Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Nilisema humu, Jeshi la Polisi halitakiwi kuingia kwenye 18 za mtu kama KINANA ambaye sio mtu wakuaminika Kwa namna yoyote ile.
KINANA alisema jambo, Bali ujue nyuma yake Kuna namna fulan ya kufaidika.
MADAWA YA KULEVYA yamekamtwa sana kwenye magari sababu ya ukaguzi wa Matrafiki wa Mara Kwa mara
Ni ngumu kutoa Rushwa Kwa Kila Askari unayekutana naye na Kila Askari akapokea
KINANA ,ALIPASWA KUPUUZA.
Ninshindwa kuelewa kwanini CCM inakua nanguvu juu vyombo vya Dola namna hii.
KATIBA MPYA INAHITAJIKA .
KINANA alisema jambo, Bali ujue nyuma yake Kuna namna fulan ya kufaidika.
MADAWA YA KULEVYA yamekamtwa sana kwenye magari sababu ya ukaguzi wa Matrafiki wa Mara Kwa mara
Ni ngumu kutoa Rushwa Kwa Kila Askari unayekutana naye na Kila Askari akapokea
KINANA ,ALIPASWA KUPUUZA.
Ninshindwa kuelewa kwanini CCM inakua nanguvu juu vyombo vya Dola namna hii.
KATIBA MPYA INAHITAJIKA .