Nasema Uongo Ndugu Zangu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 279
- 779
- Thread starter
- #101
KweliNchi hii siyo traffic tu
Kila mtu anakula sehemu yake
Kuna wazee wa OSHA,kuna TBS,TRA,kuna jamaa wa misitu TFS
Kuna TFDA,
Mfano ukikutana na osha wakivamia
Hko viwandani rushwa zao kuanzia laki tano hadi mamilion...sema ttz hao hamuwaoni....
Traffic anaonekana kwa sababu kila siku yuko Road
Ova