Mzee Lowassa amesubiri Dr. Nchimbi awe Katibu Mkuu CCM ndipo aondoke duniani akiwa na amani kwamba waliostahili wamestahimilishwa

Mzee Lowassa amesubiri Dr. Nchimbi awe Katibu Mkuu CCM ndipo aondoke duniani akiwa na amani kwamba waliostahili wamestahimilishwa

Buriani Jabali la Siasa Tanzania
Wanasiasa wajifunze kitu kimoja muhimu sana kwa Lowassa

Lowassa aliweza kudhibiti ulimi wake, hakuwa mdhalilishaji wala mtukanaji wa Wapinzani wake

akiwa CCM hakuwahi kuwatukana Chadema japo Chadema walimdhalilisha sana sana na alipohamia kule waliodhalilika ni Chadema sio Yeye kwa kuwa hakuwahi kuwakebehi

alipokuwa Chadema hakuwahi kuwatukana CCM na hata aliporejea CCM waliodhalilika ni CCM waliomkebehi baada ya kuhama

Mtu pekee kwny Siasa za Nchi hii alieamua kumfuata Lowassa popote anapoenda akiwa Mtiifu kwake ni Comrade Hamis Mgeja aliekuwa Chawa wake tangu 1994 kwny UV CCM

Lowassa alipchukua fomu ya Urais 1995 Mgeja alikuwa pembeni yake

Lowassa alipokatwa akamuunga Mkono Jakaya na Mgeja akamuumga Mkono Jakaya

Lowassa alipohama CCM 2015 Comrade Mgeja aliacha Uenyekiti wa CCM Shinyanga akaenda kuwa Mwanachama wa kawaida wa Chadema amsaidie Rafiki yake na aliporejea pia alirejea nae

Wengine wote kina Bashe na Nchimbi walipowekwa kwny mazingira ya kuchagua hatma zao za kisiasa or Lowassa walichagua hatma zao ila Mgeja alichagua kuwa na Ngoyai
 
Kiongozi una ushahidi.. na kama unao mbona hukwenda mahakamani..
Acheni masuala ya Lowassa. Akileta ushahidi utaufanyia nini? Nyerere alipowatupia CCM jalada la Lowassa wewe ulikuwepo? Unajua hoja yake dhidi ya Lowassa ilikuwa ni nini? Pili, nani anajua kuwa Lowassa alikuwa na ufahamu hatawa kutambua kuwa Nchimbi kateuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Haya yote ni mambo ya kufikirika tu.
 
Lowasa pamoja na sifa zite tusisahau jambo la muhimu zaidi kwamba ni mojawapo ya watu walioliibia hili taifa na kutumia rasilimali za nchi kwa maslahi yake binafsi.

Lowasa ni mojawapo ya wezi wa mali za umma. Lowasa ni mtu alipaswa kufia jela sio uraiani. Watanzania tuna kasumba ya kufisia wezi na majambazi.

Anyway, roho yake ipate kinachostahili huko jehanamu kama i
Unaweza ku - justify hoja yako?

Au kwa kuwa unasikiaga tu wengine wanasema hivyo na wewe ukadaka hivyo hivyo kama kasuku?

By the way jina lako tu wewe yaani The Evil Genius linasadifu wewe ni mtu wa namna gani...

Yaani wewe ni binadamu mwovu uliyebobea (evil genius)...

Mtu mwovu uliyebobea kama wewe utashindwaje kuwa na tabia za mtu mzushi, mwongo na mchonganishi..?
 
Buriani Jabali la Siasa Tanzania
Wanasiasa wajifunze kitu kimoja muhimu sana kwa Lowassa

Lowassa aliweza kudhibiti ulimi wake, hakuwa mdhalilishaji wala mtukanaji wa Wapinzani wake

akiwa CCM hakuwahi kuwatukana Chadema japo Chadema walimdhalilisha sana sana na alipohamia kule waliodhalilika ni Chadema sio Yeye kwa kuwa hakuwahi kuwakebehi

alipokuwa Chadema hakuwahi kuwatukana CCM na hata aliporejea CCM waliodhalilika ni CCM waliomkebehi baada ya kuhama

Mtu pekee kwny Siasa za Nchi hii alieamua kumfuata Lowassa popote anapoenda akiwa Mtiifu kwake ni Comrade Hamis Mgeja aliekuwa Chawa wake tangu 1994 kwny UV CCM

