Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Huwa wanalazimisha wapewe tip kwa mtu aliyetoka kutoa pesa kwenye ATMDuh...huko hakuna dili naona
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa wanalazimisha wapewe tip kwa mtu aliyetoka kutoa pesa kwenye ATMDuh...huko hakuna dili naona
Ova
Mtoto mrembo alikuaga desk pale Ofisi ndogo Lumumba, nilipota tena sikumkuta na namba zote kabadilisha. HDuh
Ova
Vipi umepangiwa kulinda Benki au kwa mkuu wa wilaya?? [emoji12]Sawa Mr Kinana.
Nimefuatilia majibu unayotoa,nimegundua wewe siyo Askari,ila unawawakilisha kwa kuwakejeli,kilichowapata vituoniBaada ya agizo lako, tumeitwa na tupo kwenye utekelezaji. Nadhani ajali ya Usiku wa kuamkia leo imesababishwa na Taa.
Tunashukuru, wengine tumebadilishiwa mpaka idara ila sawa tu. Kila la kheri ndugu Kinana endelea kufurahia ku-drive maana hatuta kusumbua.
😀😀😀 Hujapata tatizo kubwaa , nina bor wangu polisi mpole huyu.. anakutoboa mfuko kama vile ana kuthamini .. sina hamu na polisi.. nina mzee rafiki ni polisi huyo nomaaa kama akupigi kibomu ila ndio hela inatoka hapoNdugu zangu Polisi ni waadilifu, labda kama wanachukua Rushwa kwa watu baki.
Swahiba mmoja nae namfahamu yuko poa tuu (huyu alinifundisha kula msuba...)!
Askari polisi wote ni wahalifu waliohalalishwa.Mnapokea mno rushwa na mpaka Sasa mmeifanya rushwa kuwa kama haki yenu.Trafiki,wapelelezi wa kesi mpaka mabosi wenu.Hatulalamiki tumeshukuru maana kila mtu alituona kama wezi, wadhulumaji na watu wasiofaa katika jamii bila kujali mchango wetu kwa jamii hata kama ni mdogo.
Polisi hanaga urafiki hata siku moja[emoji3][emoji3][emoji3] Hujapata tatizo kubwaa , nina bor wangu polisi mpole huyu.. anakutoboa mfuko kama vile ana kuthamini .. sina hamu na polisi.. nina mzee rafiki ni polisi huyo nomaaa kama akupigi kibomu ila ndio hela inatoka hapo
wale wana pepo la kipolisi yani wanapenda hela kishenziPolisi hanaga urafiki hata siku moja
Ova
Ukweli mtupu.Niliwahi kumwambia askari mmoja maneno kama haya ,alimaindi lakini alielewa.Hakuna urafiki na askari polisiPolisi hanaga urafiki hata siku moja
Ova
Mlizidii bwanaa japo mmeondolewa wengi zaidi na naona walioachwa ni wale wenye hekima,wale waliokua wanaona hz barabara za baba zao wapelekwe ht idara ya usafi uko hq,mlituonea sanaaa[emoji57]Baada ya agizo lako, tumeitwa na tupo kwenye utekelezaji. Nadhani ajali ya Usiku wa kuamkia leo imesababishwa na Taa.
Tunashukuru, wengine tumebadilishiwa mpaka idara ila sawa tu. Kila la kheri ndugu Kinana endelea kufurahia ku-drive maana hatuta kusumbua.
Kwani mmefukuzwa kazi, acha upimbi.Sawa hatukuwa na lolote zaidi ya kupokea rushwa, futeni kitengo kabisa.
Hata hzo taa mkikagua hata kama hakuna taa.. utapewa buku5 utamwacha aende so.. ni mule mule tuBaada ya agizo lako, tumeitwa na tupo kwenye utekelezaji. Nadhani ajali ya Usiku wa kuamkia leo imesababishwa na Taa.
Tunashukuru, wengine tumebadilishiwa mpaka idara ila sawa tu. Kila la kheri ndugu Kinana endelea kufurahia ku-drive maana hatuta kusumbua.
Nchi hii siyo traffic tuHakuna wala rushwa wakubwa nchi hii kama hawa trafiki ni washenzi kabisa
Kila aliyetendwa na wenye kazi Kama yako lazima.atawachukia tuHatulalamiki tumeshukuru maana kila mtu alituona kama wezi, wadhulumaji na watu wasiofaa katika jamii bila kujali mchango wetu kwa jamii hata kama ni mdogo.
Halafu unaipokea? Na asipokupa hiyo 5000 unamfanya nini?Elimu tunatoa sana, tatizo mnatuona sisi ni vilaza na wala rushwa unamsimamisha mtu unampa elimu yeye anakupa elfu 5 hujamwomba ila ameamua tu anaona kama unamsumbua vile Sasa mtu kama huyo wewe ungemsaidiaje?
Kwa kiasi kikubwa huwa tunatoa elimu, kama kosa hilo hilo limerudiwa mara kadhaa na dereva huyohuyo tunamwandikia faini au kumpeleka mahakamani.Halafu unaipokea? Na asipokupa hiyo 5000 unamfanya nini?