DOKEZO Mzee Kinana abadilishwe kwa manufaa ya umma

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu Pascal nakuunga mkono kuhusu Kinana, ni mzee mmoja mwenye maono na uelewa mpana wa mambo, hana papara, yupo very composed.

Kuhusu suala la muungano hakuna mtu anayesema au kutaka muungano usambaratike hapana, hamna, wote tunataka muungano bora, wenye manufaa kwa kila upande wa muungano.

Maana Mkuu mara nyingi umekuwa ukitoka with all your guns cocked kuwa tutaulinda muungano kwa gharama yoyote ile!!! Muungano ni wetu sote sio 'wa kwenu!'

Tunachosema kwenye muungano wetu tupitie maeneo yenye ukakasi, utata na masigano tuyaweke sawa ili uwe ni muungano bora na wa haki kwa pande zote mbili!

Muungano huu usiwe wa kunafaisha kaki kundi kadogo ka watu na familia zao! Kwa sasa jinsi ulivyo unaonekana haunufaishi wanzibari wala watanganyika!!!
 
Pinda,Warioba,Paul Kimiti wapo...tatizo lao ni kautifuu' Kwa CCM !
Mkuu pamoja na utiifu ni manufaa wanayopata kutokana na uwepo wao ndani ya mfumo huo. Pili, hakuna aliye msafi kati yao na mwisho wanakumbuka madhila waliyopitia walio jaribu kujiengua kama kina Lowasa, sumaye na kadhalika.
 
Kila siku tunasikia tembo wakileta madhara kwa binadamu na mali zao,hii ni ishara kuwa idadi ya tembo imezidi hivyo ni bora mzee wetu Kinana akarudia zile mishe zake ili kupunguza idadi ya hawa tembo wasumbufu.
 
Kila siku tunasikia tembo wakileta madhara kwa binadamu na mali zao,hii ni ishara kuwa idadi ya tembo imezidi hivyo ni bora mzee wetu Kinana akarudia zile mishe zake ili kupunguza idadi ya hawa tembo wasumbufu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
CHAWA sio tusi, uchawa ni tabia ya kujipendekeza, kusifu na kuabudu mtu mwingine. Hivyo ndivyo ambavyo wewe unafanya kwa viongozi wa CCM hasa mama Samia, sijui unadhani utapata ujumbe wa nyumba kumi?
 
Naunga mkono HOJA 🙏

Apumzishwe Kinana, ipumzishwe CCM,

Pia Pascal Mayalla apumzishwe Kwa maslah ya umma, amezeeka pia.
 
Nchimbi na Kinana wamekipooza chama cha Mapinduzi!
 

P,

Sikulaumu kwa kutomjua kinana. Bahati nzuri Kinana alikuwa jirani yetu Arusha kabla hata hajawa mbunge.

Nakumbuka tulipelekwa kwenye harusi ya kinana nikiwa darasa la pili kula pilau pale kwenye mitaa yetu karibu na sanawari.

Najua kwa uhakika vijana ndugu zake kinana ambao walikuwa wanakaa pale tukiwa wadogo walishikwa na pembe za ndovu na baba yangu mdogo ndiye alikuwa Tanapa na hao vijana walikulia pale mtaani ni kweli walishikwa na maagizo yakatoka juu waachiwe.

Kinana alikuwa na biashara fake ya dry cleaners pale Arusha ili aweze kuweka pesa chafu bank. Tunajua Kinana ananufaika kama dalali wa vitalu vya uwindaji ambavyo Nyalandu alikuwa analalamika maagizo ya rushwa kutoka juu. Nyalandu niliongoe naye Minnesota kwenye mkutano wa Dicota miaka ya Kikwete huyu ni mwana Ilboru mwenzetu na tunajuana.

P, wawekezaji wakubwa kwenye vitalu vya uwindaji ni wamarekani na waarabu. Wamarekani wengi wanatoka mji ambao naishi hapa Dallas, Texas.

Kuna mambo mengi inawezekana huyafahamu. Je unajua kulikuwa na kampuni inaitwa Tawiko ambalo Ndolanga aliwahi kuwa mkurugenzi. Je unajua hilo shirika liliuzwa vipi? Kwa nani? Sitataja majina zaidi lakini marehemu Advocate Mawalla alihusika na mzee wetu kama kawaida yake alihusika.

Tukisema watu mafisadi tuna uhakika asilimia 100%. Yaani inawezekana hata bank statements zao za huku nje tunazo msije kuibua mambo mengine tuaminiane kwa hayo tu lakini nawaelewa maana bado mko kwenye ulevi wa vyama na uchawa wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…