Mzee Likwidii.... Ndani ya antenna bila king'amuzi

K
Kua na heshima we dg nani form four sasa we ka hujaelewa ujue haijaandikwa kwa ajili yako huoni wenzio wameenda sawa
 
Sifa za kijinga hyo misifa tu
Imemponza.....
Nshagumiana changombe kwanza pombe zinampelekesha hayuko stable mneno mengi tu akilewa

Naishiaaa hpo

Ova
 
Don't know this nigga. Never heard of him.
 
Asante tuvumilieni mpaka January shule zikifunguliwa hamtatuona tena mpaka June
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]msaheme bure
 
mbona huyu ni kile chama lenu pendwa na thread yenu ipo humu leo mumemkana walevi sio marafiki wa shida na raha
 
Huyu mzee kwanza kakusanya wine kama zote akaanza kuongea ongea akapanda jukwaani sijui sifa zilimzidi akarukia chini pale pale mguu kwa heri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mbona huyu ni kile chama lenu pendwa na thread yenu ipo humu leo mumemkana walevi sio marafiki wa shida na raha
Hapana huyu ni kenge kwenye msafara wa mamba....
Katibu mrangi jongea utie neno hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…