DOKEZO Mzee Kinana abadilishwe kwa manufaa ya umma

DOKEZO Mzee Kinana abadilishwe kwa manufaa ya umma

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu Kamundu, japo naheshimu mawazo yako, na mara nyingi mawazo yetu yanafanana, but this time I'd like to diffef,

Comrade Kinana is one of the best and the finest CCM has!, usimuite jangili kwasababu hajawahi kushitakiwa popote kwa kesi yoyote ya jinai!. Comred Kinana is very bold na kwa taarifa yako ndie aliwezesha maridhiano, Chadema wakavuta mzigo wa maana, wakaweza kuitisha kikao cha Baraza Kuu na kugharimiwa vitu mbalimbali ikiwemo lile jengo lao jipya ambalo lime happens kuwa next to my family home, hivyo wazazi wangu ni jirani na Chadema.
Hata zile fedha za foreign trips za viongozi wenu, zimetolewa na Maza!.

Pili usimtishe Maza kuhusu muungano, tunaulinda kwa gharama yoyote!.

P
kuulinda Muungano kwa gharama yoyote ni pamoja na kurekebisha Katiba ili kuondoa malalamiko na makandokando vinginevyo P unaubomoa kisayansi kwa kumaitain status quo
 
kuulinda Muungano kwa gharama yoyote ni pamoja na kurekebisha Katiba ili kuondoa malalamiko na makandokando vinginevyo P unaubomoa kisayansi kwa kumaitain status quo
Wale wanaodai kuwa wanaulinda muungano kwa gharama na kuwaona wanao hoji au kulalamikia mapungufu ya muungano ikiwepo muundo wake kuwa wanataka kuvunja muungano hao ndiyo wanaulekeza muungano huu shimoni. Huwezi fumbia macho dosari zinazolalamikiwa na Watanganyika na Wazanzibari kwa kuamini kuwa zitajiondoa zenyewe ni kujidanganya tu.
 
Mkuu Kamundu, japo naheshimu mawazo yako, na mara nyingi mawazo yetu yanafanana, but this time I'd like to diffef,

Comrade Kinana is one of the best and the finest CCM has!, usimuite jangili kwasababu hajawahi kushitakiwa popote kwa kesi yoyote ya jinai!. Comred Kinana is very bold na kwa taarifa yako ndie aliwezesha maridhiano, Chadema wakavuta mzigo wa maana, wakaweza kuitisha kikao cha Baraza Kuu na kugharimiwa vitu mbalimbali ikiwemo lile jengo lao jipya ambalo lime happens kuwa next to my family home, hivyo wazazi wangu ni jirani na Chadema.
Hata zile fedha za foreign trips za viongozi wenu, zimetolewa na Maza!.

Pili usimtishe Maza kuhusu muungano, tunaulinda kwa gharama yoyote!.

P
Gharama yoyote ndio gharama gani?
 
Mama msikivu. Leo kasikia ushauri wako na kwa vile umeshamchagulia mbadala, naye tusubiri atangazwe tu.

Ila mama mwenyewe alitaka kumweka Pinda akiba ili awe mgombea mwenza. Mtihani!
 
Muungano wetu adhimu na adimu tutaulinda kwa gharama yoyote maana yake tutaulinda kwa moyo wetu wote, kwa nguvu zetu zote, na kwa uwezo wetu wote, na hata ikibidi kugharimia kwa machozi, jasho na damu, tutagharimia!.
P
Kama tu pale kawe ulipata kura moja kwenye Kura za maoni sasa huo muungano utaulinda vipi?
 
Kama kipindi cha Magufuli Kinana alikuwa anashirikiana na Nape,January na Ngeleja kumsengenya Magufuli.Waliopondolea akina Makamna Kinana ilikuwa ni swala la Muda
 
Back
Top Bottom