Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Na huyu mzee kilomoni nae chura sio?Uzi wa vyura mimi Simba nikae kutafuta nini. Nasepa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huyu mzee kilomoni nae chura sio?Uzi wa vyura mimi Simba nikae kutafuta nini. Nasepa
Mtegemea cha ndugu hufa masikiniMmepata ubwete wa kuingia Champion league kupitia viti maalum kwa mgongo wa Simba chini ya hela ya Mo na visionary strategies zake.. Sasa mnataka penyeza zile fitina zenu za Timu wanachama (wananchi)wakati hata kutoa bukubuku tu kwenu iliwashinda kwenye lile kapu lenu la kuombaomba... Piganeni na hali yenu nanyi msimame na miguu miwili kiuchumi na muache ufitini, chuki na uzandiki.
Na huyu mzee kilomoni nae chura sio?View attachment 1120835
[emoji38][emoji38][emoji38]Huwa nikipita mitandaoni nasikitika sana kwa mashabiki wa Simba kumbull mlezi mkuu wa simba, kumtukana matusi ya kila aina eti kisa wanamuwekezaji Mo
Sisi tulioapa kuwa simba haiwezi kubadilishwa kuwa timu ya mtu tutasimama na mzee wetu hata wale wapiga kelele wanaotumwa na mo kumtukana mzee wetu wataparaganyika na kutuachia timu yetu
Vijana oya oya wa simba ambao wao huwaza mambo ya Leo tu kamwe hawatatushinda.
Yes we are conservative we will not change
Sisi tunajua mo nimfanyabiashara hatadumu pale milele kwanini anataka akabidhiwe hati ya Mali za simba?
Kwa lipi alilolifanya? Asidhani yeye ndio ametoa pesa nyingi kuliko waliomtangulia kuna matajiri walimwaga pesa simba na hawakuweka mashariti magumu Kama anayodai huyu mo
Mo sisi wazee tunakuambia ijawezekana kwenye mkutano wa simba tukawa tunakupigia makofi ili kukufurahisha ila tambua simba haiwezi kumilikiwa na mtu
Simba ni timu ya wanachama Hilo halitabadilika mpaka mwisho wa dunia
Kama pesa zako ni chungu kuzitoa rudi ukawekeze African lyion uliyoikimbia
Ila simba huku hautapaweza huku hakuna ngombe aliyekatwa mkia huku wote ni makambale, utatamba miaka mitatu mingapi mwisho tutakukata kichwa jifunze kwa manji sio kwamba haipendi Yanga ila alitaka kuichikua yanga iwe ya kwake ila watu wasioonekana walimshinda
Hata Hapo simba inawezekana wanaoonekana kina kingwangwala and kina makonda unawamudu ila nikutoe shaka Hao hawana nguvu yeyote ndani ya simba ni Kama waburudishaji tu
Wenye nguvu ni Hawa aina ya kina kilomoni wapo wengi hawapo mitandaoni utakwama tu
Mzee kilomoni sisi wanasimba Tupo pamoja na wewe acha mashabiki wapige kelele mitandaoni
Simba haitabadilika kwa tamaa ya fedha ya mlo mmoja
Kila kijiji hakikosi wazee