Mzee Lowassa siku ya kufunga kampeni za urais 2015 alifunga mitaa yote ya Dsm kwa maandamano lakini aliangukia pua!

Mzee Lowassa siku ya kufunga kampeni za urais 2015 alifunga mitaa yote ya Dsm kwa maandamano lakini aliangukia pua!

Wacha watume amshaamsha bwana uncle Magu katushawishi sana kra yangu yake nikikumbuka wale bodaboda wa lowasa avha tu
 
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
Mataga mnajipa moyo eeeeh hamjui safari hii yupo kachero mbobezi ata ivyo mataga vichwa maji mnaeza msiwe mnajua kachero ni nani tena mbobezi!!!!
 
Nyumbu wa Lumumba akili zenu mmeshikiwa kwa hiyo ilani unaona ni bonge la inshu? Ilani hata fomu 4 anaweza kuidraft kwa dakika sembuse cdm chama kubwa?
Nataman kucheka lakini nasikitika sababu ndo uwezo wako wa kufikiri ulipogota.
 
Nataman kucheka lakini nasikitika sababu ndo uwezo wako wa kufikiri ulipogota.
Cheka tu taahira hebu tuelimishe tusiojua ilani ni nini na inachukua miaka mingapi kuiandaa je kwenda na ilani uliyotumia uchaguzi uliopita ni dhambi?
 
Nataman kucheka lakini nasikitika sababu ndo uwezo wako wa kufikiri ulipogota.
Hata mie natamani kucheka ila najikaza tu yaani msamiati wa neno ilani unakuchanganya mpaka unaona ni big insu ambayo kuiandaa labda utahitaji maabara za kisasa na mabilioni ya hela na muda labda miaka 3, wakati shortly ilani ni ahadi za chama au mgombea atakazotekeleza akichaguliwa na mikakati ya utekelezaji wa hizo ahadi full stop lkn nyumbu nakuona unavyobabaika na msamiati wa neno ilani!
 
Kwa iyo unataka sema??? Safari hii hamna wa kumbeba magufuli maana wote kuanzia chamani hadi serikakilini wameshamjua kuwa ni very unpredictable.

Amini nakwambia yaliyotokea Malawi yanaenda kutokea Tanzania hapo October 2020.

Kwa wengi kuanzia wafanyabiashara wakubwa, wananchi na viongozi wenzake, ni heri nchi iende kwa Lissu na Chadema maana wameonesha maturity kuliko Magufuli kupata miaka 5
Tatizo ni Ubepar tuu
 
Back
Top Bottom