Lowassa alipchukua fomu ya Urais 1995 Mgeja alikuwa pembeni yake

Lowassa alipokatwa akamuunga Mkono Jakaya na Mgeja akamuumga Mkono Jakaya

Lowassa alipohama CCM 2015 Comrade Mgeja aliacha Uenyekiti wa CCM Shinyanga akaenda kuwa Mwanachama wa kawaida wa Chadema amsaidie Rafiki yake na aliporejea pia alirejea nae

Wengine wote kina Bashe na Nchimbi walipowekwa kwny mazingira ya kuchagua hatma zao za kisiasa or Lowassa walichagua hatma zao ila Mgeja alichagua kuwa na Ngoyai
Mgeja na Chizii walienda na Lowasa popote alipoenda

Nchimbi, Bashe, Kimbisa, Sophia, Pindi nk walibaki CCM kimkakati Ili kuvuna kura za Urais CCM na UKAWA na walifanikiwa Sema tu kwenye Uchaguzi kushinda ni jambo Moja na kutangazwa mshindi ni jambo lingine kabisa 😂
 
Acheni masuala ya Lowassa. Akileta ushahidi utaufanyia nini? Nyerere alipowatupia CCM jalada la Lowassa wewe ulikuwepo? Unajua hoja yake dhidi ya Lowassa ilikuwa ni nini? Pili, nani anajua kuwa Lowassa alikuwa na ufahamu hatawa kutambua kuwa Nchimbi kateuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Haya yote ni mambo ya kufikirika tu.
Hebu lete picha Nyerere akitupa jalada la Lowasa... Kama sio habari za vilabu vya Komoni!
 
Lowasa pamoja na sifa zite tusisahau jambo la muhimu zaidi kwamba ni mojawapo ya watu walioliibia hili taifa na kutumia rasilimali za nchi kwa maslahi yake binafsi.

Lowasa ni mojawapo ya wezi wa mali za umma. Lowasa ni mtu alipaswa kufia jela sio uraiani. Watanzania tuna kasumba ya kufisia wezi na majambazi.

Anyway, roho yake ipate kinachostahili huko jehanamu kama ipo.
Alikuibia nini wewe

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Hivi alisharudi CCM au bado alikuwa Chadema wakuu...?
FB_IMG_17075915849842605.jpg


Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Dr. Nchimbi alikuwa mfuasi kindakindaki wa Lowasa na angeweza kuwa Waziri Mkuu. Alipigwa Majungu na kukataliwa kisa tu anamkubali Lowasa. Wakina Kikwete walimchukia Nchimbi wakimwona kama si mzalendo wakiamini adui yao lazima awe adui yako

Maisha yakazunguka mwisho nchimbi anateuliwa kuwa katibu mkuu wa chama. Nafasi ambayo awali Kinana aliitumia kumwadhibu Lowasa. Wote hawa wakati wanamwadhibu Lowasa waliamini wao wataweka watu wao wanaoweza kilisogeza gurudumu la kazi za ccm mbele.

CCM imeparaganyika after Lowasa imebidi wakawatafute wanafunzi wa Lowasa wawape kazi yakutumia mbinu za nguli huyu kujisahihisha.
Nchimbi kuwa KM imemfariji sana Lowasa na amelala kwa amani kama shujaaaa.

Hoja ni Je, JK na familia yake atashiriki msiba huu? Je, JK amejifunza nn ugomvi wa Uhuru na Ruto Kenya?
Rip EL
 
Acheni fitina...Hizo siasa zilisha Isha na watu wakisha reconcile...Hii ndiyo maana tunasema CCM huwa inabeba agenda za kitaifa. Hakuna mkubwa wala mdogo CCM anybody can be a leader na Bado chama kikabakia kile kile...

Mh. Samia amejitahidi kuleta umoja wa kitaifa, alianza Kwa wapinzani mkalikoroga, sasa ameamua kurudi kujiunganisha nchi kupitia CCM.

Ebu basi tumuunge mkono Ili tuanze upya kama Taifa...Wale watatu wote Mungu kawapenda zaidi, sisi tuliobaki tuweke ya zamani kando tuijenge nchi yetu
 
Lowasa pamoja na sifa zite tusisahau jambo la muhimu zaidi kwamba ni mojawapo ya watu walioliibia hili taifa na kutumia rasilimali za nchi kwa maslahi yake binafsi.

Lowasa ni mojawapo ya wezi wa mali za umma. Lowasa ni mtu alipaswa kufia jela sio uraiani. Watanzania tuna kasumba ya kufisia wezi na majambazi.

Anyway, roho yake ipate kinachostahili huko jehanamu kama ipo.
Unashuhudia ukweli?unaushahidi nao?
Usimshuhudie jirani yako uongo
Propaganda zinaweza kuwa dhidi yako hapo uta tahayari!!
 
