hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Hakika huyu mzee ni mzigo wa Taifa.
Mzee Kinana anadai wabunge wa Tanzania ndio wanaopokea mshahara mdogo zaidi Afrika Mashariki. Ameenda mbali na kudai wakisema waongezewe mshahara wananchi wataanza kelele.
Ah wameshaongezewa kitambo tu