Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi iliketi hivi karibuni na Moja ya maazimio yao ni Kuiunga Mkono Serikali kwa Kuingia Mkataba na DP World na kumwambia Mama Samia asongenmbele na mkataba huo. Kikao hicho na Mzee Kinana alihudhuria. Swali jengine?Tangu mjadala wa BANDARI kuanza sijamsikia Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Kinana akizungumzia Mkataba wa Bandari, au ameshagundua hili ni bomu linaloweza kuua Chama.
au kama kuna clip mnayo ya Mze Kinana akisifia mkataba wa bandari. muiweke hapa kwa ajili ya rejea
InashangazaTangu mjadala wa BANDARI kuanza sijamsikia Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Kinana akizungumzia Mkataba wa Bandari, au ameshagundua hili ni bomu linaloweza kuua Chama.
au kama kuna clip mnayo ya Mze Kinana akisifia mkataba wa bandari. muiweke hapa kwa ajili ya rejea
Anazungukia mbunga zenye tembo wengi kwanza ya bandari hayamhusu
Hatari snKinana atawapa DP World mchongo jinsi ya kuwamaliza Tembo na vifaru kupitia bandarini chini ya DP World akitumua meli zake.
Loliondo tayari wanaimiliki.
2030 Tembo watakuwa wameisha awamu ya sita ikiisha.