Hakika umenena ukweli, nasubiria kuona ushiriki wa kikwete kule monduli malipo ni hapahapa ngoja tuone
 
In politics nothing happens out of mere coincidence,
every things are normal well planned, organised and executed to achieve a certain specific political objectives....

And in politics there is no permanent enemy..

JK na familia yake watashiriki kuomboleza na kumzika family friend wao EL vizuri tu bila tashwishwi yeyote, regadless ya maneno ya watu...

by the way JK ni mtu na nusu hana cha kujifunza kwa uhuru na ruto, jamaa anasonga mbele bila mbambamba...
Aiseee?! Ulisoma shule gani ya Kata? Kiingereza mbichi sana hii
 
Buriani Jabali la Siasa Tanzania
Wanasiasa wajifunze kitu kimoja muhimu sana kwa Lowassa

Lowassa aliweza kudhibiti ulimi wake, hakuwa mdhalilishaji wala mtukanaji wa Wapinzani wake

akiwa CCM hakuwahi kuwatukana Chadema japo Chadema walimdhalilisha sana sana na alipohamia kule waliodhalilika ni Chadema sio Yeye kwa kuwa hakuwahi kuwakebehi

alipokuwa Chadema hakuwahi kuwatukana CCM na hata aliporejea CCM waliodhalilika ni CCM waliomkebehi baada ya kuhama

Mtu pekee kwny Siasa za Nchi hii alieamua kumfuata Lowassa popote anapoenda akiwa Mtiifu kwake ni Comrade Hamis Mgeja aliekuwa Chawa wake tangu 1994 kwny UV CCM

Lowassa alipchukua fomu ya Urais 1995 Mgeja alikuwa pembeni yake

Lowassa alipokatwa akamuunga Mkono Jakaya na Mgeja akamuumga Mkono Jakaya

Lowassa alipohama CCM 2015 Comrade Mgeja aliacha Uenyekiti wa CCM Shinyanga akaenda kuwa Mwanachama wa kawaida wa Chadema amsaidie Rafiki yake na aliporejea pia alirejea nae

Wengine wote kina Bashe na Nchimbi walipowekwa kwny mazingira ya kuchagua hatma zao za kisiasa or Lowassa walichagua hatma zao ila Mgeja alichagua kuwa na Ngoyai
Hata marehemu Captain Komba, alisema waziwazi kuwa anamuunga mkono Edward Lowassa... vile vile Mzee Kingunge... mara kwa mara alisikika kwamba Edward anastahili kuwa Raisi wa Nchi hii...

RIP comrades...
 
Dr. Nchimbi alikuwa mfuasi kindakindaki wa Lowasa na angeweza kuwa Waziri Mkuu. Alipigwa Majungu na kukataliwa kisa tu anamkubali Lowasa. Wakina Kikwete walimchukia Nchimbi wakimwona kama si mzalendo wakiamini adui yao lazima awe adui yako

Maisha yakazunguka mwisho nchimbi anateuliwa kuwa katibu mkuu wa chama. Nafasi ambayo awali Kinana aliitumia kumwadhibu Lowasa. Wote hawa wakati wanamwadhibu Lowasa waliamini wao wataweka watu wao wanaoweza kilisogeza gurudumu la kazi za ccm mbele.

CCM imeparaganyika after Lowasa imebidi wakawatafute wanafunzi wa Lowasa wawape kazi yakutumia mbinu za nguli huyu kujisahihisha.
Nchimbi kuwa KM imemfariji sana Lowasa na amelala kwa amani kama shujaaaa.

Hoja ni Je, JK na familia yake atashiriki msiba huu? Je, JK amejifunza nn ugomvi wa Uhuru na Ruto Kenya?

JK sidhani kama atahudhuria huu msiba mkubwa, sbb nafsi itamsuta sana sana
 
Ndiyo maana. Basi tumia tu hiki kibantu achana na hii kitu kinaitwa kiingereza
kwamba nijipe umuhimu kama wewe, naandika lugha ya malkia najibiwa kibantu kinyonge sana🐒

akati hoa wenye chao wananielewa vizur sana na wao kwa uchache maneno mawili matatu ya kibantu wanadonoadonoa broken pole pole na tunasonga, ngoma ni droo 🐒

ila sasa kwa much know wabaruza viatu town na vibahasha vya cv ni sheeeda sana 🤣

R.I.P Laigwanan comrade EL
 
Back
Top Bottom