Nasema Uongo Ndugu Zangu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 279
- 779
- Thread starter
- #21
AsanteNyie ni wala rushwa wakubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteNyie ni wala rushwa wakubwa
Mnabidi mfanye Kazi kwa uzalendo sio kuendekeza tamaaHatulalamiki tumeshukuru maana kila mtu alituona kama wezi, wadhulumaji na watu wasiofaa katika jamii bila kujali mchango wetu kwa jamii hata kama ni mdogo.
Baada ya miezi 6 utalinganisha mwenyewe uone.Mlipokua barabarani ina maana hizo ajali azikuwepo!
Mpe elimu ya USALAMA kama akikupa mwenyewe chukua, sio kumtafutia namna ya yeye kujiona ana hatia ili atoe!!Elimu tunatoa sana, tatizo mnatuona sisi ni vilaza na wala rushwa unamsimamisha mtu unampa elimu yeye anakupa elfu 5 hujamwomba ila ameamua tu anaona kama unamsumbua vile Sasa mtu kama huyo wewe ungemsaidiaje?
Certified thieves[emoji3525]Asilimia kubwa ya traffic na polisi kwa ujumla ni wahalifu waliohalalishwa.
Tatizo mnadhani kila askari wa usalama ni mwizi. Hili ni kero kwetu, sisi pia ni binadamu kama nyie.Mnabidi mfanye Kazi kwa uzalendo sio kuendekeza tamaa
Elimu kwa madereva ambao hata kusikiliza hawataki wanaona unawachelewesha wanakupa elfu 5 au elfu 2 unadhani itasaidia?Mpe elimu ya USALAMA kama akikupa mwenyewe chukua, sio kumtafutia namna ya yeye kujiona ana hatia ili atoe!!
KITAKACHO PUNGUZA AJAILI NI ELIMU NA SIO FAINI...
Uo mshahara wako haukutoshi?Tatizo mnadhani kila askari wa usalama ni mwizi. Hili ni kero kwetu, sisi pia ni binadamu kama nyie.
Mkuu sema ukweli ukipewa mashine ya faini, ukarudisha bila ya pesa INAKUWAJE kwa wakubwa??Tatizo mnadhani kila askari wa usalama ni mwizi. Hili ni kero kwetu, sisi pia ni binadamu kama nyie.
Wapi nimesema sitosheki, unanitosha mpaka ndugu zangu nagawana naoUo mshahara wako haukutoshi?
Inategemea na hao wakubwa ila mtaani kuna story nyingi za uongo kuhusu vyombo vya ulinzi, inafika mahali akari tunaona maisha hayana maana.Mkuu sema ukweli ukipewa mashine ya faini, ukarudisha bila ya pesa INAKUWAJE kwa wakubwa??
Usema mimi nilikwa natoa onyo kwa madereva na kuwapa elimu..
Hebu waambie,wao wanafikiri nyie mtaishijeishije lazima mjiongezeInategemea na hao wakubwa ila mtaani kuna story nyingi za uongo kuhusu vyombo vya ulinzi, inafika mahali akari tunaona maisha hayana maana.
Inategemea na hao wakubwa ila mtaani kuna story nyingi za uongo kuhusu vyombo vya ulinzi, inafika mahali akari tunaona maisha hayana maana.
Mkuu usikate tamaa, kazi ya Uaskari ni kazi ya wito kama Ualimu na Udaktari na kazi kama hizo.Inategemea na hao wakubwa ila mtaani kuna story nyingi za uongo kuhusu vyombo vya ulinzi, inafika mahali akari tunaona maisha hayana maana.
mnakera. unakaguliwa mara sita ndani ya mkoa mmoja mnauliza vitu vile vileBaada ya agizo lako, tumeitwa na tupo kwenye utekelezaji. Nadhani ajali ya Usiku wa kuamkia leo imesababishwa na Taa.
Tunashukuru, wengine tumebadilishiwa mpaka idara ila sawa tu. Kila la kheri ndugu Kinana endelea kufurahia ku-drive maana hatuta kusumbua.
Askari Polisi kwa sehemu kubwa wamejawa na tamaa , nahisi wana pepo flani. Mtu akishakuwa askari polisi hata kama ndugu yako ukipata janga kule lazima akupasue mfukoPole sana, unaandika kwa hisia hadi sauti inasikika.
Wako askari waadilifu na wasio waadilofu.
Wasio waadilifu kwenye sekta ya usalama barabarani ndo wamebeba hulka kuwa askari wote wa barabarani ni wasumbufu, wala rushwa etc.