwa?
 
Binafsi huwa nashangaa mno pale baadhi ya wanasimba wanaposema Simba ni matajiri...Ukiwauliza utajiri wenu uko wapi? Wao wanatambia utajiri wa Mo sawa na Yanga walipokuwa wanatambia utajiri wa Manji...ukiwauliza wanasimba hao kama ninyi ni matajiri akaunti ya klabu ina kiasi gani wanabaki wanazungusha macho...Kama MO ni mwekezaji ina maana anafanya biashara, hayuko tayaei kuapata hasara kwa hiyo akitoa fedha za usajili na uendeshaji wa timu/klabu ina maana anatarajia atanufaika kibiashara
Wanapenda kujiita matajiri. Ukweli ni kwamba matumizi bado ni makubwa kuliko mapato.
Ujeuri wao ni hela ya Mo. Lakini wanasahau anawakopesha. Siku ya ku balance assets na madeni watakuta hiyo billion 20 ilishayeyuka zamani na bado kuna deni kubwa.
 
Sasa nyinyi mnataka mwekezaji asipate faida?Hebu jifunzeni kwa Chelsea,Man City na PSG timu zile zipo pale sababu watu wemeweka hela zao na faida zinaoneka,Bakheresa sio mfadhili bali ni mmiliki wa wa Azam 100%.Ila nyie endeleeni tu si wenzenu Yanga tunaungaunga,nyie mmempata mwekezaji mnazingua.Ila kaa ukijua Tanzania HAMNA WAPENZI WA MPIRA BALI KUNA MASHABIKI WA MPIRA.
Hizo Chelsea, Man City na nyingine nyingi, wawekezaji hawakuchukua mali za wanachama, wamemilikishwa timu. Mali za wanachama zinamilikiwa na kampuni zilizoanzishwa na wanachama, kiu ya mabadiliko imesababisha kuingia kichwa kichwa bila mambo ya msingi kuwekwa sawa. Mo aachane na majengo ya klabu, yeye atumie klabu ya simba kupata faida yake
 
Kuingia robo fainali sio kitu cha ajabu kwenye Soka
Tusichotaka ni timu kugeuzwa timu ya mtu
Hiyo janja mo kutaka kwenda kusajili mali za simba lina ukakasi mkubwa
Yaani vitu vyengine hivi eti mzee wetu,karne hii ya 21 mnafuga wa zee kwenye club.Mimi sijawahi kusikia wazee wa Manchester Utd,Wazee wa Arsenal,Wazee wa Liverpool nk,huu ujinga anapatika kwetu TZ mtu anataka kuwekeza mpeni timu,tatizo zengwe kama hili linaibuka sababu milango ya upigwaji imezibwa lakini Mo yupo sawa,ndani ya msimu mmoja simba imeingia robo fainali na kama Mo akiachiwa timu,usishangae baada ya miaka 3 inaweza fanya makubwa ktk soka la Afrika.

Au mnapenda kutembeza bakuli kama timu yetu ya Yanga ambayo ina migogoro kibao,mwacheni Mo afanye kazi kwani uendeshwaji wa mpira wa kisasa auhitaji wazee bali watu kama akina Mo,hao wazee wakalee wajukuu wao kwao na familia zao.Sasa rukeni rukeni alafu mfanye upuuzi wa kumfukuza Mo muone naona mmeimiss migogoro.
 
Huwa nikipita mitandaoni nasikitika sana kwa mashabiki wa Simba kumbull mlezi mkuu wa simba, kumtukana matusi ya kila aina eti kisa wanamuwekezaji Mo

Sisi tulioapa kuwa simba haiwezi kubadilishwa kuwa timu ya mtu tutasimama na mzee wetu hata wale wapiga kelele wanaotumwa na mo kumtukana mzee wetu wataparaganyika na kutuachia timu yetu

Vijana oya oya wa simba ambao wao huwaza mambo ya Leo tu kamwe hawatatushinda.
Yes we are conservative we will not change

Sisi tunajua mo nimfanyabiashara hatadumu pale milele kwanini anataka akabidhiwe hati ya Mali za simba?
Kwa lipi alilolifanya? Asidhani yeye ndio ametoa pesa nyingi kuliko waliomtangulia kuna matajiri walimwaga pesa simba na hawakuweka mashariti magumu Kama anayodai huyu mo

Mo sisi wazee tunakuambia ijawezekana kwenye mkutano wa simba tukawa tunakupigia makofi ili kukufurahisha ila tambua simba haiwezi kumilikiwa na mtu
Simba ni timu ya wanachama Hilo halitabadilika mpaka mwisho wa dunia

Kama pesa zako ni chungu kuzitoa rudi ukawekeze African lyion uliyoikimbia

Ila simba huku hautapaweza huku hakuna ngombe aliyekatwa mkia huku wote ni makambale, utatamba miaka mitatu mingapi mwisho tutakukata kichwa jifunze kwa manji sio kwamba haipendi Yanga ila alitaka kuichikua yanga iwe ya kwake ila watu wasioonekana walimshinda

Hata Hapo simba inawezekana wanaoonekana kina kingwangwala and kina makonda unawamudu ila nikutoe shaka Hao hawana nguvu yeyote ndani ya simba ni Kama waburudishaji tu

Wenye nguvu ni Hawa aina ya kina kilomoni wapo wengi hawapo mitandaoni utakwama tu

Mzee kilomoni sisi wanasimba Tupo pamoja na wewe acha mashabiki wapige kelele mitandaoni
Simba haitabadilika kwa tamaa ya fedha ya mlo mmoja
Kila kijiji hakikosi wazee

Kelele kibao ukiulizwa hapo kwa mwaka unachangia sh ngapi hata mia utoi,
Mfano mo akipewa hiyo hati ya jengo ww unapata hasara gani? Unajua utajiri wa mo ni how much? Fanya value na thamani ya hilo jengo, Yan kwa akili yako mtu anaweza kutoa milion moja ili apate jengo la timu lenye dhaman ya laki 8?
 
Kuingia robo fainali sio kitu cha ajabu kwenye Soka
Tusichotaka ni timu kugeuzwa timu ya mtu
Hiyo janja mo kutaka kwenda Rita kusajili mali za simba lina ukakasi mkubwa

Wakati timu sio ya mtu ilikuwa na mafanikio gani? Wakati simba sio ya mtu mlikuwa na uwezo kama mliokuwa nao leo?
 
Kabisa mkuu bakresa ameonyesha njia hawa wengine ni wapigaji tu
Mwekezaji kwenye mpira wa Tanzania yupo mmoja - Bakhresa. Wengine wote hawa matapeli tu.
Kama hawataki kuwekeza Kama Bakhresa, waendelee kuwa wafadhili.
 
Back
Top Bottom