Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Duh...!.Tukisema watu mafisadi tuna uhakika asilimia 100%. Yaani inawezekana hata bank statements zao za huku nje tunazo msije kuibua mambo mwngine tuaminiane kwa hayo tu lakini nawaelewa maana bado mko kwenye ulevi wa vyama na uchawa wao
kuulinda Muungano kwa gharama yoyote ni pamoja na kurekebisha Katiba ili kuondoa malalamiko na makandokando vinginevyo P unaubomoa kisayansi kwa kumaitain status quoMkuu Kamundu, japo naheshimu mawazo yako, na mara nyingi mawazo yetu yanafanana, but this time I'd like to diffef,
Comrade Kinana is one of the best and the finest CCM has!, usimuite jangili kwasababu hajawahi kushitakiwa popote kwa kesi yoyote ya jinai!. Comred Kinana is very bold na kwa taarifa yako ndie aliwezesha maridhiano, Chadema wakavuta mzigo wa maana, wakaweza kuitisha kikao cha Baraza Kuu na kugharimiwa vitu mbalimbali ikiwemo lile jengo lao jipya ambalo lime happens kuwa next to my family home, hivyo wazazi wangu ni jirani na Chadema.
Hata zile fedha za foreign trips za viongozi wenu, zimetolewa na Maza!.
Pili usimtishe Maza kuhusu muungano, tunaulinda kwa gharama yoyote!.
P
Wale wanaodai kuwa wanaulinda muungano kwa gharama na kuwaona wanao hoji au kulalamikia mapungufu ya muungano ikiwepo muundo wake kuwa wanataka kuvunja muungano hao ndiyo wanaulekeza muungano huu shimoni. Huwezi fumbia macho dosari zinazolalamikiwa na Watanganyika na Wazanzibari kwa kuamini kuwa zitajiondoa zenyewe ni kujidanganya tu.kuulinda Muungano kwa gharama yoyote ni pamoja na kurekebisha Katiba ili kuondoa malalamiko na makandokando vinginevyo P unaubomoa kisayansi kwa kumaitain status quo
Gharama yoyote ndio gharama gani?Mkuu Kamundu, japo naheshimu mawazo yako, na mara nyingi mawazo yetu yanafanana, but this time I'd like to diffef,
Comrade Kinana is one of the best and the finest CCM has!, usimuite jangili kwasababu hajawahi kushitakiwa popote kwa kesi yoyote ya jinai!. Comred Kinana is very bold na kwa taarifa yako ndie aliwezesha maridhiano, Chadema wakavuta mzigo wa maana, wakaweza kuitisha kikao cha Baraza Kuu na kugharimiwa vitu mbalimbali ikiwemo lile jengo lao jipya ambalo lime happens kuwa next to my family home, hivyo wazazi wangu ni jirani na Chadema.
Hata zile fedha za foreign trips za viongozi wenu, zimetolewa na Maza!.
Pili usimtishe Maza kuhusu muungano, tunaulinda kwa gharama yoyote!.
P
Muungano wetu adhimu na adimu tutaulinda kwa gharama yoyote maana yake tutaulinda kwa moyo wetu wote, kwa nguvu zetu zote, na kwa uwezo wetu wote, na hata ikibidi kugharimia kwa machozi, jasho na damu, tutagharimia!.Gharama yoyote ndio gharama gani?
Kama tu pale kawe ulipata kura moja kwenye Kura za maoni sasa huo muungano utaulinda vipi?Muungano wetu adhimu na adimu tutaulinda kwa gharama yoyote maana yake tutaulinda kwa moyo wetu wote, kwa nguvu zetu zote, na kwa uwezo wetu wote, na hata ikibidi kugharimia kwa machozi, jasho na damu, tutagharimia!.
P
hao siwajui nakufahamu wewe tu.Unawafahamu wapambe wake?
ataulinda na hiyo mojaKama tu pale kawe ulipata kura moja kwenye Kura za maoni sasa huo muungano utaulinda vipi?