Mzee Kinana Umetukataza Kukagua Taa za Magari Mchana, Sawa Tumekuelewa

Mzee Kinana Umetukataza Kukagua Taa za Magari Mchana, Sawa Tumekuelewa

Baada ya agizo lako, tumeitwa na tupo kwenye utekelezaji. Nadhani ajali ya Usiku wa kuamkia leo imesababishwa na Taa.

Tunashukuru, wengine tumebadilishiwa mpaka idara ila sawa tu. Kila la kheri ndugu Kinana endelea kufurahia ku-drive maana hatuta kusumbua.
Nimefuatilia majibu unayotoa,nimegundua wewe siyo Askari,ila unawawakilisha kwa kuwakejeli,kilichowapata vituoni
 
Ndugu zangu Polisi ni waadilifu, labda kama wanachukua Rushwa kwa watu baki.

Swahiba mmoja nae namfahamu yuko poa tuu (huyu alinifundisha kula msuba...)!
😀😀😀 Hujapata tatizo kubwaa , nina bor wangu polisi mpole huyu.. anakutoboa mfuko kama vile ana kuthamini .. sina hamu na polisi.. nina mzee rafiki ni polisi huyo nomaaa kama akupigi kibomu ila ndio hela inatoka hapo
 
Hatulalamiki tumeshukuru maana kila mtu alituona kama wezi, wadhulumaji na watu wasiofaa katika jamii bila kujali mchango wetu kwa jamii hata kama ni mdogo.
Askari polisi wote ni wahalifu waliohalalishwa.Mnapokea mno rushwa na mpaka Sasa mmeifanya rushwa kuwa kama haki yenu.Trafiki,wapelelezi wa kesi mpaka mabosi wenu.
 
Baada ya agizo lako, tumeitwa na tupo kwenye utekelezaji. Nadhani ajali ya Usiku wa kuamkia leo imesababishwa na Taa.

Tunashukuru, wengine tumebadilishiwa mpaka idara ila sawa tu. Kila la kheri ndugu Kinana endelea kufurahia ku-drive maana hatuta kusumbua.
Mlizidii bwanaa japo mmeondolewa wengi zaidi na naona walioachwa ni wale wenye hekima,wale waliokua wanaona hz barabara za baba zao wapelekwe ht idara ya usafi uko hq,mlituonea sanaaa[emoji57]
 
Baada ya agizo lako, tumeitwa na tupo kwenye utekelezaji. Nadhani ajali ya Usiku wa kuamkia leo imesababishwa na Taa.

Tunashukuru, wengine tumebadilishiwa mpaka idara ila sawa tu. Kila la kheri ndugu Kinana endelea kufurahia ku-drive maana hatuta kusumbua.
Hata hzo taa mkikagua hata kama hakuna taa.. utapewa buku5 utamwacha aende so.. ni mule mule tu
 
Hakuna wala rushwa wakubwa nchi hii kama hawa trafiki ni washenzi kabisa
Nchi hii siyo traffic tu
Kila mtu anakula sehemu yake
Kuna wazee wa OSHA,kuna TBS,TRA,kuna jamaa wa misitu TFS
Kuna TFDA,
Mfano ukikutana na osha wakivamia
Hko viwandani rushwa zao kuanzia laki tano hadi mamilion...sema ttz hao hamuwaoni....
Traffic anaonekana kwa sababu kila siku yuko Road

Ova
 
Elimu tunatoa sana, tatizo mnatuona sisi ni vilaza na wala rushwa unamsimamisha mtu unampa elimu yeye anakupa elfu 5 hujamwomba ila ameamua tu anaona kama unamsumbua vile Sasa mtu kama huyo wewe ungemsaidiaje?
Halafu unaipokea? Na asipokupa hiyo 5000 unamfanya nini?
 
Back
Top Bottom